Wito: Tunapoomboleza tukumbuke Corona ingalipo duniani

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,846
35,851
Mabibi na mabwana tuko msibani.

Tusisahau kuwa pamoja na msiba, pana gonjwa linalotunyemelea. Gonjwa hili linataka barakoa na kuepuka mikusanyiko.

Tunapoomboleza tukumbuke tuna ugonjwa ungalipo na kwa hakika hatutajilaumu kwa kuchukua tahadhari.

Mikutano yote rasmi na isiyo rasmi pia inahusika.

Itakuwa jambo la msingi sana ugonjwa kama huu utakuwa agenda kuu ya serikali ijayo.
 
Tanzania flag-XXL-anim.gif

Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania
 
Wachunga Ng'ombe walikuwa wagumu kuelewa
Na
Nawasihi hawa viongozi wa kitaifa waache kuzurula bila sababu za msingi ugonjwa huu upo

Wala si kuwa ni kwenye kuzurura ndiko unakopatikana.

Bila mabarakoa na social distancing baada ya msiba huu kama si sisi mwingine msiba hauko mbali.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Na

Wala si kuwa ni kwenye kuzurura ndiko unakopatikana.

Bila mabarakoa na social distancing baada ya msiba huu kama si sisi mwingine msiba hauko mbali.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Kwakipindi hiki cha covid-19, wasaidizi watumike vizuri huko waliko
 
Ewe zezeta aka mjingamimi. Unahimizwa kuomboleza kwa step.

Kutokuvaa barakoa na kutozingatia kuepuka misongamano isiyo ya lazima kumemgarimu huyu bwana maisha.

Beberu anasema what a shame - kwa maana nzuri tu.

Tutaendelea kudondoka mmoja mmoja kama hivi bila kujali vyeo hadi pale tutakapogutuka na kuchukua hatua stahiki kama taifa.

Apumzike kwa amani bwana Magufuli.
 
Shughuli za uapishaji zifanyiwe kwa kuzingatia social distancing na Barakoa na kuwalinda Wazee na wastaafu
Tusije tunaendelea kupoteza Wazee.
 
Shughuli za uapishaji zifanyiwe kwa kuzingatia social distancing na Barakoa na kuwalinda Wazee na wastaafu
Tusije tunaendelea kupoteza Wazee.

Ilikuwa kusikiliza tu. Huyu bwana angekuwa hai leo.

Hawakukosea walionena kuwa kibri si maungwana.
 
Back
Top Bottom