Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwa mujibu wa chama cha madaktari nchini MAT kimeandaa jopo la madaktari bingwa ili kutoa mwongozo namna wagonjwa wanaoumwa mfumo wa kupumua wapate tiba ya namna gani.
Kwa mujibu wa Dk Mwaibambe ni kuwa mwongozo huo utaelekeza ni dawa zipi ambazo mgojwa aliyeathirka mfumo wa kupumua anatakiwa apewe,sababu mpaka sasa madaktari wanajitolea dawa bila kuwa mwongozo hivyo kila daktari kujitibia anavyoamua.
Mwongozo huo utakuwa tayari ifikapo kesho na utaandaliwa na madaktali bingwa wa mfumo wa upumuaji.
Lakini swali la msingi ambalo tunatakiwa kujiuliza. Je, huo ugonjwa unaothiri mfumo wa kupumua ni upi?
Kwa mujibu wa Dk Mwaibambe ni kuwa mwongozo huo utaelekeza ni dawa zipi ambazo mgojwa aliyeathirka mfumo wa kupumua anatakiwa apewe,sababu mpaka sasa madaktari wanajitolea dawa bila kuwa mwongozo hivyo kila daktari kujitibia anavyoamua.
Mwongozo huo utakuwa tayari ifikapo kesho na utaandaliwa na madaktali bingwa wa mfumo wa upumuaji.
Lakini swali la msingi ambalo tunatakiwa kujiuliza. Je, huo ugonjwa unaothiri mfumo wa kupumua ni upi?