Habari Wana Jf,
Samahani ni kwa wiki mbili sasa nmekua nikiwashwa kuanzia maeneo ya kiunon mpk miguuni hali hyo inanifanya nijikune kila wakati
Mbaya zaidi uume pia unawasha sana hvo nalazimika kujikuna k2 kinachopelekea kichwa cha uume wang kupata mabaka.
Nilienda pharmacy nikaambiwa ni...
Baadhi ya maswali yaliyoulizwa na wadau kuhusu ugonjwa huu
Wataalamu poleni na majukumu ya kuhudumia afya zetu,
Mimi nina tatizo la ugonjwa wa Vitiligo, lips ya chini imebadilika colour na nyekundu kama nakunywa pombe kali, na kichwani nimetokewa alama nyeupe kama kishilingi, na shingoni nina...
Kwa tatizo hili la ugonjwa wa kisukari hapa nzchini kwanini wanasiasa wanaotengeneza ilani ya vyama vyao asiwepo mmoja akaliona hili tatizo na kuja na sera ya matibabu yake yawe bure Kama magonjwa ya TB na Homa ya ini, hasa chanjo.
Kwani kwa Sasa swala la chanjo ya Homa ya ini ni tatizo kuipata...
Nimeamka asubuhi tu nakutana na sms yao ati nitumie hela kwenye namba hii..! Haya majamaa sijui huwa yanafikiria hela ni kama pua tu kila mtu anayo!!.. wangejua hii weekend imekaa kikomamanga hata wasingetuma li sms lao..!
Mtu huna hata ya kununulia soda ya jero licha ya soda tusiende mbali hata...
Kulingana na daktari wa afya ya uzazi wa wanawake nchini Tanzania Dkt Berno Mwambe, hali hii kwa Kiingereza hufahamika kama Disorder of Sex Development (DSD). Hii ni hali ya viungo vya uzazi kukosa kukomaa.
Anasema kuna aina nyingine ya ugonjwa unaojulikana kama Mayer-Rokitansky-Kuster-Hauser...
Habari wasomaji wangu, wa makala za jifunze saikolojia.
Basi leo nimeleta somo kuhusu ugonjwa wa saikolojia unaofahamika kama Bipolar Disorder. Pengine wengi wetu neno ili au msamiati huu ni mpya kabisa kuusikia au wengi waliousikia lakini hawakuweza ingia kujifunza kuelewa Bipolar ndio ukoje...
Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka...
DAKTARI bingwa wa magonjwa ya pua, koo na mdomo kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili-Mloganzila, Perfect Godfrey, ameishauri jamii kuwapeleka watoto wanaokoroma hospitali kupata matibabu kwani kukoroma ni ugonjwa kama magonjwa mengine.
Dk. Godfrey alisema zipo jamii zinazoamini kuwa kukoroma...
Watu hao juu huwa na wembamba mzuri na kukwepa magonjwa ya moyo,pressure na sukari,kwani hufanyeje fanyeje hadi kulinda miili yao?ili na sisi tuwe nayo.
Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, na kujikomba kwa wazungu.
Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana...
Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu
Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck (jina halisi Joaquin Phoenix) kupitia movie ya JOKER 2019 na movie zingine nyingi zinazomuonyesha kuwa...
Kwa jina lingine hujulikana kama GENITAL WARTS.
SUNZUA ni ugonjwa wa ngozi unao sababishwa na virusi vya aina ya HUMAN PAPILOMA {{ HPV }} ambapo huota kama vipele au vinyama ambapo mara nying unapo kitumbua ndo huongeza vingine, ila ukitumbua na kupaka dawa hukauka.
SUNZUA mara nyingi huota...
Wakuu naomba mnijuze maana mimi mimi ndo nimeskia leo! Nilikuwa sina habari, Na Mbu huyo anakuwa Amemuuma mtu mwenye hayo magonjwa hapo juu,
Kisha akikuuma na wewe pia lazima uugue, pia naomba kujua dalili zake na pia tiba au chanjo.
Madagascar imeuweka Mji wake Mkuu, Antananarivo kwenye ‘lockdown’ mpya kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya CoronaVirus ikiwa ni miezi miwili tangu masharti ya ‘lockdown’ hiyo yalipolegezwa
Taarifa kutoka Ikulu imesema “Mkoa wa Analamanga, ambapo Mji Mkuu unapatikana, unarudishwa kwenye...
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na tovuti ya kidiplomaisa ya Ureno imesema, mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 11 za Ulaya wamekubali masharti ya kufungua tena mipaka na kurejesha uhuru wa mawasiliano kati ya wakazi wa Ulaya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wawakilishi kutoka Ujerumani, Austria...
1. Muhula wa kwanza utaanza tarehe 29.06.2020 mpaka tarehe 28.08.2020
2. Likizo fupi itakuwa kuanzia tarehe 29.08.2020 mpaka 06.09.2020
3. Muhula wa pili utaanza tarehe 07.09.2020 mpaka tarehe 18.12.2020
4. Siku tulizosoma kabla ya kufunga shule kwaajili ya corona ni 52,siku zilizobaki...
Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser
Picha zake zimeshtusha mashabiki kutokana na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.
Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa...
Hali ya mifumo ya afya katika nchi nyingi za Afrika limekuwa ni suala lenye msukosuko mkubwa. Miundombinu ya afya katika nchi nyingi za Afrika haitoshelezi mahitaji ya raia na kuepeleka vifo ambavyo vinaweza kuzuiliwa
Ujio wa ugonjwa wa Covid-19 umepelekea viongozi wengi wa Afrika wataharuki...
"Tanzania imetajwa kuwa ya 4 kwa ugonjwa wa Seli Mundu (Sickle Cell) duniani, hali inayosababisha asilimia 7 ya vifo kila mwaka. Watoto elfu 11 huzaliwa Tanzania na ugonjwa wa Seli Mundu kila mwaka."- Waziri Ummy Mwalimu.
=====
WAZIRI UMMY AZINDUA MWONGOZO WA MATIBABU YA SIKOSELI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.