Nasikia kuna lawama juu ya kuongezeka kwa kasi kwa deni la taifa, naomba kuuliza, mwisho wa kuhimilika kwa deni la Tanzania ni trilioni ngapi?
Kama ni trilioni 50, au 60, au 70 au pengine hata trillion 100, basi tukope haraka haraka kwa kasi zaidi hadi pale deni litakapokuwa halihimiliki ili...