Msubiri state agent na Kawe Alumni wanakuja kukupa majibu!
Hii ni ujinga sasa. Kuabudu binadamu ndio kitu cha ujinga kabisa binadamu anaeza fanya maishani mwake. Hii imenifanya nikabadilisha mawazo kuhusu Watanzania. Bado mna kazi sana ndugu zetu. Nawaombea mpate uhuru maana bado hamna uhuru kama lazima usujudu na kupiga magoti mbele ya binadamu. Hii ni upuzi ya hali ya juu sana. Nimeudhika na hio video.
Hueleweki. Punguza bangi.Wewe mbona unaabudu upepo na mizimu ya Kiyahudi?
Yaaaani!!Aisee watz sisi bado sana.. nchi imejaa mambumbu mpaka unajisikia aibu kuwa mtz.. wtf is going on!?
Wewe mbona unaabudu upepo na mizimu ya Kiyahudi?
Kuna upande mwingine usioujua, sikiliza :
Siasa ni Rufaa ya Sauti ya Watu
Source: Kwanza TV
Kuna upande mwingine usioujua, sikiliza :
Siasa ni Rufaa ya Sauti ya Watu
Source: Kwanza TV
Mbna umeumia sana hvo..si wewe ulisema huna chama na wala hujawai kupiga kura..yamekuaje sasa unawatetea wana lumumba..????Wewe mbona unaabudu upepo na mizimu ya Kiyahudi?
Sio kwa Kiswahili hicho jameni, kanikosha sana kwa kiswahili kilichonyooka.
Mbna umeumia sana hvo..si wewe ulisema huna chama na wala hujawai kupiga kura..yamekuaje sasa unawatetea wana lumumba..????