simba

  1. abel p

    Makongoro Nyerere na mfano wa Yanga kuiokoa Simba

    Wakuu salam leo nilikuwa nafuatilia kwa kalibu kampeini za Magufuli kule mkoani mara mara baada ya kupanda kaka wa taifa kama alivyoitwa na katibu makongoro alitiwa mifano mingi mizuri ila miwili tu mifano iliyo nivutia 1. Alisema huwezi kukumbatia jiko la makaa ya moto 2. Alitowa mfano wa...
  2. Last Seen

    Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

    Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imemchagua Barbara Gonzalez Kuwa Afisa mtendaji Mkuu wa klabu hiyo. Barbara amechaguliwa na bodi ya wakurugenzi ya Simba,anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Senzo aliyetimkia kwa wapinzani wao Yanga. WHO IS BARBARA GONZALEZ? Barbara Gonzalez is the head of...
  3. Kipenzi Changu

    Mashabiki wa Simba hawana baya

  4. Erythrocyte

    Simba itadhalilishwa hadi lini?

    Ni kweli kwamba kapuku hana thamani, lakini wakati mwingine umasikini tunajitakia tu , kwa umati wa wanachama na wapenzi wa simba nchi nzima timu hii haistahili kuitwa masikini, kama tutapata oganaiza mzuri mwenye ujuzi na mfia Simba, basi timu hii itaweza kujikimu na hivyo kuondokana na dhiki...
  5. Kipenzi Changu

    Simba kikosi kipana yaichakaza AFC goli 6

    Meddie Kagere goli 2 Rally Bwalya goli 1 Miqsonne goli 3
  6. J

    GE2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu. Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni...
  7. B

    Yanga kwa kweli wamewafunika Simba 100%

    Jamani, jamani, jamani hii Yanga Day Imetisha! Yanga kweli ni kiboko yao Kwanza imejaza uwanja watu wamefurika mpaka nafasi hakuña wengine wamebaki nje ukilinganisha na Simba day uwanja ulipwaya Sana. Show ya msanii (harmonise) Latisha namna alivyoingia uwanjani. Kabumbu limepigwa vizuri Sana...
  8. Rajab_Omar

    Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

    Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba? Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi. Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini...
  9. GENTAMYCINE

    Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

    Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa...
  10. KANYIMBI

    Simba yacheza mechi mbili na kushinda zote

    SIMBA SC YACHEZA MECHI MBILI KWA MPIGO LEO ASUBUHI YASHINDA ZOTE, YAIPIGA KMC 3-1 NA TRANS CAMP 5-2 UHURU KATIKA kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii, Simba SC wamecheza mechi mbili za kirafiki leo asubuhi Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mechi ya kwanza wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi...
  11. MK254

    Simba to assemble Sh1m Malaysian car in Kenya from November, 2020

    Simba Corporation is set to assemble Malaysian car brand Proton in Kenya starting November, aiming to attract price-sensitive middle-class buyers with prices as low as Sh1 million inclusive of taxes. This will expand the list of passenger cars assembled in the local market, joining Volkswagen...
  12. kavulata

    Simba wanasubiri mo aweke 20 bn wakinukishe

    Gogoro Simba la kumtimua mo linasubiri pale tu mo atakapoweka 20 bilioni kwenye account ya Simba. Nadhani hata mo analifahamu hilo vizuri ndo maana anachelea kuachia zigo. Simba wanataka mo alete 20bn lakini wao hawataki kutoa za kwao za umiliki wa 49%. Wanadhani mo hana uchungu na hela zake...
  13. Mkongwe Mzoefu

    Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

    Wewe ni mwekezaji tuu, na unahisa sizizozidi 49% hivyo Simba haiwezi kuwa Mali yako completely na kufanya utakalo bila ridhaa ya wengine. Nani kakutuma umpigie kampeni Magufuli katika shughuli rasmi za club bila ridhaa ya wanachama? Club yetu haina itikadi ya kisiasa wala kidini hivyo ukome na...
  14. T

    Je, mbinguni kutakua na wanyama kama Simba, Chui, Swala au Mamba, na je wataishi pamoja bila kulana?

    Je, mbinguni ambapo tunaahidiwa kutakua na perfect life, hakuna kifo, hakuna kulia, hakuna njaa, ni furaha mwanzo mwisho, ni kuimba na kuabudu mwanzo mwisho wanyamapori kama simba, chui, swala, nyumbu na wengine watakuwepo? Je wataishi kwa upendo bila kulana, watashirikiana kila kitu? Je, wao...
  15. Dam55

    Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

    Ombi langu kwenu wananchi tukaribisheni siku ya mwananchi Kama kweli mna nia ya kupima team yenu kwa usajili mlio fanya. Tutawapangia kikosi rafiki Kama hiki. 1. Salim 2. kameta 3 Gadiel Michael 4. Ame 5. Kenedy 6. Mzamiru 7. Dilunga 8. Fraga 9. Ilamfya 10 Ndemla 11. Miraji Athuman...
  16. demigod

    Klabu kubwa kama Simba SC, hii ni fedheha

    Kuna baadhi ya vitu vinaweza kukufanya ujifikiria mara mbili kama ulifanya chaguo sahihi kuwa shabiki wa Simba CS. Kuna upuuzi fulani ulifanywa na Utopolo FC kwa kumbeba mhabeshi alipokuwa akiwasili uwanjani Airport akitokea Congo. Ile picha iliwachoresha sana. Kwa mtu mshamba ambaye haijui...
  17. K

    MO ashambuliwa mitandaoni na Wanasimba baada ya kumpigia Kampeni "Zungu" na Magufuli Simba Day

    Wanasimba walichukizwa saana na kitendo alichokifanya MO jana wakati akimtambulisha mgeni rasmi aliyekuwa Mbunge wa Ilala Zungu kwa kuanza kumuombea kura uchaguzi ujao na baadae akaendelea kwa kusema Magufuli oyeee huku akiomba wananchi waendelee kumuamini Rais na kumpa kura tena mwaka huu...
  18. Kipenzi Changu

    Mashabiki Simba turuhusiwe kumuongezea mshahara Larryy Bwalya

    Sijui analipwa bei gani kwa mwezi huyu mwamba. Najua sisi mashabiki kumuongezea mshahara ni suala gumu kulitekeleza. Ila acha tutumie kama kivumishi cha kumpa anachodtahili huyu box to box locomotive magician maestro midfilder. Akituma pasi anatuma na pasi ya kutolea Raha kumtazama unatamani...
  19. Barbarosa

    Simba na Yanga zilianzishwa na mzungu, klabu zetu tulizojenga ziko wapi?

    Leo hii nchi nzima ni aidha Yanga au Simba, hata watu ambao hawaishi Dar lakini ni washabiki wa Yanga au Simba kwanini? Wewe unaishi Mwanza au Arusha Yanga au Simba inakuhusu nini? Huko uliko kwani hakuna timu, kwa nini usitoe sapoti yako kwa timu yako ya nyumbani uliko? Hata mnaelewa maana ya...
  20. demigod

    Tuko vizuri, Ila tutazame upya aina ya timu za kuzialika Simba Day

    Nimepata nafasi mujarabu kabisa ya kuketi kwenye kiti cha VVIP nikishuhudia mtanange wa mnyama mkali yaani Mwekundu wa Msimbazi alivyomgalagaza Topolo la kirundi. Kwa kiasi chake ninaweza kusema kuwa tupo vizuri, hatuja piga hatua sana kwenye suala la ubora ukilinganisha na kikosi kilichomaliza...
Back
Top Bottom