simba

  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 'Unafiki' huu sijauzoea japo ni mwana Simba SC tena 'lia lia' kabisa, jana tumecheza 'Mechi Mazoezi' na Green Warriors na Kufungwa je, mbona hatusemi?

    Mechi zote ambazo Klabu yangu 'pendwa' ya Simba SC imekuwea ikicheza hasa hizi zinazoitwa 'Mechi Mazoezi' tukishinda tu utaona katika Kurasa mbalimbali za Mitandao ya wana Simba SC na hata Klabu ya Simba huwa tunapewa 'Matokeo' haraka sana. Kwa mujibu wa Mtangazaji wa Clouds FM Shaffih Dauda...
  2. magnifico

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Simba na Yanga hazichezi saa nane mchana?

    Nimekuwa najiuliza hili swali muda mrefu inakuaje hizi timu ndogo zichezeshwe mchana wa jua kali na hawa jamaa (Simba na Yanga) wasicheze? Je, ipo kwenye kanuni au ni utashi tu wa viongozi?
  3. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

    Ukiwa ni mwendelezo wa vpl msimu wa 2020_2021 Simba anawakabili wanalamba lamba sukari toka turiani Je morson atafunga? Bocco atawaacha mtibwaa? Maufundi ya bwalya mguuni? Usikosee Update zitakuwa zinakuji Simba starting XI Manula Kapombe Tshabalala Onyango Kennedy Mkude Mzamiru Chama Morrison...
  4. This is...

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mh. Kigwangala amechokonoa yanayonyamaziwa, bila umakini kuna siku Mo atasema Simba SC ni mali yangu na tutakuwa tumechelewa

    Kwa kifupi sana ,niende kwa mada, Mimi namkubali Mh. Kigwa na kwa hili la Mo na Simba SC na bilioni zetu 20, kuna mambo ambayo ukimsikiza Mo ktk interview zake utagundua kwamba hapendi kuhojiwa kuhusu mzigo wake wa uwekezaji pale simba wa sh.bilioni 20. Pili, utagundua tayari pale Simba ,Mo ana...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kisheria mkataba wa Simba na Mo ulishakufa siku nyingi

    KISHERIA MKATABA WA SIMBA NA MO ULISHAKUFA SIKU NYINGI. Na Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Katika kesi ya PHOTO PRODUCTION LTD vs SECURICOR TRANSPORT LTD[1980] 1 ALL ER 556 mahakama ilisema kuwa pale ambapo wahusika katika mkataba watakuwa wamekubaliana aidha kwa maandishi ama mdomo...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

    Michael Sarpong Leo niseme tu ukweli wangu nimewahi Kuwashuhudia Washambuliaji mahiri sana hapa nchini Tanzania kutokea Timu mbalimbali za Ligi Kuu yetu hii ila kwa Kumtizama Kwangu katika Mechi zake Mbili huku nami nikiwa 'namtathmini' kwa Jicho langu la Kiuchezaji Mpira hasa miaka yangu ya...
  7. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CEO mpya Simba utawezaje kuitumikia klabu na kampuni ya TBL kwa wakati mmoja?

    Moja ya Habari iliyotamba kwenye duru la michezo na kwenye mitandao ya kijamii nchini mwishoni mwa wiki ni klabu ya soka ya Simba kumpata Afisa Mtendaji Mkuu mpya mwanamke , Barbara Gonzalez. Barbara Gonzalez, mbali na wadhifa huu mpya katika klabu hii kongwe ya soka nchini ni mfanyakazi wa...
  8. CAPO DELGADO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Beki ya kati ya Simba inanitesa

    Habari wana jamvi. Moja kwa moja nikimbilie kwenye mada kwa kuanza na Historia fupi ya klabu ya simba hususa ni kwa eneo lake la kujilinda tangu miaka ya 2000. Tumeshuhudia simba ikiwa na mabeki bora kabisa kwa Takriban miaka 10 Tumwshuhudia Boniface pawasa, Tumemshuhudia Victor costa Nyumba...
  9. Showio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba vs ihefu leo

    ⚽️ Mabingwa watetezi Simba 🦁 wanafungua dimba la ligi kuu dhidi ya wageni Ihefu, mnyama atashinda ngapi leo? Simba kushinda ni uhakika Bofya Parimatch kucheza sasa
  10. abel p

    JamiiForums Tanzania Makongoro Nyerere na mfano wa Yanga kuiokoa Simba

    Wakuu salam leo nilikuwa nafuatilia kwa kalibu kampeini za Magufuli kule mkoani mara mara baada ya kupanda kaka wa taifa kama alivyoitwa na katibu makongoro alitiwa mifano mingi mizuri ila miwili tu mifano iliyo nivutia 1. Alisema huwezi kukumbatia jiko la makaa ya moto 2. Alitowa mfano wa...
  11. Last Seen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

    Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imemchagua Barbara Gonzalez Kuwa Afisa mtendaji Mkuu wa klabu hiyo. Barbara amechaguliwa na bodi ya wakurugenzi ya Simba,anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Senzo aliyetimkia kwa wapinzani wao Yanga. WHO IS BARBARA GONZALEZ? Barbara Gonzalez is the head of...
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba hawana baya

  13. Erythrocyte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba itadhalilishwa hadi lini?

    Ni kweli kwamba kapuku hana thamani, lakini wakati mwingine umasikini tunajitakia tu , kwa umati wa wanachama na wapenzi wa simba nchi nzima timu hii haistahili kuitwa masikini, kama tutapata oganaiza mzuri mwenye ujuzi na mfia Simba, basi timu hii itaweza kujikimu na hivyo kuondokana na dhiki...
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba kikosi kipana yaichakaza AFC goli 6

    Meddie Kagere goli 2 Rally Bwalya goli 1 Miqsonne goli 3
  15. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu. Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni...
  16. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga kwa kweli wamewafunika Simba 100%

    Jamani, jamani, jamani hii Yanga Day Imetisha! Yanga kweli ni kiboko yao Kwanza imejaza uwanja watu wamefurika mpaka nafasi hakuña wengine wamebaki nje ukilinganisha na Simba day uwanja ulipwaya Sana. Show ya msanii (harmonise) Latisha namna alivyoingia uwanjani. Kabumbu limepigwa vizuri Sana...
  17. Rajab_Omar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

    Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba? Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi. Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnapoambiwa Simba Sports Club siyo 'Wenzenu' nchi hii muwe mnaelewa sawa? Haya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli shindana na Serikali sasa!

    Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa...
  19. KANYIMBI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba yacheza mechi mbili na kushinda zote

    SIMBA SC YACHEZA MECHI MBILI KWA MPIGO LEO ASUBUHI YASHINDA ZOTE, YAIPIGA KMC 3-1 NA TRANS CAMP 5-2 UHURU KATIKA kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii, Simba SC wamecheza mechi mbili za kirafiki leo asubuhi Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mechi ya kwanza wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi...
  20. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba to assemble Sh1m Malaysian car in Kenya from November, 2020

    Simba Corporation is set to assemble Malaysian car brand Proton in Kenya starting November, aiming to attract price-sensitive middle-class buyers with prices as low as Sh1 million inclusive of taxes. This will expand the list of passenger cars assembled in the local market, joining Volkswagen...
Back
Top Bottom