simba

  1. Sijijui

    Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

    Wanajamvi Hivi hakuna mtu anayeweza kumsaidia Mo kuelewa kuwa Kuna tofauti ya Simba na CCM, Je Mo anadhani yeye kuwa mwanaccm ndo wanasimba wote tumekuwa wanaccm na washabiki wa Magufuli? Kwamba Mo hana uwezo wa kutofautisha tamasha la Simba na tamasha la CCM? Mwambieni anaboa kutuletea uccm...
  2. kavulata

    2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

    Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae. Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee...
  3. Rajab_Omar

    Kwanini Mashabiki wa Yanga ndiyo Wanaoogoza kulalamikia Simba kudhulumiwa na Mo Dewji?

    Nimegundua kuwa kila ninapokutia Malalamiko dhidi ya Mo Dewji basi Mlalamikaji ni Mashabiki wa Yanga na sio Simba! Je Yanga amekuwa na huruma kwa kumtetea Simba dhidi ya kile wanachodai ni Utapeli wa MO? Au wanachotaka MO aondoke ili sisi Simba tufanane na Wao kwenye kuomba? Mashabiki Utopolo...
  4. Kipenzi Changu

    Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

    Tupo Tayari Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru. Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O Magoli yote ya Simba Onyo Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo...
  5. Komeo Lachuma

    Yanga wanahangaika sana kusema Mo hafai na kumpinga kuliko Simba wenyewe

    Nimeshangaa....kwa sasa Yanga ni kama wameongeza chuki kwa Mo Dewj. Wanamchukia sana. Mpaka kuhoji kama amekabidhi tsh Bilion 20 au bado. Wanafikiri B 20 unakabidhi tu kama unavyokabidhi tsh 50,000 kujitambulisha kwa demu wako. Simba hatuna waswas na Mo.tunaona anachofanya.tume relax na...
  6. Shark

    Sababu ya Senzo kuacha kazi Simba S. C. hizi hapa

    Sababu hizi hutoweza kuzisikia kwa Senzo wala MO mwenyewe. Labda wawe wamelewa ndo wanaweza kuropoka, lakini sio wakiwa wazima na akili zao. Hii ni kutokana na Jinsi sababu yenyewe ilivyokaa. Kuna Mdada, Binti, M Mama anaitwa BARBARA. Huyu ni "msaidizi" wa MO, lakini inawezekana kabisa ni zaidi...
  7. demigod

    Katika hili MO anatuingizia Siasa kwenye Simba SC yetu. Tusiogope kumdhibiti

    Tumepata kuisikia press ya Boss wetu Mohamed Dewji leo akiongea na vyombo vya Habari. Kilichonishtusha zaidi ni kuhusu ile Bilioni 20 aliyotuahidi wanachama kuitoa mara apatapo nafasi ya kusimikwa kama sehemu ya umiliki wa Klabu yetu. Mpaka sasa Mo ajaitoa hiyo pesa yote, huku akitoa majibu...
  8. kavulata

    Diamond amejibana kwenye Kona ya CCM na Simba

    Ameamua rasmi kuachana na wapenzi na mashabiki wa vyama vya siasa vya upinzani na Yanga kwa kutojali hisia za watu wa makundi hayo wakati anapotoa huduma CCM na Simba
  9. kavulata

    Simba day mnazingatia uwepo wa COVID-19?

    Sijasikia idadi ya watu wanaotakiwa kuingia kwenye tamasha la Simba day. Lakini sijawahi kusikia wizara ya afya ikisema Sasa tuache kuvaa barakoa, distancing, kunawa mikono na kunitize mikono. TFF inaruhusu mashabiki wachache kuingia viwanjani kuona mpira, je hii Ni kwa mpira tuu na sio kwenye...
  10. kavulata

    Nembo ya Simba imebadilishwa na nani?

    Logo ya Simba imebadilishwa na kuidhinishwa kutumika. Swali langu ni je, taratibu za kuibadili na kuitumia nembo mpya ya Simba zimefuatwa?
  11. Samia atosha tukutane2030

    Kumchukua Barmaid na kuingia naye Lodge, Guest House au Geto ni sawa na kumchezea simba

    Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya. Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia. Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie...
  12. Pettymagambo

    Unajua kishindo cha Simba leo jioni? Pita hapa nikutonye

    Tetemeko La Leo Pale Unyamani Kwa Vyanzo Vyangu Vyauhakika Itakua Hatari Watu Utopolofour Hawataamini Pale Ambapo Mwamba, Mtemi Huyu Wapale Kinshasa, Anaitwa Jean Marc Makusu Mundeleee, Anakwenda Kutufungia Usajili Leo, Then Tukatane Aug 22 Simba Day
  13. Shark

    Simba Kesho wana Jambo lao Kubwa zaidi kuliko Leo

    Mwendo ni Bandika Bandua, Kifupi hatusajili kwa ajili ya kushindana na Yanga, maana sio level yetu, tumeshaiacha mbali. Wale wa Vidonge Vya Presha kama kawa msisahau kesho kukaa na vidonge vyenu karibu. Kama vimeisha nunueni kabisa. Na Ikiwezekana itaneni kabisa muulizane kesho ni nani ili...
  14. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC Wenzangu hivi ni mpaka lini Simba SC itaendelea 'Kutunyayasa' namna hii katika Usajili? Tuwafukuzeni upesi GSM na Msola watuachie Timu

    Nikiwa kama Mshabiki Mwandamizi kabisa wa Yanga SC 'nimekerwa' sana na aina ya 'Unyanyasaji' wa 'Kimafia' kabisa tunaofanyiwa na Timu bora si tu Tanzania bali Afrika ya Mashariki na Kati, Duniani hadi hadi Mbinguni ya Simba Sports Club halafu Sisi Wanayanga tunabaki 'Kunyamaza' tu pekee. Wiki...
  15. Shark

    Simba wana jambo lao saa 11 jioni hii, kaeni mkao wa kula

    Sijajua kuna nini hasa, ila tusubiri tu mpaka saa kumi na moja jioni. Wale wa Mtaa wa Pili kama unajijua una Presha za hapa na pale basi agiza kabisa vidonge ukae na maji tayari tayari. Pia angalieni salio la bando lisije kua linaisha kabla ya muda huo mkakosa vitu. Yangu Ni hayo tu. UPDATES,
  16. Chizi Maarifa

    Ole wenu Simba, asema ole wenu. Kama mmemteka huyu mchezaji tutalaumiana

    Nasema hivi, haya maneno kuwa mmemteka Larry Bwalya kama ni kweli ntawafanyia jambo baya sana Simba. Baya sana. Kweli nawaambia ntawafanyia jambo ambalo babu yangu aliwafanyia waliomuibia ng'ombe wake mwwka 1984.. Muombee ziwe tetesi tu hivyo hivyo.tutaonana wabaya. Nyie si mna wachezaji...
  17. Kurzweil

    Simba SC hii Logo mmebuni au mmekwapua sehemu?

    Habari wanaJF, Klabu ya Simba inajinasibu kwa kuzindua Logo au Nembo yao Mpya lakini kama ni ukifuatilia wamecopy na kupaste kutoka kwa wengine. Je hii haiwezi kuwaletea shida kwa janja janja hii?
  18. demigod

    Hivi kwanini Jezi za Simba SC mara zote ni kichekesho?

    Hivi kwanini hawa jamaa hawajawahi kuwa na uzi mzuri hata kumshinda Azam FC? Kwanini wasifanye mpango wa kujifunza kwa wataalamu wa KIT kutoka Dar es Salaam Young Africans SC? Maana walitengeneza hulka kubwa sana kuhakikisha watu wawe makini na uzi ujao, uzi ulivyotangazwa tu kila mtu akaishiwa...
  19. Chizi Maarifa

    Msimu 2020- 2021 Simba tunamchapa kila mechi tutakayokutana naye. Tunamchapa vibaya kwa unyama wa hali ya juu

    Tukio la Simba kumchukua Morrison kimafia ni tukio ambalo litanichukua miaka mingi kufutika. Nimeumia kuliko ambavyo ningeumia kama ngeibiwa ng'ombe zangu. Sasa Yanga tunaanza maandalizi ya kumfunga Simba mechi zote ambazo atatia mguu kupambana nasi msimu huu. Hilo ndilo lengo letu kubwa...
Back
Top Bottom