simba

  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Sc Next Level wazindua uzi matata kabisa

    Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
  2. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Friendly match: Simba sc vs African sports

    Kikosi cha simba Ally salim Henry husein Hasan Mohammed Ame Ally Kennedy Bwalya Miraji Chama Ajibu Ilanfya Kahata Karibuni
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC yalaani upangaji wa matokeo, yaahidi kutoa ushirikiano kwa mamlaka

    My Take Mamlaka zisiogope kuishusha daraja Yanga
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba wanatuona sisi wanachama wa Simba ni Mabwege ?

    Ili kutusahaulisha na ile bil 20 iliyoahidiwa bila kuletwa na anayewapa hela ya kula, basi wanaamua tu kutuzuga na dhuluma za usajili kwa kuitegemea TFF ambayo imejaa wana simba. Hivi baada ya Kumchukua Morisson Simba ilifaidika na nini? hamjifunzi tu? sasa huyu Tonombe Mukoko mwenye mkataba wa...
  5. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Senzo yupo chini ya ulinzi anahojiwa kuihujumu Simba Sc

    Vyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Klabu Bingwa Afrika: Simba SC wapewa Plateau United ya Nigeria

    Nakudodoshea hii Simba Sc wamepewa Plateua United ya Nigeria. Club hii ambayo sio bingwa wa Nigeria; iliteuliwa kuwakilisha nchi kwa sababu ilikuwa inaongoza ligi kabla ya lockdown ya Corona. Anayeijua zaidi atudondoshee
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC 'mdhibitini' upesi sana Zackaria Hanspope na huu 'Uzushi' wake hukusu akina Chama, Miquissone na Bwalya atatuharibia

    Nimesikitika sana kama siyo mno Kumsikia leo mchana kupitia Kipindi cha Michezo cha Clouds FM Jumapili Mchana 'akiwashutumu' wazi wazi Wachezaji akina Clatous Chama, Luis Miquisonne na Larry Bwalwa kuwa Jana walicheza chini ya Kiwango na kwamba wanatakiwa 'Wahojiwe' kwani kuna uwezekano...
  8. Little brain

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba wanataka kutuaminisha Simba SC ni unbeaten

    Walipo fungwa na Ruvu kiongozi wao alisikika akisema 'Simba ni klabu iliyo fanya usajili mkubwa haiwezekani inafungwa na katimu ka VPL. jana tena huyo kiongozi anadai Simba ilistahili kushinda isipo kuwa kuna wachezaji wali ihujumu. Napia hawa viongozi wamekuwa walalamishi sana kwa marefa...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kocha wa Simba anza kuandaa begi lako upepo lazima ukuchukuwe

    Hii simba inayokwenda kushiriki champions league ndii ina mabeki wachovu namna hii kumbuka game nyingi za huko utakazo kutanazo zinafanania na hizi ambazo yanga amekutia presha. Viungo wa simba wamebaki jina tu pale wamebaki kuwa maaarufu wa kucheza na timu ndogo na kuzionesha umwamba utakutana...
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye mtanange wa yanga na simba waishia kwa 'sare'....!

    Mungu buana sijui kwa nini ameliweka jambo hili namna hii..kwamba Yanga Imepata sare kwa penati.Achilia mbali issue ya penati ile kuwa ilikuwa halali au la.?....manusura ni ile penati...! Isingekuwa kwa hisani ya PENATI ile sasa tungekuwa tunaimba 'kalale pema peponi Kamanda' .Hata hivyo...
  11. Little brain

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama mwanamichezo umegundua nini mechi ya Simba na Yanga

    Kwa upande wa simba watafute pacha nzuri centre back nzuri na defensive mildfilder kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe alipopewa tuzo ya MOTM WE UMEONA NINI?
  12. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya k/koo derby :Mashabiki wa simba tunakwama wapi?

    Toka kipindi cha kwanza hadi mpira unaisha naona comment nyingi zikiwa zinaelekeza lawama kwa wachezaji Mzamiru Yasin na John Bocco Napenda kuuliza hivi ni nini kosa lao?Maana huwa wanajituma lakini wengi wa mashabiki huwa hawataki kuwasikia. Maoni yangu kwa mechi ya Leo alietua ni refa. Japo...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninashauri 'Mashabiki' Wenzangu wa Simba SC leo tukivaa Jezi tuwe na za Mashati ya Kawaida ya Kubadilishia kwani Upepo si mzuri

    Msidanganyike na asiwadanganye Mtu 85% ya Mechi ( Derbies ) za Simba SC na Yanga SC nchini huwa zinachezwa sana nje ( namaanisha Kishirikina ) 10% Kuhonga Wachezaji au Waamuzi na 5% ni Ufundi pekee kutoka kwa Makocha. Bahati nzuri ninaposema 'Uchawi' ni mwingi ninamaanisha kwani nimeshawahi...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama alichosema leo Kocha wa Simba SC ni 'Mind Game' tu namuunga mkono, ila kama ni kweli 'lawama' zangu ziende kwa Uongozi

    Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC. GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya...
  15. CAPO DELGADO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utabiri wangu kikosi cha Simba kitakachoanza na Yanga kesho

    First Eleven ya simba Vs Yanga hapo kesho November 2020. 1. Aishi Manula 2. Salum kapombe 3. Mohamed Hussein 4. Pascal wawa. 5. Joash Onyango. 6. Jonas Mkude 7. Luis Misqueson 8 Muzamiru Yassin 9. John Boko 10. Chama Mwamba wa lussaka ccc 11. Kahata Nyambura.
  16. Shadida Salum

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba yaibuka na Ushindi

    Ligi kuu Soka Tanzania Bara imeendelea kutimua vumbi hii leo katika Dimba la Uhuru Jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha Simba dhidi ya Kagera Sugar Simba imeondoka na ushindi mnono wa Bao 2-0 ,ambapo magoli hayo yamefungwa na J.Bocco kwa mkwaju wa penati katika Dakika ya 42, na goli la pili...
  17. winnerian

    JamiiForums Tanzania Itatokea nini kama 'SIMBA' akiwala na kuwamaliza wanyama wote porini? Madhara ya CCM vs CCM

    Ikiwa bunge lijalo ni la CCM tupu na limetokana na kuua wapinzani wote porini (Tanzania) haya ndio madhara yanayoenda kutokea ambayo wayajuao ni wachache. 1. Wananchi kukosa wawakilishi wao bungeni. Wawakilishi kwa maaana ya watetezi wao, kwasababu wote waliopita kupitia CCM hawana ubavu au...
  18. Juakali jr

    JamiiForums Tanzania Ushabiki wa siasa za nchi sio kama wa Simba na Yanga

    Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapa juu, sitapenda kurudia kusema yaliyosemwa na wengine kwenye uchaguzi huu. Ila mwenye hekima ataweza kutofautisha madhara ya ushabiki wa timu za mpira na ushabiki wa siasa za nchi, tutakapoamua kushabikia siasa kama tunavyoshabikia Simba na Yanga tujue...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama Wewe ni Mwana Simba Sports Club 'Mwenzangu' na 'unajiuliza' nini 'Kimeitokea' Timu yetu na sasa 'inafungwa' mfululizo haya ndiyo majibu

    1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa 2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao 3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa...
  20. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC is somethingwrong somewhere

    Haya tena wana Simba tumepigwa na kibonde Ruvu shooting,safari hii nyumbani kwenye kiwanja kizuri kabisa. Nasema there is something wrong somewhere siyo bure, timu inayohudumiwa vizuri haiwezi kubali matokeo kama haya mfurulizo, sasa wanaSimba tuzame kwenye mahesabu ili tuibue hizi wrong...
Back
Top Bottom