kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,604
Timu zetu za VPL zimejaa vijana wengi wanaocheza kwenye viwanja vibovu sana. Vijana hawa wanapambana ili kupata nafasi ya kucheza Simba na Yanga na pengine Azam na nje ya nchi.
Simba kuna hela vijana wanafahamu hivyo lakini kinachowashangaza ni kuwaona wazee wengi kama Bocco, Ajibu, Onyango, Kagere, Mkude, Wawa, na Nyoni wako Simba pamoja na uzee wao.
Wazee kama hawa hawawezi kuchezeshwa mfululizo kila mechi kwenye viwanja vibovu dhidi ya timu zilizojaa vijana na askali wengi. Kama wazee watapata majeraha (sprain) kidogo tu kupona kwake ni shuhuli kubwa. Wazee hawa huwezi kuwategemea wacheze back to back ligi na mashindano ya champions kwa wakati mmoja.
usichangae simba ikawa mbovu sana round ya pili, la sivyo ianze sasa kuwapa nafasi vijana wacheze mara kwa mara
Simba kuna hela vijana wanafahamu hivyo lakini kinachowashangaza ni kuwaona wazee wengi kama Bocco, Ajibu, Onyango, Kagere, Mkude, Wawa, na Nyoni wako Simba pamoja na uzee wao.
Wazee kama hawa hawawezi kuchezeshwa mfululizo kila mechi kwenye viwanja vibovu dhidi ya timu zilizojaa vijana na askali wengi. Kama wazee watapata majeraha (sprain) kidogo tu kupona kwake ni shuhuli kubwa. Wazee hawa huwezi kuwategemea wacheze back to back ligi na mashindano ya champions kwa wakati mmoja.
usichangae simba ikawa mbovu sana round ya pili, la sivyo ianze sasa kuwapa nafasi vijana wacheze mara kwa mara