simba

  1. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba wanasubiri mo aweke 20 bn wakinukishe

    Gogoro Simba la kumtimua mo linasubiri pale tu mo atakapoweka 20 bilioni kwenye account ya Simba. Nadhani hata mo analifahamu hilo vizuri ndo maana anachelea kuachia zigo. Simba wanataka mo alete 20bn lakini wao hawataki kutoa za kwao za umiliki wa 49%. Wanadhani mo hana uchungu na hela zake...
  2. Mkongwe Mzoefu

    JamiiForums Tanzania Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

    Wewe ni mwekezaji tuu, na unahisa sizizozidi 49% hivyo Simba haiwezi kuwa Mali yako completely na kufanya utakalo bila ridhaa ya wengine. Nani kakutuma umpigie kampeni Magufuli katika shughuli rasmi za club bila ridhaa ya wanachama? Club yetu haina itikadi ya kisiasa wala kidini hivyo ukome na...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Je, mbinguni kutakua na wanyama kama Simba, Chui, Swala au Mamba, na je wataishi pamoja bila kulana?

    Je, mbinguni ambapo tunaahidiwa kutakua na perfect life, hakuna kifo, hakuna kulia, hakuna njaa, ni furaha mwanzo mwisho, ni kuimba na kuabudu mwanzo mwisho wanyamapori kama simba, chui, swala, nyumbu na wengine watakuwepo? Je wataishi kwa upendo bila kulana, watashirikiana kila kitu? Je, wao...
  4. Dam55

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

    Ombi langu kwenu wananchi tukaribisheni siku ya mwananchi Kama kweli mna nia ya kupima team yenu kwa usajili mlio fanya. Tutawapangia kikosi rafiki Kama hiki. 1. Salim 2. kameta 3 Gadiel Michael 4. Ame 5. Kenedy 6. Mzamiru 7. Dilunga 8. Fraga 9. Ilamfya 10 Ndemla 11. Miraji Athuman...
  5. demigod

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Klabu kubwa kama Simba SC, hii ni fedheha

    Kuna baadhi ya vitu vinaweza kukufanya ujifikiria mara mbili kama ulifanya chaguo sahihi kuwa shabiki wa Simba CS. Kuna upuuzi fulani ulifanywa na Utopolo FC kwa kumbeba mhabeshi alipokuwa akiwasili uwanjani Airport akitokea Congo. Ile picha iliwachoresha sana. Kwa mtu mshamba ambaye haijui...
  6. K

    JamiiForums Tanzania MO ashambuliwa mitandaoni na Wanasimba baada ya kumpigia Kampeni "Zungu" na Magufuli Simba Day

    Wanasimba walichukizwa saana na kitendo alichokifanya MO jana wakati akimtambulisha mgeni rasmi aliyekuwa Mbunge wa Ilala Zungu kwa kuanza kumuombea kura uchaguzi ujao na baadae akaendelea kwa kusema Magufuli oyeee huku akiomba wananchi waendelee kumuamini Rais na kumpa kura tena mwaka huu...
  7. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki Simba turuhusiwe kumuongezea mshahara Larryy Bwalya

    Sijui analipwa bei gani kwa mwezi huyu mwamba. Najua sisi mashabiki kumuongezea mshahara ni suala gumu kulitekeleza. Ila acha tutumie kama kivumishi cha kumpa anachodtahili huyu box to box locomotive magician maestro midfilder. Akituma pasi anatuma na pasi ya kutolea Raha kumtazama unatamani...
  8. Barbarosa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba na Yanga zilianzishwa na mzungu, klabu zetu tulizojenga ziko wapi?

    Leo hii nchi nzima ni aidha Yanga au Simba, hata watu ambao hawaishi Dar lakini ni washabiki wa Yanga au Simba kwanini? Wewe unaishi Mwanza au Arusha Yanga au Simba inakuhusu nini? Huko uliko kwani hakuna timu, kwa nini usitoe sapoti yako kwa timu yako ya nyumbani uliko? Hata mnaelewa maana ya...
  9. demigod

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuko vizuri, Ila tutazame upya aina ya timu za kuzialika Simba Day

    Nimepata nafasi mujarabu kabisa ya kuketi kwenye kiti cha VVIP nikishuhudia mtanange wa mnyama mkali yaani Mwekundu wa Msimbazi alivyomgalagaza Topolo la kirundi. Kwa kiasi chake ninaweza kusema kuwa tupo vizuri, hatuja piga hatua sana kwenye suala la ubora ukilinganisha na kikosi kilichomaliza...
  10. Sijijui

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mo usichanganye Simba na CCM wala Magufuli

    Wanajamvi Hivi hakuna mtu anayeweza kumsaidia Mo kuelewa kuwa Kuna tofauti ya Simba na CCM, Je Mo anadhani yeye kuwa mwanaccm ndo wanasimba wote tumekuwa wanaccm na washabiki wa Magufuli? Kwamba Mo hana uwezo wa kutofautisha tamasha la Simba na tamasha la CCM? Mwambieni anaboa kutuletea uccm...
  11. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

    Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae. Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee...
  12. Rajab_Omar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Mashabiki wa Yanga ndiyo Wanaoogoza kulalamikia Simba kudhulumiwa na Mo Dewji?

    Nimegundua kuwa kila ninapokutia Malalamiko dhidi ya Mo Dewji basi Mlalamikaji ni Mashabiki wa Yanga na sio Simba! Je Yanga amekuwa na huruma kwa kumtetea Simba dhidi ya kile wanachodai ni Utapeli wa MO? Au wanachotaka MO aondoke ili sisi Simba tufanane na Wao kwenye kuomba? Mashabiki Utopolo...
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Day: Simba SC yaisambaratisha Vital-O 6-0

    Tupo Tayari Hatimaye ile sikukuu kubwa la kisoka Africa inafika kileleni leo katika viwanja vikubwa viwili Benjamin Mkapa na Uwanja wa Uhuru. Tutakuwa hapa kuwapa updates ya matukio na mechi kali kati ya Simba SC Vs Vital O Magoli yote ya Simba Onyo Nitakuwa wa mwisho kutomuunga mkono Mo...
  14. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga wanahangaika sana kusema Mo hafai na kumpinga kuliko Simba wenyewe

    Nimeshangaa....kwa sasa Yanga ni kama wameongeza chuki kwa Mo Dewj. Wanamchukia sana. Mpaka kuhoji kama amekabidhi tsh Bilion 20 au bado. Wanafikiri B 20 unakabidhi tu kama unavyokabidhi tsh 50,000 kujitambulisha kwa demu wako. Simba hatuna waswas na Mo.tunaona anachofanya.tume relax na...
  15. Shark

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu ya Senzo kuacha kazi Simba S. C. hizi hapa

    Sababu hizi hutoweza kuzisikia kwa Senzo wala MO mwenyewe. Labda wawe wamelewa ndo wanaweza kuropoka, lakini sio wakiwa wazima na akili zao. Hii ni kutokana na Jinsi sababu yenyewe ilivyokaa. Kuna Mdada, Binti, M Mama anaitwa BARBARA. Huyu ni "msaidizi" wa MO, lakini inawezekana kabisa ni zaidi...
  16. demigod

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika hili MO anatuingizia Siasa kwenye Simba SC yetu. Tusiogope kumdhibiti

    Tumepata kuisikia press ya Boss wetu Mohamed Dewji leo akiongea na vyombo vya Habari. Kilichonishtusha zaidi ni kuhusu ile Bilioni 20 aliyotuahidi wanachama kuitoa mara apatapo nafasi ya kusimikwa kama sehemu ya umiliki wa Klabu yetu. Mpaka sasa Mo ajaitoa hiyo pesa yote, huku akitoa majibu...
  17. kavulata

    JamiiForums Tanzania Diamond amejibana kwenye Kona ya CCM na Simba

    Ameamua rasmi kuachana na wapenzi na mashabiki wa vyama vya siasa vya upinzani na Yanga kwa kutojali hisia za watu wa makundi hayo wakati anapotoa huduma CCM na Simba
  18. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba day mnazingatia uwepo wa COVID-19?

    Sijasikia idadi ya watu wanaotakiwa kuingia kwenye tamasha la Simba day. Lakini sijawahi kusikia wizara ya afya ikisema Sasa tuache kuvaa barakoa, distancing, kunawa mikono na kunitize mikono. TFF inaruhusu mashabiki wachache kuingia viwanjani kuona mpira, je hii Ni kwa mpira tuu na sio kwenye...
  19. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nembo ya Simba imebadilishwa na nani?

    Logo ya Simba imebadilishwa na kuidhinishwa kutumika. Swali langu ni je, taratibu za kuibadili na kuitumia nembo mpya ya Simba zimefuatwa?
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kumchukua Barmaid na kuingia naye Lodge, Guest House au Geto ni sawa na kumchezea simba

    Ndugu zangu napenda kuwaasa, ma-barmaid wengi ni watu waliofika bar kwa bahati mbaya. Usidanganyike na makalio, wigi, lip stick, wanja au makucha yale ya bandia. Wengi ni watu waliokosa njia wakajikuta wako bar. Hivyo ni watu wanaoisaka fedha kwa hila zote. Ni nyoka wale, usiwakumbatie...
Back
Top Bottom