simba

  1. kavulata

    Senzo kuhamia Yanga ni hatari kuliko Morrison kuhamia Simba

    Kwa vyovyote vile Morrison ni mchezaji tu wa timu asiye na nidhamu na kazi yake, lakini Senzo ni taasisi. Senzo ana Mambo yote ya club ya Simba mabaya na mazuri kifuani mwake, ambayo sasa ni rasmi yanaweza kufika mikoni mwa mwajiri wake mpya. Wasiwasi yangu ni Yale mabaya (Kama yapo)...
  2. Pdidy

    Mshahara wa B. Morrison utakavyoisambaratisha Simba Sc na wachezaji wake

    Kwa msiojua tu kijana amesajili miezi else kama ataendelea ama lah Kwa msiojua tu kijana atakuwa akilipwa dola 9500 na sio 10" 000 wanavyosema Akiongezewa na gari na sehwmu ya kuishi sijajua swala la mabibi kama nalo liko mkatabani pengine amepewa na bibi Kinachohuzunisha hivisasa n kwamba...
  3. Zanzibar-ASP

    Napendekeza Makonda apewe sasa Ukatibu mkuu wa Simba sc

    Nafasi ya 'katibu mkuu' yaani Afisa mtendaji mkuu (CEO) wa Simba kwa sasa iko wazi mara baada ya aliyekuwepo awali kujiuzuru ghafla. Huu ndio wakati muafaka wa Simba sc kumpa hiyo nafasi Paul Makonda ambaye kwa sasa hana kazi rasmi mara baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar...
  4. demigod

    Sakata la Bernard Morrison, Mtendaji Mkuu Senzo Batha abwaga manyanga Simba SC.

    Nakumbuka nilisema juzi humu kuwa kuna pahala Simba SC wanakosea. Huwezi kuifanya klabu iendeshwe kwa weledi na wakati huo huo unaiendesha kwa Uhuni wa kizamani. Nilikuwepo na Social Media Content Manager pande fulani usiku wa Jana. Jamaa akanimwagia mchele chini ya kwamba sakata la BM kusaini...
  5. D

    Simba haijamsajili Morisson, ukweli ni huu

    Tangu jana baada ya kuwekwa picha kwenye akaunti rasmi za klabu ya Simba zikionesha picha ya Mchezaji Benard Morrison akiwa amevaa jezi zinazovaliwa na Timu hiyo, kumezuka Sintofahamu kwa wapenzi wa Mpira Tanzania. Picha moja inaonesha kama anaandika (saini?) Na nyingine kama mtu anayeweka dole...
  6. F

    Simba timu mnayo, ajirini mtaalam ama wafundisheni saikolojia wachezaji wenu mtatwaa CAF Champions League

    Habari wadau, Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba. Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA. Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni...
  7. mugah di matheo

    Kumekucha simba leo 8/8 saa 8

    Saa 8;00 mchana club ya simba inaanza utambulisho wa wachezaji wao wapya watakao tumika msimu ujao Unadhani watanza na nani? Je ni jack shonga au makusu?
  8. Greatest Of All Time

    Fainali ya Simba Vs Namungo Fc

    Leo ndio leo, Fainali ya Azam Sports Federation kati ya Simba Vs Namungo, mechi itakayopigwa uwanja wa Nelson Mandela pale Sumbawanga, Rukwa. Kama kawaida yetu, tupia utabiri wako nani anashinda kwa magoli mangapi? Ikiwezekana taja na wachezaji watakaoingia nyavuni! Mimi naanza, Simba 3-1...
  9. GENTAMYCINE

    Kama Rais Kagame ni Shabiki wa Arsenal FC unadhani Rais Magufuli nje ya kuwa Mwana Simba SC huko Ulaya atakuwa ni Shabiki wa Timu gani?

    Bravo,Congrats ARSENAL for a well deserved and needed win -FA CUP. We,FANS and supporters kept Faith in you...going forward let's aim at much bigger things. WE CAN... !!! paulkagame
  10. Analogia Malenga

    Polisi waonya mikusanyiko ya kumpokea Lissu, na maandamano ya wanafunzi

    Jeshi la polisi limesema limeona baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakihamasisha kukusanyika ili kumpokea mmoja wa kiongozi wanayetarajia kurejea nchini Julai 27, 2020. Polisi wamesema hawana taarifa rasmi ya mikusanyiko hiyo inayohamasishwa mitandaoni. Wamesema ni haki yao kukusanyika lakini...
  11. Kipenzi Changu

    Live Updates: Simba Sc Vs Alliance,Kukabidhi kombe la VPL kwa mashabiki

    Kikosi cha kutia adabu wanafunzi kama tulivyowatia adabu wakongwe Deportive La Utopolo Reds in Town tukikinukisha na kombe letu
  12. muhani

    Luis Miquissone ni amekuwa wa Moto Simba

    KIUNGO wa Simba, Luis Miquissone, raia wa Msumbuji, ameonekana kuwa moto wa kuotea mbali, labda kuliko staa mwingine kwenye timu hiyo kwa sasa. Huyu ndiye alikuwa staa kwenye mchezo wa nusu fainali wa Kombe la FA kati ya Yanga na Simba ambao Simba walishinda kwa mabao 4-1.Kiungo huyo ambaye...
  13. GENTAMYCINE

    Kwa Uweledi huu, Upendo huu mkubwa na Malezi haya mema unategemea kweli Wachezaji wa Simba SC ' wasipafomu ' Uwanjani na Kubeba Mataji yote?

    WACHEZAJI NA BENCHI LA UFUNDI LEO KILA MMOJA AMEPOKEA KIASI CHA TSH 10M ZA BONUS BAADA YA KUTINGA FAINALI YA KOMBE LA FA KIASI HIKO CHA 10M KILA MMOJA NI SAWA NA 380M KWA KIKOSI CHOTE CHA WACHEZAJI 29 BILA KUJALI ULICHEZA AU ULIKUA JUKWAANI. simbadaily.com Asante sana ' Big Boss ' Mo Dewji na...
  14. Miss Zomboko

    Serikali: Mechi ya Simba na Yanga imeonesha elimu zaidi bado inahitajika kuhusu CoronaVirus

    SERIKALI imesema changamoto ya kupeana nafasi kwa mashabiki walioingia uwanjani katika mchezo wa Simba na Yanga inaashiria elimu zaidi inahitaji ili kuchukua tahadhari ya janga la maambukizi ya virusi vya corona viwanjani. Katika mchezo huo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam...
  15. ommytk

    Yanga baada hiki kipigo tulichopigwa na Simba leo Msolwa kuna haja abaki klabuni

    Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini. Hivi viongozi wanajua shida tunayopata mashabiki, hebu Msolwa na wenzake watupishe kidogo. Hivi Msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa. Nimeumia sana leo.
  16. F

    Nimependa spirit ya Molinga game na simba, nashangaa kwanini uongozi wa yanga haumpendi

    Habari wadau Nina majonzi ya kufungwa na watani japo nilijua kwamba watani wana timu nzuri kuliko yetu. Wachezaji wa yanga wamezingua sana leo hasa safu ya ulinzi.. Tukiacha yote nimependa amsha amsha za papaa Molinga.. nashangaa why wanayanga hatumpendi Spirit yake kali sana na leo ni...
  17. AbaMukulu

    Utaratibu wa level seat usitishwe kama Simba na Yanga watajaza uwanja wa taifa

    Nimepita uwanja wa taifa na kuona magari ya serikali yakiuza tiketi za pambano la watani wa Kariakoo. Kwa kiashira hiki ni dhahiri uwanja wa taifa utatapika leo. Hili likifanyika basi marufuku ya level seat ISITISHWE. Marufuku hiyo iliyochukuliwa kama tahadhari ya Corona itakuwa haina maana...
  18. Chizi Maarifa

    Nasikitika kuwaambia Simba leo Mnachezea tena. Mganga kathibitisha hamtoki tunayo matokeo tayari

    Nimepata furaha sana na sasa hivi tunarudi na jamaa zetu tumeshatengeneza miundo mbinu uwanja wa Taifa. Toka jana tupo ndani ya uwanja na mzee wetu xxxxx xxxx tunafanya mambo. Baada ya hapo tumeangalia kwenye screen. Mambo yapo fresh kabisa. Simba wamefungwa matofali miguuni. Tunawachapa...
  19. H

    Simba ni rahisi Sana kufungika

    Tokea nianze kuifuatilia team ya Simba Ina udhaifu fulani especially Kama hautaipa space na kuwapress high wanapotea team nzima na ndio maana wanashindwa kupataga matokeo dhidi ya prison na hiki ndio kilichotokea wakatolewa na ud songo. Kocha wa Yanga akichanga karata zake vizuri Kama mwanzo...
Back
Top Bottom