simba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Simba mstaafisheni Juma Kaseja

    Itakuwa ni jambo la faraja sana kwake maarifa yake ni muhimu kwa bench la ufundi, Manula ni kipa mzuri hatuhitaji kuendelea kuthibitisha hili lakini anahitaji mwalimu atakae kuwa mfano halisi kwake. Kaseja Juma kwa sasa hiv hachezi mpira kuwavutia watu tena anacheza mpira kuwafundisha watu...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa Takwimu hizi za ukweli Kocha wa Taifa Stars Etiene Ndayiragije akisema Simba SC ndiyo Timu pekee inayojua Kufunga Magoli mtamlaumu?

    Mpaka sasa Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom imefikia Michezo 11 haya ndiyo Magoli ya Jumla ambayo yamefungwa na Timu Tatu Kubwa hapa nchini 1. Simba imefunga jumla ya Magoli 24 2. Azam imefunga jumla ya Magoli 12 3. Yanga imefunga jumla ya Magoli 9 Na kabla hamjasahau mpaka hivi sasa Mchezaji...
  3. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

    Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS. Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga...
  4. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Simba utanishukuru baada ya mechi

    1.Manula 2.Kapombe 3.Zimbwe 4.Onyango 5.Wawa 6.Nyoni 7.Miquisonne 8.mkude 9.Bocco/Kagere/Mugalu 10.Chama 11.Morisson Hiki kinatakiwa kuwa kikosi dhidi ya Plateau Utd nje ndani
  5. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Simba SC wakopi muonekano wa Jezi namba 3 ya Tottenham Hotspur

  6. Chukwu emeka

    JamiiForums Tanzania Viongozi ndiyo wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko, FCC yatoa taarifa leo. Mashabiki na wanachama wa Simba mtadanganywa hadi lini?

    TAARIFA YA MCHAKATO WA SIMBA KWENDA KWENYEMABADILIKO. - Tume ya Ushindani (FCC) haihusiki na ucheleweshwaji wa mchakato wa Mabadiliko ndani ya Klabu ya Simba SC kama ilivyoelezwa na viongozi wa Klabu hiyo Siku chache zilizopita. -Tume ya ushindani Tanzania (FCC) imeuuliza Uongozi wa...
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Yanga SC 'mtatukoma' Simba SC, kwani huyu tunayeenda 'Kumsajili' sasa Mukoko Tonombe wenu 'anasubiri' sana

    Kiingereza Tanzania's Giant Club and VPL Champions Simba SC have lined up Kaiser Chiefs and Kenyan international midfielder Anthony Teddy Akumu as the perfect replacement of Brazilian Gérson Fraga Vieira who was ruled out of the season after sustaining an injury. The Tanzania champions are...
  8. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Yanga kuiga Simba Sc ni jambo zuri, ila kuweni makini

    Sio Press realese Ni Press release
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba Sc Next Level wazindua uzi matata kabisa

    Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
  10. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Friendly match: Simba sc vs African sports

    Kikosi cha simba Ally salim Henry husein Hasan Mohammed Ame Ally Kennedy Bwalya Miraji Chama Ajibu Ilanfya Kahata Karibuni
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Simba SC yalaani upangaji wa matokeo, yaahidi kutoa ushirikiano kwa mamlaka

    My Take Mamlaka zisiogope kuishusha daraja Yanga
  12. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba wanatuona sisi wanachama wa Simba ni Mabwege ?

    Ili kutusahaulisha na ile bil 20 iliyoahidiwa bila kuletwa na anayewapa hela ya kula, basi wanaamua tu kutuzuga na dhuluma za usajili kwa kuitegemea TFF ambayo imejaa wana simba. Hivi baada ya Kumchukua Morisson Simba ilifaidika na nini? hamjifunzi tu? sasa huyu Tonombe Mukoko mwenye mkataba wa...
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Senzo yupo chini ya ulinzi anahojiwa kuihujumu Simba Sc

    Vyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Klabu Bingwa Afrika: Simba SC wapewa Plateau United ya Nigeria

    Nakudodoshea hii Simba Sc wamepewa Plateua United ya Nigeria. Club hii ambayo sio bingwa wa Nigeria; iliteuliwa kuwakilisha nchi kwa sababu ilikuwa inaongoza ligi kabla ya lockdown ya Corona. Anayeijua zaidi atudondoshee
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba SC 'mdhibitini' upesi sana Zackaria Hanspope na huu 'Uzushi' wake hukusu akina Chama, Miquissone na Bwalya atatuharibia

    Nimesikitika sana kama siyo mno Kumsikia leo mchana kupitia Kipindi cha Michezo cha Clouds FM Jumapili Mchana 'akiwashutumu' wazi wazi Wachezaji akina Clatous Chama, Luis Miquisonne na Larry Bwalwa kuwa Jana walicheza chini ya Kiwango na kwamba wanatakiwa 'Wahojiwe' kwani kuna uwezekano...
  16. Little brain

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba wanataka kutuaminisha Simba SC ni unbeaten

    Walipo fungwa na Ruvu kiongozi wao alisikika akisema 'Simba ni klabu iliyo fanya usajili mkubwa haiwezekani inafungwa na katimu ka VPL. jana tena huyo kiongozi anadai Simba ilistahili kushinda isipo kuwa kuna wachezaji wali ihujumu. Napia hawa viongozi wamekuwa walalamishi sana kwa marefa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Simba anza kuandaa begi lako upepo lazima ukuchukuwe

    Hii simba inayokwenda kushiriki champions league ndii ina mabeki wachovu namna hii kumbuka game nyingi za huko utakazo kutanazo zinafanania na hizi ambazo yanga amekutia presha. Viungo wa simba wamebaki jina tu pale wamebaki kuwa maaarufu wa kucheza na timu ndogo na kuzionesha umwamba utakutana...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Hatimaye mtanange wa yanga na simba waishia kwa 'sare'....!

    Mungu buana sijui kwa nini ameliweka jambo hili namna hii..kwamba Yanga Imepata sare kwa penati.Achilia mbali issue ya penati ile kuwa ilikuwa halali au la.?....manusura ni ile penati...! Isingekuwa kwa hisani ya PENATI ile sasa tungekuwa tunaimba 'kalale pema peponi Kamanda' .Hata hivyo...
  19. Little brain

    JamiiForums Tanzania Kama mwanamichezo umegundua nini mechi ya Simba na Yanga

    Kwa upande wa simba watafute pacha nzuri centre back nzuri na defensive mildfilder kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe alipopewa tuzo ya MOTM WE UMEONA NINI?
  20. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Baada ya k/koo derby :Mashabiki wa simba tunakwama wapi?

    Toka kipindi cha kwanza hadi mpira unaisha naona comment nyingi zikiwa zinaelekeza lawama kwa wachezaji Mzamiru Yasin na John Bocco Napenda kuuliza hivi ni nini kosa lao?Maana huwa wanajituma lakini wengi wa mashabiki huwa hawataki kuwasikia. Maoni yangu kwa mechi ya Leo alietua ni refa. Japo...
Back
Top Bottom