Wakuuu Habari za wkend,
Kuna hili suala la Wachezaji wanaokaa Benchi pale Simba yaani Akina Ajibu, Ndemla, Morrison, Gadiel nk nk
Lakini kule Yanga napo kuna akina Zawadi Mauya, Ninja, Wazir Junior, Boxer nk nk.
Kwanini Wachambuzi wa Soka wanaumizwa na kukereketwa saana na kuwasema zaidi Wasugua Benchi wa Simba, utaskia wanamwambia Ndemla Ondoka Simba, Ajibu kutoka kuwa kapteni mpaka kukaa benchi Simba, ondoka hapo!
Hivi nyinyi wachambuzi mnapoitazama Simba mnakuwa na makengeza yanayowazuia kuona timu zingine? Mlishindwa kushauri Usajili wa akina Raphael Daudi, akina Buswita, akina Mwashiuya, akina Bahanuzi, akina Busungu nk nk nk kisa tu mimacho yenu kutwa kucha ni kukosoa machaguo ya Wachezaji wanaotua Simba na mwishowe wanaosajiliwa huko kwingine hamuoni wanavyopoteza Vipaji vyao. Badilikeni muwasaidie wachezaji wote.
Paul Boxer wa Yanga yuko wapi? Mbona hamuuulizi kwanini hapewi nafasi??? Yule mtoto alikuwa motoooo chini ya Zahera na sasa amepotezwa mazimaaaa na husikiiii mchambuzi hata mmoja anamtetea wala huoni Wanayanga Wanaanzisha movement yoyote ya BRING BACK BOXER!
Wachambuzi wamejikita kutaka Mafaza akina AJIBU, MORRISON, KICHUYA nk ndio wapewe nafasi??? Unajiuliza hawa wachambuzi wana weledi au Makanjanja?
Kuna hili suala la Wachezaji wanaokaa Benchi pale Simba yaani Akina Ajibu, Ndemla, Morrison, Gadiel nk nk
Lakini kule Yanga napo kuna akina Zawadi Mauya, Ninja, Wazir Junior, Boxer nk nk.
Kwanini Wachambuzi wa Soka wanaumizwa na kukereketwa saana na kuwasema zaidi Wasugua Benchi wa Simba, utaskia wanamwambia Ndemla Ondoka Simba, Ajibu kutoka kuwa kapteni mpaka kukaa benchi Simba, ondoka hapo!
Hivi nyinyi wachambuzi mnapoitazama Simba mnakuwa na makengeza yanayowazuia kuona timu zingine? Mlishindwa kushauri Usajili wa akina Raphael Daudi, akina Buswita, akina Mwashiuya, akina Bahanuzi, akina Busungu nk nk nk kisa tu mimacho yenu kutwa kucha ni kukosoa machaguo ya Wachezaji wanaotua Simba na mwishowe wanaosajiliwa huko kwingine hamuoni wanavyopoteza Vipaji vyao. Badilikeni muwasaidie wachezaji wote.
Paul Boxer wa Yanga yuko wapi? Mbona hamuuulizi kwanini hapewi nafasi??? Yule mtoto alikuwa motoooo chini ya Zahera na sasa amepotezwa mazimaaaa na husikiiii mchambuzi hata mmoja anamtetea wala huoni Wanayanga Wanaanzisha movement yoyote ya BRING BACK BOXER!
Wachambuzi wamejikita kutaka Mafaza akina AJIBU, MORRISON, KICHUYA nk ndio wapewe nafasi??? Unajiuliza hawa wachambuzi wana weledi au Makanjanja?