Adhabu ya FIFA kwa Simba na Kichuya: Namuona Kichuya kwenye mechi ya Azam dhidi ya Namungo. Adhabu ile ilifutwa ?

Mwanamaji

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
2,896
4,495
Kutokana na sakata la usajili wenye utata wa mchezaji Shiza Kichuya kutoka Misri kwenda Simba, tumeambiwa hapa juzi tu kwamba Simba ilipigwa faini ya takriban milion miatatu na mchezaji tajwa kufungiwa miezi sita.

Lakini namuona Shiza Kichuya kwenye mechi ya Namungo dhidi ya Azam hapa ameingia kuchukua nafasi ya mchezaji A. Abeid.
Wakuu kwani vipi kuhusu kale ka adhabu ketu ka FIFA ?
Kalifutwa ?
Maana miezi sita bado haijapita.

Ufafanuzi tafadhali kwa wajuvi na wajuzi.
 
Kichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
FIFA hawaja communicate formally kwa Kichuya kuhusina na adhabu waliyompa! Nadhani ndio sababu yuko uwanjani! Taarifa za Mitandaoni sio rasmi hadi mlengwa atakapo Pata barua rasmi ya kusimamishwa kwake na ukomo wa hiyo adhabu
 
FIFA hawaja communicate formally kwa Kichuya kuhusina na adhabu waliyompa! Nadhani ndio sababu yuko uwanjani! Taarifa za Mitandaoni sio rasmi hadi mlengwa atakapo Pata barua rasmi ya kusimamishwa kwake na ukomo wa hiyo adhabu
Asante, nimekuelewa mkuu.
 
Vipi barua hiyo ilitaarifu namna ya usajili ulivyofanyika au kuzuiliwa kwa kichuya?
Kama barua ilifika Namungo obvious ni lazima iwe inaelezea adhabu ya Kichuya, Vinginevyo isingeenda Namungo.
 
Back
Top Bottom