Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,896
- 4,495
Kutokana na sakata la usajili wenye utata wa mchezaji Shiza Kichuya kutoka Misri kwenda Simba, tumeambiwa hapa juzi tu kwamba Simba ilipigwa faini ya takriban milion miatatu na mchezaji tajwa kufungiwa miezi sita.
Lakini namuona Shiza Kichuya kwenye mechi ya Namungo dhidi ya Azam hapa ameingia kuchukua nafasi ya mchezaji A. Abeid.
Wakuu kwani vipi kuhusu kale ka adhabu ketu ka FIFA ?
Kalifutwa ?
Maana miezi sita bado haijapita.
Ufafanuzi tafadhali kwa wajuvi na wajuzi.
Lakini namuona Shiza Kichuya kwenye mechi ya Namungo dhidi ya Azam hapa ameingia kuchukua nafasi ya mchezaji A. Abeid.
Wakuu kwani vipi kuhusu kale ka adhabu ketu ka FIFA ?
Kalifutwa ?
Maana miezi sita bado haijapita.
Ufafanuzi tafadhali kwa wajuvi na wajuzi.