Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,663
Kuna issue ya mchezaji Jonas mkude kusimamishwa na team yake ya simba kwa utovu wa nidhamu, sababu haijatajwa hadi leo.

Lakini kama kawaida ya mambo ya mtandao kuna speculations ikawa inasema MKUDE ALIMTONGOZA CEO WA SIMBA aitwaye Barbra Gonzalez

Huwezi epuka maneno kama hayo mtandaoni lakini dakika 3 zilizopita kwenye kipindi cha sports headquarters amcho bado kipo hewani kina Francis mhando na imma kapanga wamefanya JAMBO LA KISHENZI SANA, naomba ninukuu.

"Nasikia Mkude kakitokea chombo cha fundi, si unajua ni pisi kali ile" aisee kwanza ni dharau sana kwa wanawake wanachokionyesha hawa jamaa sana kwa wanawake. Na hapo wakisema chombo cha fundi wanamaanisha Mo Dewji

Tunajua kuna kampeni kubwa sana ya kuivuruga Simba kupitia media na it is well organised, ila makanjanja kuweni na heshima, Barbra siyo pisi kali ni mwanamke msomi na mchapakazi

Ukisikia mfumo dume ndiyo huu sasa wa jamii yetu, Barbra Gonzalez haangaliwi usomi wake na uchapakazi wake anaangaliwa kama chombo cha starehe na urembo wake ndiyo unamponza zaidi.

Shame on you Efm sikutaraji kusikia ujinga huo redioni
 
insaikitisha sana hayo mambo kupelekwa redioni kigogo kila siku twitter anaongea kuhusu DC fulani kwamba ni kina fulani lakini hawasemi redioni au wanaogopa?kuna mengine ni ya kuyaacha mtandaoni sababu mitandao ni vurugu kubwa kama kilabu cha pombe ila kwenye redio tena inayosikika mikoa mingi kuongea upuuzi kama huo?

YAANI CEO WA SIMBA ANAITWA PISI KALI CHOMBO YA FUNDI?(MO DEWJI) anyway fani yenyewe ya uandishi wa habari ishakuwa takataka siku hizi
 
Hivi nafasi ya CEO aliipataje?

Kazi ilitangazwa?

Qualifications zilikuwa zipi?

Kuna applicants wengine aliopambana nao?

Unadhani selection yake iliangalia nini ukilinganisha na interviewees wengine (kama walikuwepo)?

Ukiyajibu hayo maswali, utaelewa kwamba hiyo nafasi kaipata kwa sababu ya yeye kuwa na ukaribu na Fundi.

Simba walikuwa very unprofessional kwenye recruitment ya hiyo post ya CEO, na haya ndiyo matokeo yake.
 
Hapo imetumika tafsida.. So ivyo ndivyo jinsi ulivyoelewa.. Je wasikilizaji wengine wameelewa jinsi ulivyoelewa? Je, wazungumzaji wamemaanisha hicho ulichokielewa?

Kwenye biashara za kimataifa kulikuwa na mchanganyiko kama huu ndio maana watalamu wakaja na INCOTERMS ili kumuwezesha buyer na seller kuelewa kitu kinachofanana!
 
Hivi nafasi ya CEO aliipataje?

Kazi ilitangazwa?

Qualifications zilikuwa zipi?

Kuna applicants wengine aliopambana nao?

Unadhani selection yake iliangalia nini ukilinganisha na interviewees wengine (kama walikuwepo)?

Ukiyajibu hayo maswali, utaelewa kwamba hiyo nafasi kaipata kwa sababu ya yeye kuwa na ukaribu na Fundi.

Simba walikuwa very unprofessional kwenye recruitment ya hiyo post ya CEO, na haya ndiyo matokeo yake.
Haina shida imenikumbusha ile kesi ya ubakaji wa mtoto mdogo wa miaka 13 aliyebakwa zanzibar hakimu akaona mbakaji hana kosa sababu katoto kalishazoea kufanywa,hapa inafanyika justifications ya kumdhalilisha Barbra kwa kila namna.

ILA KITENDO TU CHA KUWA KWENYE NATIONAL RADIO NA KUWA NA ILLICIT THOUGHTS ZA KUMUONGELEA BARBRA KUMUITA PISI KALI NI ushenzi sana hata kama hujataja jina tushaelewa sana maana yamesemwa mtandaoni

Nimesikiza radio zote tangu juzi sijasikia wakiongelea hiyo fununu hata kwa utani

Utaokoteza mangapi ya mtandaoni uyapeleke redioni?I hope EFM soon watafanyia utani wa "PISI KALI MKUU WA WILAYA "kama kigogo anavyodaigi ni CHOMBO YA FUNDI
 
Hapo imetumika tafsida.. So ivyo ndivyo jinsi ulivyoelewa.. Je wasikilizaji wengine wameelewa jinsi ulivyoelewa? Je, wazungumzaji wamemaanisha hicho ulichokielewa?
Kwenye biashara za kimataifa kulikuwa na mchanganyiko kama huu ndio maana watalamu wakaja na INCOTERMS ili kumuwezesha buyer na seller kuelewa kitu kinachofanana!
NDIYO MAANA NIMEWAKUMBUSHA KUNA "PISI KALI MKUU WILAYA"kigogo huwa anasema ni CHOMBO YA FUNDI siyo mbaya wakarusha na hayo maneno hapo EFM.

Sasa redio kubwa kama ile inakuwa kama watoto wadogo bana unaokota uchafu wa mtandaoni unauleta redioni kweli?dah ndo maana mwakyembe alikuw anakazania hawa watu wakasome ethics za utangazaji.
 
fungu limetoka kubwa sana ku demonise simba kwa kila hali kwenye media za makanjanja mmekula hela lakini kuweni na mipaka MTUNZIENI BARBRA HESHIMA YAKE KAMA MWANAMKE MSOMI, msitengeneze mazingira ya nchi hii kwamba Mwanamke ni malaya na hawezi kushika cheo kikubwa bila kulalwa.
 
Hivi nafasi ya CEO aliipataje?

Kazi ilitangazwa?

Qualifications zilikuwa zipi?

Kuna applicants wengine aliopambana nao?

Unadhani selection yake iliangalia nini ukilinganisha na interviewees wengine (kama walikuwepo)?

Ukiyajibu hayo maswali, utaelewa kwamba hiyo nafasi kaipata kwa sababu ya yeye kuwa na ukaribu na Fundi.

Simba walikuwa very unprofessional kwenye recruitment ya hiyo post ya CEO, na haya ndiyo matokeo yake.


Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..

Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?

Kaambiwa Lete bilion 20 hataki

Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure

Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake

Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...
 
Haina shida imenikumbusha ile kesi ya ubakaji wa mtoto mdogo wa miaka 13 aliyebakwa zanzibar hakimu akaona mbakaji hana kosa sababu katoto kalishazoea kufanywa,hapa inafanyika justifications ya kumdhalilisha Barbra kwa kila namna..
ILA KITENDO TU CHA KUWA KWENYE NATIONAL RADIO NA KUWA NA ILLICIT THOUGHTS ZA KUMUONGELEA BARBRA KUMUITA PISI KALI NI ushenzi sana hata kama hujataja jina tushaelewa sana maana yamesemwa mtandaoni
Nimesikiza radio zote tangu juzi sijasikia wakiongelea hiyo fununu hata kwa utani
Utaokoteza mangapi ya mtandaoni uyapeleke redioni?I hope EFM soon watafanyia utani wa "PISI KALI MKUU WA WILAYA "kama kigogo anavyodaigi ni CHOMBO YA FUNDI

Kuna msemo kwamba watu wanakuchukulia kwa jinsi unavyojichukulia.

Simba na Yanga zimeamua kuendesha taasisi zao kihuni, hivyo hata hao watangazaji watazichukulia kihuni hivyo hivyo.

Nimezungumzia recruitment criteria ya CEO hapo, ilikuwa ya kihuni.

Tukija kwenye tatizo la Mkude, unapotoa press release ya utovu wa nidhamu kwenye sports, unakuwa obliged kutaja kosa husika kwa uma. Otherwise angepewa adhabu kimya kimya.

Kutotaja kosa unatengeneza mazingira ya uma kujaza kosa wao wenyewe.

Acheni kujiendesha kihuni ili mpewe heshima stahili.
 
Iko hivi
Mo anafanya utapeli..
Na watu njaa ndo wanamfagilia..

Tangu lini mwenye hisa 49 anateua CEO?

Kaambiwa Lete bilion 20 hataki

Anatumia club kutangaza bidhaa zake bure

Huyu Barbara alikuwa kwenye kampuni zake..
Kamleta pale aendeleze utapeli wake

Sasa ana Mo foundation ..ili asilipe na kodi kupitia foundation...
nazungumzia udhalilishaji siyo hayo
 
Back
Top Bottom