saa

  1. Kenya yafunga mipaka yake na Tanzania na Somalia. Zuio la kutotoka ndani laongezwa kwa siku 21

    Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka yake na Mataifa ya Tanzania na Somalia kuanzia usiku wa leo kwa siku 30 zijazo Rais Kenyatta amesema kuwa ni madereva wa magari ya kubeba mizigo pekee ambao wataruhisiwa kuingia nchini Kenya baada ya kupimwa COVID19 na kupatikana kuwa hawana...
  2. Mji wa Nakonde ulio mpakani mwa Tanzania na Zambia wapata maambukizi ya COVID 19 ya kufuru! Ndani ya saa 24 watu 202 waambukizwa

    Mji wa Nakonde unaopakana na Tunduma iliyo Tanzania unapata maambukizi mapya ya COVID 19 ndani ya saa 24 zilizopita kuliko mji mkuu wa Lusaka kwa mujibu wa wizara ya afya ya Zambia. Wakati haya yakiendelea kwa upande wa Tanzania tunaarifiwa kuwa waziri wa afya yupo katika hatua za mwisho...
  3. Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

    Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine. Tukio hili...
  4. Siku yako ya kuzaliwa halafu mpaka Saa Saba mchana hujaona ujumbe wowote wa kukupongeza kutoka kwa mpenzi wako...

    Tukiwa bado tunaendelea na kupiga nyungu tusisahahau kuendelea kuchukua tahadhari nyingine dhidi ya adui yetu Corona. Kwa kuwa kila mtu kazaliwa, basi kuna siku moja katika mwaka huwa inajirudia kwa maana ya tarehe na mwezi. Kwa wale wenzetu mliopo kwenye mahusiano, najua inapofika siku kama...
  5. J

    Chadema wataka Television ya taifa (TBC) iwe inarusha ibada mubashara siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kuepusha misongamano Ibadani

    Chadema imesema ni wakati sasa wa Runinga ya taifa kuwatumikia Wananchi kwa kuwapa fursa ya kufuatilia Ibada mubashara wakiwa majumbani mwao. Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita na Naibu waziri kivuli mh Upendo Peneza alipoongea na waandishi wa habari jijini Dodoma. Upendo amesema Waislamu...
  6. S

    Baa na vilabu kufungwa saa tatu usiku; tuko serious?

    Kupitia TBC1, nikiwa katika ofisa moja muda huu, nimeona habari kuwa vilabu na baa sasa kufungwa saa tatu usiku. Swali ni je, kufungwa saa tatu usiku kutasaidia? Tuko serious kweli?
  7. M

    Mwanga wa ajabu wa Jua leo Dar es Salaam saa 12:10 jioni, rangi ipo Kama nyekundu au Chungwa

    Sijui ule mwanga ulikuwa na ishara ya nini kwa anaejua maana lilikuwa jua kali lilowaka wa muda wa dakika 10 mpk 15. Nina imani wakazi wengi wa Dar es Salaam wameuona ====== TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWONEKANO WA ANGA KUWA NA RANGI NYEKUNDU AU CHUNGWA KATIKA BAADHI YA MAENEO NCHINI. Dar es...
  8. J

    RC Makonda atembelea kituo cha daladala Makumbusho. Ahimiza usafi, aruhusu bodaboda, Bajaji kuingia mjini

    RC Makonda ametembelea kituo cha daladala Makumbusho na kuzungumza na wadau wa kituo hicho wakiwemo madereva, makondakta, wafanyabiashara na abiria wanaosubiri kusafiri. Makonda ameahidi zoezi la kupuliza dawa mitaani litakuwa endelevu na kuwataka wananchi wawe na nidhamu kwenye swala zima la...
  9. Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa na Askari polisi kwa madai kuwa Moja wa abiria wake anahofiwa kuwa na Virusi vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakuna Abiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
  10. Bunge la bajeti litahudhuriwa na wabunge wasiozidi 150, sijajua sheria inaruhusu au huu uamuzi ni sahihi? Na bunge kuanza saa nane mchana

    Mabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma: Hakuna maswali kwa waziri mkuu Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu Waandishi wachache wataruhusiwa
  11. Freeman Mbowe kuongea na wanahabari saa 8 mchana wa leo tarehe 23 Machi 2020 kuhusiana na "gonjwa" la Corona

    Hii ni kwa mujibu wa ukurasa wa Twitter wa mh Lazaro Nyalandu. Don't go away.... Update.... Update.... clip ya speech yenyewe iko hapa Live: Freeman Mbowe akiongea na waandishi wa Habari muda huu jijini Dodoma - JamiiForums
  12. S

    Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari leo saa sita mchana

    Taarifa hii ilitolewa jana usiku (7:24 PM) na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Mawasiliano wa CHADEMA, bwana Jon Mrema kupitia mtandao wa twitter: Kesho Jumatatu tarehe 16.03.2020 saa Sita Kamili mchana, ofisi za Makao Makuu ya Chama Kinondoni Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe...
  13. Meru Kenya kunawaka moto saa hii

  14. Wanandoa wadai fidia baada ya kanisa lao kuvunjwa saa 48 kabla ya ndoa yao

    Muhwezi Benson and Akankwasa Sophie Wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta ndoa yao iliyogharimu takribani milioni 471 kuiandaa Mwanasheria wa wanandoa hao alisema kuwa wateja wake wamekuwa na hali ngumu hivi sasa kisaikolojia na wameingia madeni...
  15. Bernard Membe aitwa kwenye Kikao cha Kamati ndogo ya Udhibiti wa Nidhamu CCM

    Kupitia Ukurasa wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter, aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema ameitwa Jijini Dodoma kwenye Kikao hicho cha CCM Amesema amepata barua ya kuitwa hapo jana na ataudhuria bila kukosa au kuchelewa kikao hicho kitakachofanyika Februari 06 saa 3...
  16. Nini hasa kinafichwa bunge letu kutoonyeshwa live? Kama ni muda wa kazi, basi Tv zote ziwe hewani kuanzia saa 9:30 alasiri

    Ninaenda kwenye uchaguzi Mkuu 2020 bila kujua mchango wa Mbunge wangu bungeni. Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra. Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za...
  17. Ikulu, Dar | Rais Magufuli awaapisha Viongozi mbalimbali: Dkt. Abbas kuendelea kuwa Msemaji wa Serikali huku akiwa Katibu wa Wizara ya Habari

    Rais Magufuli anawaapisha leo hii Kamishna Jenerali wa Magereza, Kamishna Jenerali wa Zimamoto, Makatibu wakuu na Makatibu tawala wa mikoa saa 3:30 asubuhi. A. MAKATIBU WAKUU 1. MARY GASPER MAKONDO - kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Kabla ya uteuzi huo Bi...
  18. Wakati huwa hausimami hata Siku moja. Labda uwe na saa Mbovu

    Kipindi alipofanya Lissu 2017 zitto ndie aliyemshughulikia na kumuita lissu ni zwazwa, mufilisi nk. Ila 2020 huyu huyu ndumila kuwili Zitto kabwe anayafanya ya mwezie.. Nadhani muda utakapofika tutaelewana yale ambayo kila mwanasiasa 'anaonyesha kuyasimamia......'
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…