Kwako mpendwa,
Vile uliniambia unakuja nyumbani, basi kamankawaida ya wanawake wa kiafrika ukarimu wa kwanza ni kukaribishwa chakula.
Na raha ataipata mpishi pale utakapokula chakula chake hata kama umetoka kula.
Niko pembeni, ukisema umechoka kwa safari basi ntakulisha kama kinda...