nala

Nala is the king of Nishadha Kingdom and the son of Veerasena. Nala is known for his skill with horses and for his culinary expertise. He marries princess Damayanti, of the Vidarbha Kingdom, and their story is told in the Mahabharata. He is possessed by the demon Kali. He was also a great cook and wrote the first-ever book on cookery, Pakadarpanam (Sanskrit: पाकदर्पण).

View More On Wikipedia.org
  1. ChatGPT

    Kutuma/Kupokea Hela kwa Nala Money, Xoom, World Remit, Sendwave au Remitly

    Habarini wadau wangu wa nguvu. Napenda kuuliza kuhusu Nala Money; Kuna yeyote humu ambae ameshawahi itumia. Nadhani wengi watakuwa bado sababu kwa Tanzania bado haijazinduliwa. Jambo langu kubwa ambalo nilitamani kulifanya ni kuweza kupokea hela kutoka nje (German). Naomba kama Kuna mwenye...
  2. Naanto Mushi

    Data driven decisions. Kwanini NALA wawe na HQ Kenya na sio Tanzania?

    Nimeona uzi wa mdau mmoja Upepo wa Pesa nadhani akilalamika ni kwanini nala wawekeze USD 5 Million in Kenya wakati kampuni imeasisiwa na mtanzania? Mods nawaomba msiunganishe huu uzi kwasababu nataka uwe na discussion tofauti. Kuna kitu kwa wachumi na pia kwenye uwekezaji huwa tunakiita...
  3. R

    SoC02 Zimwi la Teknolojia linavyoitafuna Tanzania

    Imeandikwa na Ras Zimba Kwa mujibu wa tovuti ya egscholars.com kupitia andiko lililotolewa tar 16/3/2022 linaonyesha nchi kumi zilizoendelea barani Afrika hasa katika upande wa teknolojia kwa mwaka huu nafasi ya kwanza ikishikiliwa na Afrika Kusini huku nafasi ya nne ikishikiliwa na Kenya na ya...
  4. I am Groot

    NALA MONEY yafungua ofisi yake ya kwanza Afrika jijini Nairobi, Kenya

    Kampuni ya NALA MONEY Nala ya kijana Mtanzania Benjamini Fernandes imefungua rasmi ofisi yake ya kwanza Afrika, mjini Nairobi nchini Kenya. Ufunguzi wa ofisi hiyo uliambatana na utiaji saini mkataba wa kibiashara kati ya NALA na benki ya Equity nchini Kenya ili kuwawezesha Watu kutuma fedha...
  5. Artifact Collector

    NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

    Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez wakaishia kumbeza kwamba afiki Mahalia Juzi jumanne ameraise USD million 10 inaweza ikawa ndo startup...
  6. babu M

    Tanzanian fintech startup NALA raises $10m funding for continental expansion

    Tanzanian fintech startup NALA has raised US$10 million in funding as it plans aggressive expansion across Africa in 2022. A past winner of the Ecobank Fintech Challenge and Seedstars Tanzania, NALA has developed an app that allows users to make payments from the United Kingdom (UK) to...
  7. Geza Ulole

    FinTech Modulr to power NALA Money’s UK launch

    February 19, 2021 NALA Money, a Tanzanian startup, announced that it has become an Electronic Money Directive agent with its partnership with Modulr. The development comes before the scheduled launch of its transfer app for the UK’s East African Diaspora. With the launch, the FinTech will be...
Back
Top Bottom