Data driven decisions. Kwanini NALA wawe na HQ Kenya na sio Tanzania?

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,603
Nimeona uzi wa mdau mmoja Upepo wa Pesa nadhani akilalamika ni kwanini nala wawekeze USD 5 Million in Kenya wakati kampuni imeasisiwa na mtanzania?

Mods nawaomba msiunganishe huu uzi kwasababu nataka uwe na discussion tofauti.

Kuna kitu kwa wachumi na pia kwenye uwekezaji huwa tunakiita 'Follow the money' or 'Cash is King'.

Ukiangalia data au takwimu za 'Remittance flows baina ya Tanzania na Kenya utagundua kwamba wakenya wametuzidi pakubwa sana, wakati wakenya sasahivi wanapokea karibu USD 4 Billions kutoka nje kama remittances, Tanzania tupo kwenye USD 500 million na trend yetu inashuka.

Screenshot_20230305-193234_Chrome.jpg


So it is simple, maana yake unaweka biashara yako pale kwenye fursa, na ningemshangaa sana kama huyu mtu angeweka HQ Tanzania na akaiacha Kenya wakati data zinakuambia kabisa, kwamba fursa ipo Kenya.

Sasa swali la kujiuliza linatakiwa lisiwe kwamba ni kwanini aweke HQ Kenya na sio TZ, swali linatakiwa kuwa 'NI KWANINI REMITTANCE INFLOWS IN KENYA NI KUBWA KULIKO TANZANIA'.

Ukichambua sana utarudi kule kule kwa watetezi wa Kiswahili na wanaobeza Kiingereza.

Huwa nazungumza hili swala siku nyingi sana 'Kiswahili hakivuki maji' shauri yenu.

Ingekuwa hawa vijana wanamaliza form four wangekuwa wanajua kutema ungenge, ungewakuta wapo majuu huko wanakomaa na maisha na remittance flow ingekuwa kubwa, na hiyo ingepelekea watumiaji wa NALA kuwa wengi wenye asili ya Tanzania, na hiyo ingepelekea mmiliki wa Nala kuona haja ya kuwa na HQ hapa na sio Kenya.

Halafu kuna issues za regulations, Tanzania tuna sera kandamizi sana kwenye issue nzima ya uhuru wa kufanya miamala kutoka na kuingia ndani ya nchi, sheria zimekuwa mwiba mkali sana. Angalia sheria yetu ya anti money laundering, haipo friendly kabisa ku facilitate miamala ya kifedha kuingia ndani.

Pia mazingira ya biashara Tanzania bado sio mazuri, ukilinganisha na nchi kama Kenya.

Kwahiyo bado Tanzania ni nchi ambayo ni ipo kwenye high risk category ikiwa unataka kuweka uwekezaji wako hapa.

It goes like that.

Kiswahili hakivuki maji

N.Mushi
 
Kenya wako na mazingira bora sana ya uwekezaji. Kenya wanaitambua Forex, na iko regulated. Meanwhile, hapa bongolala hata Paypal imetushinda.

Linapokuja suala la uwekezaji, emotions na uzalendo vinawekwa pembeni. Watu wanaangalia kama mazingira yanafaa kufanya biashara.

Nothing more, nothing less!
 
Nimeona uzi wa mdau mmoja Upepo wa Pesa nadhani akilalamika ni kwanini nala wawekeze USD 5 Million in Kenya wakati kampuni imeasisiwa na mtanzania?

Mods nawaomba msiunganishe huu uzi kwasababu nataka uwe na discussion tofauti.

Kuna kitu kwa wachumi na pia kwenye uwekezaji huwa tunakiita 'Follow the money' or 'Cash is King'.

Ukiangalia data au takwimu za 'Remittance flows baina ya Tanzania na Kenya utagundua kwamba wakenya wametuzidi pakubwa sana, wakati wakenya sasahivi wanapokea karibu USD 4 Billions kutoka nje kama remittances, Tanzania tupo kwenye USD 500 million na trend yetu inashuka.

View attachment 2538373View attachment 2538373

So it is simple, maana yake unaweka biashara yako pale kwenye fursa, na ningemshangaa sana kama huyu mtu angeweka HQ Tanzania na akaiacha Kenya wakati data zinakuambia kabisa, kwamba fursa ipo Kenya.

Sasa swali la kujiuliza linatakiwa lisiwe kwamba ni kwanini aweke HQ Kenya na sio TZ, swali linatakiwa kuwa 'NI KWANINI REMITTANCE INFLOWS IN KENYA NI KUBWA KULIKO TANZANIA'.

Ukichambua sana utarudi kule kule kwa watetezi wa Kiswahili na wanaobeza Kiingereza.

Huwa nazungumza hili swala siku nyingi sana 'Kiswahili hakivuki maji' shauri yenu.

Ingekuwa hawa vijana wanamaliza form four wangekuwa wanajua kutema ungenge, ungewakuta wapo majuu huko wanakomaa na maisha na remittance flow ingekuwa kubwa, na hiyo ingepelekea watumiaji wa NALA kuwa wengi wenye asili ya Tanzania, na hiyo ingepelekea mmiliki wa Nala kuona haja ya kuwa na HQ hapa na sio Kenya.

It goes like that.

Kiswahili hakivuki maji

N.Mushi
Mkuu Tanzania ina mambo ya ajabu mkuu sana.
Kuna regulations sijui hata zinalisaidia nini taifa hili.
Mimi tu kila mwezi nikipokea ela less ni $500 kutoka nje na zote kwasababu Tanzania wana regulation zao za ajabu inabidi nizipitishe kenya. So flow iko hivi either paypal withdraw ni safaricom au skrill withdraw ni safaricom then safaricom to airtel money. Hapo anayehesabika kapokea hiyo pesa ni mkenya.
Na kuna zaidi ya watu hata 500 wanaotumia formula kama yangu hata humu wapo wengi.
Ukiwauliza paypal au upwork au skrill, jibh ni sheria za pesa Tanzania ndizo zinafanya mambo yawe hivyo.
Hili pia linafanya kuuza hata bidhaa kwenye platoforms za kimataifa kwa wajasi wadogo kuwa na changamoto. Wazungu wengi wanaiamini paypal linapokuja suala la malipo mtandaoni ila ndio tz paypal haipokei pesa.
Nchi ina mambo mengi ya ajabu na sijui wanafaidika nini kwa haya.
 
Uzi mzuri ila ulikosa point ya kwamba mifumo ya kupokea pesa from outside umefumbiwa macho na viongozi hii inapelekea hata baadhi ya wabongo kutumia mitandao ya kenya kuingizia pesa from outside serikali ikihakikisha mifumo inawezeshwa basi tanzania itapiga hatua

Halafu wabongo ni watu wa kukariri na kuona kitu kingine ni kama mtego wa kuchunguzwa acheni uzuzu utachunguzwa wewe ambaye hata bangi hujawai kuona mbona mafisadi hawachunguzi hili limefanga vitu vingi kufa wakihofia utapeli sawaa tujiongeze kidogo kwani hakuna atakaye kutapeli kama biashara itatoa faida ya kutosha

Karibuni for sale
 
Wakenya Lugha wanayotumia shule inawasaidia sana

Wakenya ni mabepari kwa halisia

Kenya inapeleka watu wengi nje ya Kenya.

Kila nchi ukienda lazima utawakuta Wakenya, nenda Dubai wamejaa, Saudi ndo uwanja wa nyumbani, Marekani ndio usiseme

Sisi Watz tuna ujinga mwingi
Watz tumejifungia hatutaki toka kutafuta kwingine
Passport yenyewe kuipata tatizo

Elimu yetu nayo yachangia kwa sehemu kubwa, tukitaka endelea tuwekeze kwenye lugha kuanzia Nursery
 
Nimeona uzi wa mdau mmoja Upepo wa Pesa nadhani akilalamika ni kwanini nala wawekeze USD 5 Million in Kenya wakati kampuni imeasisiwa na mtanzania?

Mods nawaomba msiunganishe huu uzi kwasababu nataka uwe na discussion tofauti.

Kuna kitu kwa wachumi na pia kwenye uwekezaji huwa tunakiita 'Follow the money' or 'Cash is King'.

Ukiangalia data au takwimu za 'Remittance flows baina ya Tanzania na Kenya utagundua kwamba wakenya wametuzidi pakubwa sana, wakati wakenya sasahivi wanapokea karibu USD 4 Billions kutoka nje kama remittances, Tanzania tupo kwenye USD 500 million na trend yetu inashuka.

View attachment 2538373View attachment 2538373

So it is simple, maana yake unaweka biashara yako pale kwenye fursa, na ningemshangaa sana kama huyu mtu angeweka HQ Tanzania na akaiacha Kenya wakati data zinakuambia kabisa, kwamba fursa ipo Kenya.

Sasa swali la kujiuliza linatakiwa lisiwe kwamba ni kwanini aweke HQ Kenya na sio TZ, swali linatakiwa kuwa 'NI KWANINI REMITTANCE INFLOWS IN KENYA NI KUBWA KULIKO TANZANIA'.

Ukichambua sana utarudi kule kule kwa watetezi wa Kiswahili na wanaobeza Kiingereza.

Huwa nazungumza hili swala siku nyingi sana 'Kiswahili hakivuki maji' shauri yenu.

Ingekuwa hawa vijana wanamaliza form four wangekuwa wanajua kutema ungenge, ungewakuta wapo majuu huko wanakomaa na maisha na remittance flow ingekuwa kubwa, na hiyo ingepelekea watumiaji wa NALA kuwa wengi wenye asili ya Tanzania, na hiyo ingepelekea mmiliki wa Nala kuona haja ya kuwa na HQ hapa na sio Kenya.

It goes like that.

Kiswahili hakivuki maji

N.Mushi
Wakenya wana Wizara ya Diaspora sisi tnanishana upuuzi.
 
Diaspora watanzania ni wachache mnoo na hii ya uraia pacha kutokukubalika ndio inafanya Mambo yawe magumu..

Kiasili watz sio aggressive kabisa maana linchi letu tu lenyewe lina fursa kila kona plus ujamaa wetu, mtu hata kama huna kipato cha uhakika Ila utakula na kulala hata kwa mashangazi

Hiyo akili ya kuhustle nje ya nchi unaipata wapi

Na sio kwamba nawasagia watu kunguni maana hata Mimi sio aggressive
 
Kenya wako na mazingira bora sana ya uwekezaji. Kenya wanaitambua Forex, na iko regulated. Meanwhile, hapa bongolala hata Paypal imetushinda.

Linapokuja suala la uwekezaji, emotions na uzalendo vinawekwa pembeni. Watu wanaangalia kama mazingira yanafaa kufanya biashara.

Nothing more, nothing less!
Regulations za Kenya pia ziko friendly especially kwenye miamala ya kuingia na kutoka nje.

Tanzania kuna ile sheria ya anti money laundering ilisainiwa na Prof. Mpango, yaani ni mwiba mkali kwenye miamala inayoingia nchini
 
Uzi mzuri ila ulikosa point ya kwamba mifumo ya kupokea pesa from outside umefumbiwa macho na viongozi hii inapelekea hata baadhi ya wabongo kutumia mitandao ya kenya kuingizia pesa from outside serikali ikihakikisha mifumo inawezeshwa basi tanzania itapiga hatua

Halafu wabongo ni watu wa kukariri na kuona kitu kingine ni kama mtego wa kuchunguzwa acheni uzuzu utachunguzwa wewe ambaye hata bangi hujawai kuona mbona mafisadi hawachunguzi hili limefanga vitu vingi kufa wakihofia utapeli sawaa tujiongeze kidogo kwani hakuna atakaye kutapeli kama biashara itatoa faida ya kutosha

Karibuni for sale
Mifumo ipo, ila kinachozuia ni regulations ambazo hazipo friendly... kwa Tanzania kuna sheria ya anti money laundering act ina vipengele ambavyo ni mwiba mkali, na ina discourage inflows.

Ila ni ukweli kwamba wakenya diaspora ni wengi sana kuliko Tanzania, na ndo hapo nimeamua kukita hoja yangu na issue ya uwezo wa kujua kiingereza wa wakenya kuliko wa Tanzania.

Ndo maana nimejieelekeza kwenye issue ya lugha
 
Jamaa umemaliza Kila kitu tanzania ni aibu tupu.kuna wajinga wengi ambao hawajawai kutoka hata mpaka nchi kujionea huko nje mambo yalivyo.

Kuna watu wanafanya maamuzi mpaka unadhani HAWA ni vichaa au viongozi

Imagine mtu unatumiwa tu million Moja kutoka nje ya nchi kupitia MoneyGram unapigiwa simu ofisi flani ukajieleze hiyo Hela umetumiwa ya kazi gani? Nani kakutuma

Sasa hapo unakuja kuwekeza ya Nini si utapata hasara tu.
 
Mkimbia kwao Mtumwa, hii kauli inauzito fula hivi... Ila yote hayo ni uwekezaji tu wala tusimlaumu yeye wala serikali sababu kila inchi ina taratibu zake za uwekezaji hapo me na sema ni swala la muda tuu.. Tanzania na Kenya ni nchi mbili tafauti na kinacho wabana uwekezaji Tanzania ni Personal flow remittance kwa wananchi kutokana na matozo na makodi ya kutosha.
 
Back
Top Bottom