Ameandika Zitto kupita twitter:
Russian leader boasts he has signed military agreements with 30 African countries this week - accompanied by deals for military helicopters, fighter jets and armoured vehicles
Tweet ya Millard Ayo nayo inasema hivi:
“Ndege nyingine nne zitaendelea kuja nchini...
Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo..
.
“ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu.
Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama...
Tangazo hilo linachezwa sana Wasafi fm (sijajua kwa Vituo vingine vya habari). Tangazo hilo linalosema kwamba hii dawa ya Hans Maks (naomba radhi kama nimeiandika vibaya) ukimpa tu Mtu Mlevi wa pombe ambaye ameshindakana kwa kila namna hasa ile ya ‘kimaombi‘ basi ukimpa hii Dawa ndani ya dakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.