mtu

  1. J

    JamiiForums Tanzania Lema: Wabunge wa CCM kumbukeni kuwa mambo yakiharibika tutazama wote bila kujali itikadi ya mtu

    Mbunge wa Arusha mjini mh Lema amesema wabunge wa CCM wanajisahau sana lakini mambo yakiharibika ni kama " mafuriko" yatawazoa wote bila kujali itikadi. Lema amesema atagombea ubunge mwezi octoba ili kuacha alama kwamba katika mminyo wa demokrasia kuna " wanaume" wachache walisimama hadi...
  2. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Hii nchi imekuwa kama familia ya kambale, kila mmoja ana ndevu

    Hii nchi yetu sasa imekuwa ya ajabu sana. Viongozi wetu nao wamekuwa vituko na watu wa ajabu kabisa. Imekuwa kama familia ya kambale ambapo ukoo mzima una ndevu.Yaani kanchi kamekuwa na mambo ya kipuuzi puuzi tu yasiyokuwa na adabu. Kanchi sasa hakana mipango, hakana sera wala hakana uelekeo...
  3. Mwinjilist mtume nabii

    JamiiForums Tanzania Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Nahitaji kujua taratibu za kisheria kuna mzungu Kingozi wangu kanipiga picha eneo langu la kazi na ametuma WhatsApp
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Huyu alikua mtu muhimu sana katika mahusiano yetu na mataifa mengine

  5. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye deni la trillioni 100 ni tajiri kuliko mwenye bilioni 100 kwenye akaunti yake, kuna mtu anabisha?

    Kuna ufafanuzi nilitaka niutoe ila nimeghairi kwanza, labda aje mtu aseme anabisha
  6. Mmawia

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

    Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM. Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana. HOTUBA YA DR. BASHIRU KWA UFUPI CCM inatoa salamu za mwaka mpya 2020, niwahakikishie watanzania kuwa tutaongoza siasa safi,ni mwaka wa kuheshimu maoni na uamuzi wa...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe adai kuna mkakati wa kumweka gerezani kabla ya uchaguzi

    Hii nimeitoa kwenye official Twitter page ya Zitto ==== Serikali ya Rais @MagufuliJP wameamua kutengeneza mashtaka ya utakatishaji Fedha dhidi yangu. Ofisi nzima ya TAKUKURU Makao Makuu imehamia Kigoma kubumba Mashtaka. Lengo ni kuhakikisha nakuwa Gerezani wakati wa Uchaguzi. CCM inatapatapa...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu iwe ya mfumo wa 6+3+2+3, miaka 20 mtu kashahitimu chuo

    Amani iwe kwenu! Kwa mfumo wetu wa sasa wa elimu mwanafunzi anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka 7, anasoma elimu ya msingi kwa miaka 7, akifaulu anaenda sekondari kwa miaka 4, akifaulu anasoma sekondari ya juu miaka 2 na akifaulu anaenda chuo miaka 3 (au zaidi kwa baadhi ya fani). Kwa...
  9. Guacamole

    JamiiForums Tanzania Mjue mtu aliyemaliza kusoma kitabu kwa muda mfupi zaidi

    Anaitwa Anne Jones. Ni katika mwaka wa 2007, baada ya kuachiwa ujazo wa mwisho wa kitabu cha Harry Potter chenye jumla ya Page 784, Anne alifanikiwa kumaliza kusoma kitabu hicho kwa muda wa Dakika 47 tu. Kwa maana hiyo, Anne aliweza kusoma Maneno 4,200 kwa dakika. Ina maana, alikuwa na wastani...
  10. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anataka muhuri original kwa ajili ya kampuni yake

    Mwenye kujua anisaidie, sehemu gani wanapotengeneza mihuri ya kisasa (ukiachana na ile ya mbao ya kuchonga) tafadhali kwa yeyote anayefahamu kwa hapa dar es salaam au morogoro anielekeze, je gharama yake uwa ipoje. asanten
  11. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Hali ya uchumi wa mtu mmoja mmoja sio mzuri

    Wakuu kila kona mtaani watu wanalalamika hela hamna, na kila mtu anasema huu mwaka unaonekana ni mgumu kuliko mwaka uliopita. Ijapo watu wanalalamika lakini serikali yetu wala haina habari na wananchi wake kila mtu anapapambana na hali yake kwa kweli. Vijana nao wanalia hamna ajira sasa...
  12. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM: Tusikubali mafundisho ya kusifia tuu mtu na chama chetu, bali tupokee yale yenye kutia "UBUNIFU" wa kuijenga nchi kisayansi zaidi.

    Ninamsifu na ninamshukuru baba yangu mzazi kwa :- 1. Kuandaa mazingira ya kumwoa mama hatimaye nikawa duniani. 2. Kujenga nyumba ya tope na bati, na kutulelea humo, wakati huo majirani wote walikuwa na nyumba za makuti. 3. Kuishi kwa kutegemea kilimo na ufugaji ndani ya shamba la baba ...
  13. Tz boy 4tino

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Apewa adhabu ya kulipa shilingi milioni 5 kwa kumtangazia mtu kuwa ana UKIMWI

    A woman who exposed her friend’s HIV status has been ordered to pay her Sh 250,000 as compensation for damages. A special HIV and AIDS Tribunal mandated with handling such cases delivered the ruling last month. Court documents show that the claimant, identified as SNW, had been living with the...
  14. babu M

    JamiiForums Tanzania Afisa wa Polisi aliyempa mtu asiye na makazi sandwich yenye kinyesi amerudishwa kazini

    Polisi ofisa katika jimbo la Texas aliyempa mtu asiye na makazi sanduwichi yenye kinyesi cha mbwa. Mahakama imeharisha arudishwe kazini kutokana na mapungufu ya sheria! ===== Police officer gets away with ‘giving homeless man poop sandwich’ A police officer who was fired after he allegedly...
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kumuweka mtu mahabusu (ndani) haitumiwi vibaya?

    Nimekuwa nikisikia na kuona watu wenye dhamana kubwa wakiwaamuru polisi wawakamate na kuwaweka ndani watu ambao hawakimbii, hawaleti fujo na wala hawatishii usalama wa watu wengine. Wanaagiza watu hao wakamatwe kwasababu tu wamechelewa kumalizia kazi waliyopewa kwa muda waliopewa. Hivi watu...
  16. Duniahadaa

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria: Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye Lumande ya Polisi ni nani?

    Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye rumande ya Polisi ni nani? Ni polisi, ndugu au walalamikaji? Ukiweka sheria na kifungu husika itapendeza zaidi. NB: Hapa namaanisha mtu aliye rumande miezi kadhaa na hajapelekwa mahakamani.
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mjue mtu mwenye mdomo mpana zaidi duniani

    Record ya guinness ambayo bado kuvunjwa inamuonyesha mtu mwenye mdomo mkubwa kuliko wote ni FRANCISCO DOMINGOS JOAQUIM ambaye ni mtu wa Angola, rekodi hiyo bado haijavunjwa hadi hivi sasa. Mdomo wake anaweza kuutanua hadi 17 cm Widest mouth (unstretched)
  18. N

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje kwenye kila familia kuna mtu mmoja anayesumbua sana?

    Kama mke watoto wawili mmoja lazima ni kuumiza watu kila siku, mkiwa watatu lazima yupo na akiwa mmoja mara nyingi anasumbua. Sasa huko UK royal family Prince Harry na Andrew hatare
  19. Inkotanyi 94

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hadi leo NIDA hawana ujuzi wowote wa mtu kuijua namba yake kimtandao?

    Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao. Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa...
  20. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mtoto afariki dunia baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili

    MTOTO Agnes Kiraba (3), mkazi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kirado wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu hospitalini baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili. Mtoto huyo alipatwa na mauti katika Hospitali ya Wilaya...
Back
Top Bottom