Mbunge wa Arusha mjini mh Lema amesema wabunge wa CCM wanajisahau sana lakini mambo yakiharibika ni kama " mafuriko" yatawazoa wote bila kujali itikadi.
Lema amesema atagombea ubunge mwezi octoba ili kuacha alama kwamba katika mminyo wa demokrasia kuna " wanaume" wachache walisimama hadi...
Hii nchi yetu sasa imekuwa ya ajabu sana.
Viongozi wetu nao wamekuwa vituko na watu wa ajabu kabisa. Imekuwa kama familia ya kambale ambapo ukoo mzima una ndevu.Yaani kanchi kamekuwa na mambo ya kipuuzi puuzi tu yasiyokuwa na adabu. Kanchi sasa hakana mipango, hakana sera wala hakana uelekeo...
Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
HOTUBA YA DR. BASHIRU KWA UFUPI
CCM inatoa salamu za mwaka mpya 2020, niwahakikishie watanzania kuwa tutaongoza siasa safi,ni mwaka wa kuheshimu maoni na uamuzi wa...
Hii nimeitoa kwenye official Twitter page ya Zitto
====
Serikali ya Rais @MagufuliJP wameamua kutengeneza mashtaka ya utakatishaji Fedha dhidi yangu. Ofisi nzima ya TAKUKURU Makao Makuu imehamia Kigoma kubumba Mashtaka. Lengo ni kuhakikisha nakuwa Gerezani wakati wa Uchaguzi. CCM inatapatapa...
Amani iwe kwenu!
Kwa mfumo wetu wa sasa wa elimu mwanafunzi anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka 7, anasoma elimu ya msingi kwa miaka 7, akifaulu anaenda sekondari kwa miaka 4, akifaulu anasoma sekondari ya juu miaka 2 na akifaulu anaenda chuo miaka 3 (au zaidi kwa baadhi ya fani). Kwa...
Anaitwa Anne Jones.
Ni katika mwaka wa 2007, baada ya kuachiwa ujazo wa mwisho wa kitabu cha Harry Potter chenye jumla ya Page 784, Anne alifanikiwa kumaliza kusoma kitabu hicho kwa muda wa Dakika 47 tu.
Kwa maana hiyo, Anne aliweza kusoma Maneno 4,200 kwa dakika. Ina maana, alikuwa na wastani...
Mwenye kujua anisaidie, sehemu gani wanapotengeneza mihuri ya kisasa (ukiachana na ile ya mbao ya kuchonga) tafadhali kwa yeyote anayefahamu kwa hapa dar es salaam au morogoro anielekeze,
je gharama yake uwa ipoje.
asanten
Wakuu kila kona mtaani watu wanalalamika hela hamna, na kila mtu anasema huu mwaka unaonekana ni mgumu kuliko mwaka uliopita.
Ijapo watu wanalalamika lakini serikali yetu wala haina habari na wananchi wake kila mtu anapapambana na hali yake kwa kweli.
Vijana nao wanalia hamna ajira sasa...
Ninamsifu na ninamshukuru baba yangu mzazi kwa :-
1. Kuandaa mazingira ya kumwoa mama hatimaye nikawa duniani.
2. Kujenga nyumba ya tope na bati, na kutulelea humo, wakati huo majirani wote walikuwa na nyumba za makuti.
3. Kuishi kwa kutegemea kilimo na ufugaji ndani ya shamba la baba ...
A woman who exposed her friend’s HIV status has been ordered to pay her Sh 250,000 as compensation for damages.
A special HIV and AIDS Tribunal mandated with handling such cases delivered the ruling last month.
Court documents show that the claimant, identified as SNW, had been living with the...
Polisi ofisa katika jimbo la Texas aliyempa mtu asiye na makazi sanduwichi yenye kinyesi cha mbwa. Mahakama imeharisha arudishwe kazini kutokana na mapungufu ya sheria!
=====
Police officer gets away with ‘giving homeless man poop sandwich’
A police officer who was fired after he allegedly...
Nimekuwa nikisikia na kuona watu wenye dhamana kubwa wakiwaamuru polisi wawakamate na kuwaweka ndani watu ambao hawakimbii, hawaleti fujo na wala hawatishii usalama wa watu wengine. Wanaagiza watu hao wakamatwe kwasababu tu wamechelewa kumalizia kazi waliyopewa kwa muda waliopewa.
Hivi watu...
Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye rumande ya Polisi ni nani?
Ni polisi, ndugu au walalamikaji?
Ukiweka sheria na kifungu husika itapendeza zaidi.
NB: Hapa namaanisha mtu aliye rumande miezi kadhaa na hajapelekwa mahakamani.
Record ya guinness ambayo bado kuvunjwa inamuonyesha mtu mwenye mdomo mkubwa kuliko wote ni
FRANCISCO DOMINGOS JOAQUIM ambaye ni mtu wa Angola, rekodi hiyo bado haijavunjwa hadi hivi sasa.
Mdomo wake anaweza kuutanua hadi 17 cm
Widest mouth (unstretched)
Kama mke watoto wawili mmoja lazima ni kuumiza watu kila siku, mkiwa watatu lazima yupo na akiwa mmoja mara nyingi anasumbua.
Sasa huko UK royal family Prince Harry na Andrew hatare
Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao.
Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa...
MTOTO Agnes Kiraba (3), mkazi wa Kijiji cha Mtakuja Kata ya Kirado wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu hospitalini baada ya kugongeshwa kichwa kwenye gogo na mtu anayesadikiwa kuwa ni mgonjwa wa akili.
Mtoto huyo alipatwa na mauti katika Hospitali ya Wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.