mtu

  1. Influenza

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Hakuna Mbunge aliyefukuzwa Ubunge. Vikao vya majungu havifanyi kazi hapa, Msajili tazama vyama vya namna hii

    Baada ya Kamati Kuu ya CHADEMA kukaa na kuamua kuwafukuza uanachama Wabunge wanne waliokiuka taratibu za chama hicho kwa kuhudhuria vikao vya Bunge tofauti na kilivyoamua Spika Ndugai awataka waliofukuzwa kutokuwa na hofu Spika Ndugai amesema "Wabunge mnaapishwa na Spika na karibia wote humu...
  2. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ukianzisha mahusiano na mtu ambaye ni jirani mara nyingi huwa hayadumu?

    Nadhani wengi wetu jambo hili lishawahi tufika/tumewahi lishuhudia kwa watu wetu wa karibu. Je, ushawahi jiuliza ni ipi sababu ya mahusiano haya kutodumu? Karibu hapa tujadili
  3. endesha

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa kutoa yaliyo moyoni: Kero/dukuduku/Povu kwa mtu yeyote

    Karibu Jukwaani la kutoa kero yako,dukuduku na hata Povu ikibidi kuhusu member yeyote,hata mods ikibidi na hata kama kuna member amekukwaza pia unaweza kumfungukia hapa .:p Naanza...Kero yangu ni kwa wote wasio wastaarabu wanaoshambulia watu kwa matusi/lugha za kuudhi hapa Jukwaani.Naomba...
  4. excel

    JamiiForums Tanzania Tatizo la mtu mzima kukojoa kitandani. Fahamu chanzo, dawa, ushauri na tiba

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Habari zenu wana jf Dr. Mimi nina tatizo amabalo limekuwa likimsumbua mdogo wangu tangu akiwa shule ya msingi na mpaka sasa yuko kidato cha sita! Yeye amekuwa ni mtu wa kukojoa kitandani tu bila kukata (that means kila siku yeye anakojoa tu!)...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyemaliza JKT na kurudi nyumbani akili yake inakuwa kama mtu anayehangaika na kutafuta Rupia ya Mkoloni

    Nimefuatilia mazungumzo ya vijana kadhaa waliomaliza mikataba yao ya JKT miaka 2 na wengine kuongezewa miaka au miezi kisha kurudi nyumbani bila ajira. Wengi wao akili zao zinakuwa na walakini utadhani watu wanaotafuta Rupia ya Mjerumani mapangoni na milimani. Unaweza ukamuuliza swali moja...
  6. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mapenzi umpate anayekupenda

    Binafsi nina relationship na msichana mmoja honest ananipenda na mimi ninampenda. Ni msichana anayenijali sana yeye kidogo ameanza teyari maisha na pia ana kazi na amepanga kabisa, kwa upande wangu me nipo mwaka wa mwisho chuo na kiumri tumepishana mwaka mmoja yeye ana 25 me Nina 24. The way...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Wanabodi, Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Bunge: Mtu aliyefariki kuzikwa “popote" siyo utamaduni wa kiafrika

    Bunge limesema mtu aliyefariki anastahili kazikwa kwa mila na desturi za jamii yao na kwamba marehemu kuzikwa "popote" siyo utamaduni wa kiafrika. Hayo yamesemwa na Spika wa Bunge mh Ndugai Source ITV habari My take; Kiukweli hata DC Mmanda alipaswa kuzikwa Rombo, nakubaliana na Ndugai
  9. CCM Music

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Assume una mtoto wako mzuri tu. Ipi afadhali atembee na mtu mzima ama atembee na rika lake?

    Yaani una binti yako mtoto mzuri tu mashallah. Kwa nyakati hizi, kuliwa ataliwa tu kabla ya chuo. Swala ni bora nani amle? Aliwe na mtu mzima mwenye ofisi yake na maisha yake ili amkuze na kumlea vizuri au aliwe na dereva bodaboda' wa rika lake, ama mwenzie anayesoma naye kwenye risk kubwa ya...
  10. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Masihara dhidi ya COVID-19 yamtokea puani, adakwa na Polisi

    Polisi Ruvuma wanamshikilia Ibrahimu Bukuku kwa kusambaza ujumbe WhatsApp kupotosha kuhusu dawa ya Corona, ukisomeka, " Dawa ya corona twanga pilipili kichaa sufuria 1 halafu changanya na maji vikombe 5, kunywa kutwa mara 7 kwa siku 3, siku ya 4 chuma upupu kisha jipake". Jeshi la Polisi...
  11. Mtapenda

    JamiiForums Tanzania Tanzania imekumbwa na ugonjwa mpya unaitwa matatizo ya kupumua

    Habari zenu wanaJF, Ni wiki sasa Tanzania tunatangaziwa watu maarufu wanafariki kwa matatizo ya kupumua tena ni wengi mno sasa ni wakati wa serikali kututangazia haya matatizo ya kupumua yanasababishwa na nini!?, Dalili zake pamoja na tahadhari ya kuchukua.. Ni dhahiri kwamba mh rais kama...
  12. COVID 20

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeokota simu ndani yake kuna picha ya mke wa mtu katuma akiwa mtupu

    Mambo zenu ndugu zangu Jioni ya leo kuna mtu mmoja mwanamme kadondosha simu aina ya Samsung na kwa bahati mbaya zaidi haina password. Sasa katika kutaka kuichunguza tumeingia Whatsap katumiwa picha za utupu na mke wa mtu ambaye ni mwalimu katika Shule ya Msingi na ambaye mme wake yupo kikazi...
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kariakoo: Inasemekana kuna mtu amefariki barabarani tangu jana lakini maiti imeachwa hadi leo

    Hatari kubwa kariakoo hiyo ni maiti, amekufa toka jana Kariakoo mpaka sasa hakuna msaada wowote ulio jitokeza kuondoa maiti hiyo aliyekufa kwa kushindwa kupumua hali sio shwari kiusalama wa afya kariakoo == Punda fanyeni kazi mlipe kodi
  14. Carleen

    JamiiForums Tanzania Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

    Hi guys, Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile huja kupotea ndo wanashangaza na jukwaani unawaona unaishia tu kucheka hiiii'...!! Huyu wa kwanza...
  15. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwa tabia hii muafrika ataendelea kuonekana kuwa mtu duni kiakili na kudharaulika

    Hapo vip!! Kupitia janga hili la Corona na harakati na kutafuta tiba au kinga dhidi ya janga hili,muafrika ameonekana kanakwamba mtoto mdogo anayesubiri maamuzi na kauli na pia na solution ya janga hili kutoka kwa mzazi..nikimaanisha tumeonekana tukidharau na kubeza hata tiba zetu za asili na...
  16. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Wanasheria: Je, huyu anahitaji kuwa na deed poll kwenye petition yake

    Jina kwenye cheti chake cha O Level: Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti cha A level; Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti chake cha LLB Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti chake cha Law School Mohamed DAIMA. JINA KWENYE CHETI CHAKE CHA KUZALIWA: Mohamed DAIMA. Kwenye cheti chake cha kuzaliwa...
  17. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Naomba tupate maelezo ya kina ya kisayansi, hivi inakuwaje mtu anashangilia na kupata furaha kali pale nchi yake au wenzake wanapopata matatizo?

    Mfano hai kabisa ambao nimeshuhudia kwa macho yangu mitaani na pia katika mitandao, ni ile hamu na shauku waliyokuwa nayo baadhi ya waTz kuona ugonjwa wa Corona ukiingia Tz, na unamuona kabisa mtu huyo anaumia kila walipoambiwa kuwa ugonjwa bado haujafika. Ile siku yule dada wa huko Kaskazini...
  18. manchoso

    JamiiForums Tanzania Hivi jamani walozi usiku wakimgusa mtu, wanaweza ambukizwa Corona?

    Wamesema kweli wahenga Baniani mbaya kiatu chake dawa na kiingiacho mjini si haramu Corona sio siri imeleta majanga hakuna kinachofanyika kwa ufanisi, sio biashara siasa wala burudani kila mtu analia kimya kimya Pia corona imetupa funzo darasa la bure lenye maumivu ndani yake ambalo bila...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Tabia ya mtu haibadiliki

    Ni jambo lipi au mradi gani aliowahi kuufanya John Pombe Magufuli, akiwa mbunge na sasa akiwa rais aliowahi kuubuni na kuukamilisha kwa utulivu, bila ya mitifuano na watu, wafanya kazi, contractors, raia au taasisi. Ukiangalia barabara zilizojengwa, utakuta mikwaruzano kila sehemu. Naikumbuka...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Kila mtu kwa nafasi yake tutendeane haki kuhusiana na janga hili la COVID-19

    Haieleweki hawa watu ambao wamependa kusema serikali iko makini au wapo makini kuudhibiti ugonjwa huu wana maana au nia gani na taifa hili. Watu hawa, hawakuweza kuuzuia ugonjwa kuingia nchini wala hawana mpango wowote thabiti uliowazi wa kuudhibiti ugonjwa huu usisambae. Matokeo yake ugonjwa...
Back
Top Bottom