mtu

  1. Mwl.RCT

    Mahafali ya Chuo kikuu Dodoma; Rais Magufuli atunukiwa shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Shahada hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa katika mahafali ya 10 ya chuo hicho. ==== Rais Magufuli awasili...
  2. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Dhamira ya kuua upinzani ni kwa faida ya Chama Tawala au Ubinafsi wa mtu mmoja?

    Wanabodi za asubuhi!naenda moja kwa moja kwenye mada. Kwa wale makomredi wa chama tawala naombeni ufafanuzi wenu kuhusu lengo la kuua upinzani nchini linaisaidiaje CCM kama chama tawala? Upinzani si ndio kioo? kama kwa miaka mingi upinzani umekuja na ajenda nyingi za wananchi ambazo serekali...
  3. Rebeca 83

    Ushawahi kumuuguza mtu mwenye matatizo ya akili?

    Habari JF, Ningependa kujua subjective experiences zenu kuhusu kichaa. Ushawahi kuumwa kichaa? Ushawahi kukumbana na kichaa? Ulijuaje huyu ni kichaa? Wewe au familia yenu mshawahi kuwa na kichaa? Mlienda wapi kutafuta msaada? Hospitalini? Kanisani? Kwa Mganga? Alipona? Alipona kabisa, au...
  4. Inside10

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    This is too much.. SIKU chache baada ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima kumtusi Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini, Polycarp Kardinali Pengo, taarifa nyuma ya pazia zimeeleza kuwa mchungaji huyo ametumwa na kikundi cha watu fulani, Uwazi...
  5. Return Of Undertaker

    Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

    "Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za...
  6. Victor Mlaki

    Dunia imejawa na kila kitu cha kila mtu wivu ni uzembe wa kufikiri

    Usipojitambua mwenyewe wanaojitambua watatafuta namna ya kukutambulisha na wewe kukubali utambulisho huo kuwa ni wewe. Dunia umejawa na upekee kwa ajili ya kila mtu wapekee kama wewe na siyo mwingine na hii inatokana na ukweli kuwa upekee ndiyo ladha ya maisha "varieties is the spice of life"...
  7. Victor Mlaki

    Mtu akikuuliza mbona haufanyi/hauwi kama wenzako unaweza kumjibu hivi

    Hatukuumbwa kufanya vitu vile vile na kwa namna ile ile wote. Kila mtu ana upekee wake na namna yake ya kufanya mambo yake. Siwezi kuwa kama huyo unayetamani niwe kwa sababu mimi ni mimi na huyo ni huyo, na unafikiri nikiwa kama huyo mimi halisi nitakuwa kama nani? Ukiona umefanya jambo halafu...
  8. Pascal Mayalla

    Prof. PLO Lumumba ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga nondo za kufamtu kuhusu African Dev. Agenda

    Wanabodi, Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda. Andamana nami...
  9. Sky Eclat

    Umasikini si kilema angalia potentials za mtu

    Kuna dada alinihadithia alivyokutana na mume wake. Walisoma wote shule ya msingi enzi zile za ujamaa hakuna English Medium wote tulikuwa St Kayumba. Mume wake alikuwa anakuja shule na deli la Ice cream, nyumbani hali haikuwa nzuri sana na kila mtu alichangia alivyoweza. Mama aliuza maandazi...
  10. Equation x

    Usalama wa mtu anayetoa pesa kwenye hivi vibanda vya huduma ni mdogo sana

    Usalama wa mtu anayetoa pesa kwenye hivi vibanda vya huduma ni mdogo sana. Leo bi mkubwa alitembelea kibanda kimoja kwa ajili ya kupata huduma ya kutoa salio,na alifanikiwa kutoa kiasi cha mia nane. Baada ya kupata huduma wakati anatoka katika eneo hilo kama hatua tano hivi, ghafla akatokea...
  11. Kasimba G

    Nahisi nchi yetu pendwa sasa inatamani uchumi wa kizimbabwe Zimbabwe, uchumi wa kwenda sokoni na kapu la hela

    Nahisi nchi yetu pendwa sasa inatamani kabisa uchumi wa kizimbabwe Zimbabwe, uchumi wa kwenda sokoni na kapu la hela, uchumi wa kununua Raba milioni saba. Washangiliaji wasoaibu wala akili wanashangilia bado kama walo na usingizi wa pono wakisahau kuwa mifuko ya rambo ya kubebea hela za...
  12. Alvin A.

    Watishie CCM huyu jamaa kila mtu atatoa tamko, na hapa povu litawatoka tu

    Hadi Lugola anaweweseka!! jamaa anawanyoosha balaa Huyu jamaa anawaumiza kichwa hadi leo ***Mtapata taabu saaana***
  13. Analogia Malenga

    TABORA: Mtu mmoja afariki baada ya kupokonywa hirizi zake

    Michael Paschal mwenye umri wa miaka 33, mkazi wa Uhemeli Ndala, Nzega, mkoa wa Tabora, afariki baada ya kuporwa hirizi zake na polisi akifanyiwa upekuzi. Kijana huyo ambaye ni bodaboda alifikishwa kituoni mara baada ya kumkaba na kumchania sare CPL Lucas aliyekuwa katika majukumu ya usalama...
  14. B

    Siasa ya rushwa, utajili wa FEDHA na maudhui ya kutovunja misingi ya Maisha ya MTU mwingine

    Hakika kila mwanadamu anapenda kuishi MAISHA ambayo yanamipango ndani yake kuanzia level ya kuwa pekeyako. Tumeshuhudia watoa huduma wengi wakitekeleza maneno ya mwalimu Nyerere Kwa vitendo ikiwemo Ubepari, kutoa na kupoke rushwa, kuwa na vyumba vya Kipanya Kwa ajili ya kuzuia na kucontrol...
  15. super black Boy

    Serikali: Siku za Kigogo wa Twitter zinahesabika na hana siku nyingi

    Nimepita kwenye social media moja nimekuta huyu jamaa anayeitwa Kigogo anatafutwa na waziri Kangi Lugola. Jamaa amefanya tukio gani hilo la balaa mpaka amemkuna mheshimiwa waziri? --- Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amesema kuwa hivi karibuni Jeshi la Polisi litamtia nguvuni mtu...
  16. KENZY

    Ukiambiwa mke wa mtu sumu unasema unamaziwa haya sasa

  17. The Assassin

    IGP Sirro amtaka kijana anaitwa Shabani anaeonekana kwenye video akitishia mtu mwingine kwa bastola kujisalimisha polisi haraka sana

    ==== Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amemtaka kijana aliyefahamika kwa jina la Shaban anayeonekana kwenye kipande cha video akimtishia mwenzake kwa bastola kuripoti kituo cha polisi mara moja na kusalimisha silaha yake. Update 2. MTUHUMIWA AKAMATWA.
  18. The Mongolian Savage

    Aliyevujisha siri na kusababisha Al-baghdad kuuliwa ni mtu wa karibu na amelipwa $25 milioni

    Mzuka! Siku zote kikulacho ki nguoni mwako. Inasadikika aliyevujisha siri alipo gaidi boss wa ISIS Abubakar Al Baghdad alikuwa mtu wake wa karibu. Jamaa huyo ambaye ni mwarabu wa sunni huenda alichukua uamuzi huo kumsaliti Al Baghdad baada ya familia/ ndugu zake kuuawa na ISIS. Kabla...
  19. CONTROLA

    Wanunuaji TV kuweni makini huko madukani, Mchina sio mtu mzuri kabisa

    Jana nilipokea simu kutoka kwa rafiki angu mmoja (wa kike) akaniita CONTROLA naomba uje home nisaidie kufunga TV yangu ukutani, nikamtania nikamwambia ''naona umejikakamua umevuta flat, au siyo?'', akanichekea pale basi. Nikamalizia mambo yangu then nikaenda nikamkuta anaangalia TV. Kweli...
  20. S

    Ile route ya kupeleka nyama Dubai iliishia wapi?

    Nakumbuka kulikuwa na safari moja ambapo Dreamliner ilitumika kupeleka nyama Dubai (route ya majaribio) na tukaambiwa route hiyo inaweza kuendelea iwapo itaonyesha kuleta faida. Swali langu ni je,route hiyo imekufa? Route ile ilifanyiwa utafiti wa kutosha kabla hata ya kufanya safari ile ya...
Back
Top Bottom