mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    JamiiForums Tanzania Aliyemuiba mtoto na kukaa naye siku nne, aachiwa huru kituo cha polisi Kiomboi, Iramba

    Wadau wa JF poleni na pilika zetu hizi za kila siku, Hivi karibuni limetokea tukio la kuibwa mtoto wa miaka miwili ktk mji mdogo wa Kiomboi wilayani Iramba. Tukio hili lilitokea eneo la Soweto lenye watu wengi mjini hapo. Aliyemuiba mtoto ni jirani ambaye ni mstaafu serikalini. Baada ya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Lukuvi aolewa na mtoto wa Mohammed Aboud

    Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomani
  3. J

    JamiiForums Tanzania Dr Bashiru: Kuna siku Tanzania itachagua " mtoto wa Ibilisi" kuwa Rais au mbunge kama mtaendelea kuwalealea

    Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amewakemea viongozi wa mkoa wa Tanga kwa kushindwa kulidhibiti kundi la watoto watukutu na waalifu wajiitao Watoto wa Ibilisi. Dr Bashiru amesema uzembe wa kulilea kundi hilo ukiendelea kuna siku tutapata diwani, mbunge au Rais aliyeasisiwa ndani ya kundi hilo...
  4. Nyendo

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda UGANDA: Mtoto wa miaka 10 amuua mwenzake kwa wivu wa mapenzi

    Polisi wilayani Bududa mashariki mwa Uganda wanamsaka mwanafunzi wa miaka 10 kwa tuhuma za kumchoma kisu mwenzake ambaye alidai kupora mpenzi wake wa miaka 11. Mtuhumiwa huyo, ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Buwali. Polisi walimtambulisha mwathirika huyo kama Sam Watsosi, 16. Watsosi alidaiwa...
  5. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Mtoto kuwashitaki mahakamani wazazi wake kwa kumzaa bila ridhaa yake

    Kijana mmoja Uingereza anakusudia kuwashitaki wazazi wake. Hoja yake ya msingi ni kwanini walimleta kwenye hii dunia yenye shida na mateso kwa starehe zao? Wao kwa starehe zao za mapenzi kwanini wamlete duniani? Nadhani wazazi wana kesi ya kujibu!
  6. Justine Kakoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo muhimu ya kufanya unapohitaji msaidizi wa kukulelea mtoto

    Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wazazi/walezi kuna kipindi katika maisha yao hulazimika kutafuta wasaidizi wa kuwalelea watoto wao. Wazazi/walezi wengi katika juhudi za kuyafikia mahitaji yao na ya watoto wao hujikuta wanakosa kabisa muda wa kuwapa uangalizi wa kutosha watoto wao hivyo...
  7. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Hadithi: Bila Passport Mtoto Hataingia Nchini

    Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi. Tulikuwa tumepanga kwenda nchini Ugiriki katika mji wa Thessaloniki kwaajili ya mapumziko kupisha vuguvugu...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kumuingiza nyeti mtoto mdomoni kuhukumiwa

    Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam nchini Tanzania imepanga Januari 20, 2020 kutoa hukumu kwa mshtakiwa Liziki Kessy anayekabiliwa na shtaka la kumwingiza uume wake mdomoni mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba ili aunyonye. Kesi hiyo ilikuwa imepangwa kwa ajili...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kijana anayesadikiwa kusafiri kwa njia haramu afariki, mwili wake wakutwa kwenye tairi ya ndege

    Mwili wa kijana mdogo uligunduliwa katika sehemu ya gurudumu la ndege ya Boeing 777 ya shirika la ndege la Air France iliyokuwa ikitokea Abidjan, Cote d'Ivoire, mapema Jumatano wiki hii, kwenye uwanja wa ndege wa Roissy, nchini Ufaransa. Shirika la ndege la Air Ufaransa...
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda. Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako. bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba. Huyo mtoto anahesabiwa...
  11. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kuanza kudai Tume Huru ya uchaguzi au kuvunja tume iliyopo tafadhali tusaidieni kujibu maswali haya

    KABLA HUJAANZA KUDAI TUME HURU AU KUVUNJA TUME ILIYOPO TAFADHALI TUSAIDIENI KUJIBU MASWALI HAYA. UKIKOSA MAJIBU YAKE BASI UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA JAMAA WA TIGRIS AND EUPHRATES WALIORUHUSU MGENI KUJENGA KWENYE KIHAMBA CHA UKOO. Disclaimer: huenda kweli tunahitaji tume "nyingine". Nasema "huenda"...
  12. Justine Kakoko

    JamiiForums Tanzania Njia 6 za kupata matokeo chanya unayoyataka kutoka kwa mtoto wako

    Wazazi/walezi wengi duniani kote wamekuwa katika mahangaiko ya kutafuta njia sahihi za kuzitumia katika kupata matokeo chanya kwenye nyanja mbalimbali za maisha ya watoto wao: wachache sana wamefanikiwa, lakini wengi wameshindwa kutokana na kutojua njia mbalimbali wanazoweza kuzitumia ili...
  13. Ketoka

    JamiiForums Tanzania Giggy Money: Lazima nifanye mapenzi na mtoto wa Zari

    Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady. Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake. "Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja...
  14. Scorpio Me

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Bdozen amekua

    Katoto ka dozen wa clouds fm kamekuaaa... Very handsome mwenyewe...naona kajitoa copy...
  15. juvenile davis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

    Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi. Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Mtoto kufa baada ya saa 3 toka kuzaliwa

    Habari wakuu Kuna binti kajifungua salama kwa njia ya kawaida leo saa 10 alfajiri akaruhusiwa kurudi nyumbani punde tu baada ya kujifungua. Aliporudi nyumbani akapumzika kwa kulala yeye na mtoto kwa uchovu wa uzazi. Saa 1 asubuhi akaamka na alipojaribu kumuamsha mtoto alikuta ameshafariki...
  17. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    BAADHI YA WADAU WENYE TATIZO HILI --- --- === UFAFANUZI WA JUMLA KUHUSU TATIZO HILI Ukosefu wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kujua kuwa ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka, watu wengi hupuuzia na kuona siyo tatizo kubwa na ni hali ya kawaida. Ukosefu wa choo wa...
  18. X-PASTER

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Your Parent

    An 80 year old man was sitting on the sofa in his house along with his 45 years old highly educated son. Suddenly a crow perched on their window. The Father asked his Son, 'What is this?' The Son replied, 'It is a crow'. After a few minutes, the Father asked his Son the 2nd time, 'What is...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto wa nje ya ndoa

    Ndugu na rafiki zangu wa Jamii Forums, Naomba msaada katika jambo hili. Nina ndoa ya kama miaka kumi. Nina mume wangu ambae najua ananipenda, nami pia ninampenda. Miaka kadhaa iliyopita nilikutana na jambo ambalo limenitia simanzi sana na sijui hata nifanyeje, kuna wakati siamini kama ni...
Back
Top Bottom