britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi!
Mbona tunamjaribu Muumba?
Hata ukishika mimba, itakaa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi!
Mbona tunamjaribu Muumba?
Hata ukishika mimba, itakaa