Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Leo nimeshuhudia namna laana inavyo tenguliwa kwa mtoto wa Kike, mfano mtoto wa kike kuna maneno yaliyo nenwa kwa ajili yake akiwa msichana mdogo au mkubwa lakini anapoolewa ndoa yake inakuwa na misukosuko matatizo na mengi ambayo yanamfanya akate tamaa au mwenza atamani kumuua au kumfukuza waachane, utakuta kuna maneno mtoto wa kike alinenewa yakawa ndio yanamsumbua sana na hufikia hatua mtu haelewi kwanini haya ndio maswali humkuta.
Tuache kwanza sababu zingine za kawaida za migogoro maishani au kwenye ndoa au kwenye mahusiano tuzungumzie hili kama ndio litakuwa sababisho.
leo nimepata fursa ya kuhudhuria kikao cha familia chenye makusudi ya kutatuo mgogoro wa ndoa ndipo mama wa mtoto wa kike akadhibitisha kuwa kuna maneno aliwahi mnenea binti yake akiwa mdogo na huenda ndio yanayo msumbua hadi sasa, mama huyo alichukua mikaa 7. (ITAENDELEA)...
Tuache kwanza sababu zingine za kawaida za migogoro maishani au kwenye ndoa au kwenye mahusiano tuzungumzie hili kama ndio litakuwa sababisho.
leo nimepata fursa ya kuhudhuria kikao cha familia chenye makusudi ya kutatuo mgogoro wa ndoa ndipo mama wa mtoto wa kike akadhibitisha kuwa kuna maneno aliwahi mnenea binti yake akiwa mdogo na huenda ndio yanayo msumbua hadi sasa, mama huyo alichukua mikaa 7. (ITAENDELEA)...