mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. OCC Doctors

    JamiiForums Tanzania Usimpatie maji, mtoto mchanga chini ya umri wa miezi 6

    Mtoto mchanga chini ya miezi sita hapaswi kupewa chochote kile tofauti na maziwa ya mama, mtoto mchanga chini ya miezi sita hatakiwi kupewa maji, kwasababu maziwa ya mama yana maji yakutosha ndio maana mtoto anakojoa, na ukitaka kufahamu kwamba maziwa ya mama yana maji ya kutosha yakamue kisha...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Madaktari na manesi wamempa heshima mtoto wa miaka 11 kwa ujasiri wake

    Mtoto wa miaka 11 alitibiwa kansa ya ubongo. Alipofahamu kuwa hatapona aliamua kuchangia moyo na figo zake kwa watoto wanaozihitaji. Mauti yalipomfika jopo la madaktari na manesi waliomtibu walimpa heshima kubwa. An 11-year-old boy with brain cancer's wish to donate his organs moved his...
  3. Busara ziro

    JamiiForums Tanzania Jinsi Baba na mtoto wanavyowazianaga

    Life bwana kuna muda unawaza daaah..!! "hivi kwa mfano BABA Angekuaga MO DEWJ sahvi maisha mtelezo tuu!! " Wakati huohuo baba nae unakuta anawaza hivi mfano "MWANANGU angekuaga SAMATTA "loooh..!! Ningekua nakula maisha tu... Yaani we acha Halafu kuna kipindi MTOTO Anawaza "dingi akifa tu nauza...
  4. J boaz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kumuacha huyu msichana

    Ndugu zangu mim ni mwanafunzi wa chuo ambae nipo kwenye mahusiano na msichana ambae ni mdogo kiumri kwangu pia bado mwanafunzi yupo form6 fedha girls saivi na ni msichana ambae kwao kuna uwezo na mimi nipo kwenye standard level. I mean maisha ya kati but mwanzo nilimfata baada ya kuwa tuna...
  5. hiram

    JamiiForums Tanzania Kitovu cha mtoto kuangukia sehemu mbaya limekaaje kisayansi

    Kumekuwa na imani kuwa kitovu cha mtoto kikiangukia mahala fulani mtoto huyo anakuwa hanithi na hata hivi karibuni Haji Manara amepost video ya Boban akimtuhumu Jerry Muro kuwa huenda wakati anazaliwa kitovu chake kiliangukia sehemu mbaya sasa kisayansi limekaaje
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Askari aliyembaka mtoto wa askari mwenzake afukuzwa kazi

    Askari wa kikosi cha usalama barabarani, Willium Mwakatage anayedaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba, ambaye ni mtoto wa askari mwenzake amefukuzwa kazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema taratibu za kijeshi zimekamilika ikiwa ni pamoja na kumfukuza kazi...
  7. Fenuchi

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tiba ya vipele kwa mtoto wangu

    Samahani naomba mnisaidie ushauri kuhusu huyu mwanangu ana 2 years amepatwa na vipele usoni, shingoni masikioni nk. Vingine vikikauka vinatoka vipya tena vingine. Nilimpeleka hospital huku wakampa Ethromycin na Pricostant Cream ila bado hali inaendelea na dawa zimeisha. Vipele vipo vinakuwa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi inayokuwezesha kujua kama mtoto ni wako au sio wako

    Unaweza kujua mtoto sio wako kwa jaribio rahisi tu. Nalo ni kutumia blood test. Angalia chati hii: Kutoka kwenye blood group chart: 1. Kama ukipima na kukuta group la mtoto linaendana na magroup ya damu ya wazazi, sio guarantee kuwa mtoto ni wa kwako. Kwa sababu kuna uwezekano wa mwanaume...
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namhesabu anaepewa mtoto kuwa ni mwenye bahati kuliko wote duniani!

    1. watu wanahangaika kutafuta watoto kwa gharama kubwa mno.......... 2. watu wanafikia hatua ya kuiba watoto mahospitalini na mitaani na kukimbia nao ili wakawe na furaha.... 3. watu wanafikia hatua ya kuweka matambara ili waonekane wana mimba, ukifika muda anaibwa mtoto mahali na kuwa...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Baba kortini tuhuma za kulawiti mtoto

    JESHI la Polisi wilayani Chato mkoani Geita, limemfikisha mahakamani Kazimili Dotto, akituhumiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kambo, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili. Mshtakiwa huyo ambaye ni mkazi wa Kijiji na Kata ya Makurugusi wilayani hapa, anadaiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wa...
  11. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miezi 11 afariki Dunia baada ya kulazimishwa kula mchele

    Niko hosptali moja hapa Goba naona kilio na simanzi vimetawala. Nilipouliza baadhi ya ndugu wakasema dada wa kazi alikuwa akimlazimisha mtoto kula mchele ukaingia koo la hewa. Walipomfikisha wakakuta mtoto bado anahangaika, Hospitali wakajaribu kumsaidia ndipo wakatoa punje kadhaa za mchele...
  12. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wanamsaka binti wa miaka 13 kufuatia kifo cha mtoto wa miaka 5

    Wapelelezi wa kaunti ya Kitui wanamtafuta binti wa miaka 13 wakimhusisha na mauaji ya kijana wa miaka 5 ambaye mwili wake ulikutwa ukiwa umetupwa kwenye kichaka kilicho karibu na mto Mutendea. Taarifa zinaeleza kuwa siku ya ijumaa wawili hao walikwenda kuchota maji katika mto uliopo karibu na...
  13. Kendrick Rama

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tatizo la mtoto wa jicho

    Habari zenu wakuu, Naomba mwenye uelewa au mtaalamu wa mambo ya magonjwa ya macho anisaidie hili. Hapo juzi kati niligundua kuna kauvimbe kadogo ndani ya macho yangu ambacho hakana maumivu yoyote, ila baada ya kuchunguza kwa umakini na kuulizia baadhi ya watu walinambia kuwa huyo ni mtoto wa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu anatatizo la kupaliwa ninapomnyonyesha naomba ushauri

    Asaalam Wadau natumaini mmeamka salama. Naomba msaada ufuatao Mara nyingi Mke wangu anapomnyonyesha Mtoto anakuwa akipaliwa na hapo wala hakamuliwi maziwa zaidi ya kushikiliwaa tu titi ila ndo hivyo anajikuta akipaliwa kwa kweli hili jambo linaniumizaga sana. mimi tu nikipaliwa huwa nahangaika...
  15. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto kulelewa na mama wa kambo Vs kulelewa na Bibi yake

    Umeachana na.mkeo au babymama wako ULIE kuwa unaishi nae kinyumba au amefariki dunia na amekuacha na watoto wenye umri wa miaka 3 Hadi 5. Wewe kama Baba utachagua option ipi? 1. Watoto wako.uwapeleke Kijijini/ mkoani WAKALELEWE na mama ako au 2. Uoe mwanamke mwingine au uvute ndani mwanamke...
  16. Eagle J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna wanawake wanaolenga wanaume kwa ajili ya kuzaa nao watoto?

    Nilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae... Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
  17. Eagle J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single father/single mother: Mtoto wako anapomkataa mwenza wako uliyenae serious katika mahusiano

    Maisha ya malezi yanachangamoto zake, na changamoto iliyopo ni mtoto kukataa au kumfanya akaubaliane na mwenza ambae mmefika hatua ya kutaka kuishi pamoja kama mume na mke ila mtoto ndio haivi na mwenza wako na ni mtoto mdogo (under 7 yrs) huwezi kumlazimisha akabaliane na hali halisi Je...
  18. Ghazwat

    JamiiForums Tanzania Vodacom Premier League 'VPL Uwanja wa Uhuru Dar: Simba SC 0 - 1 JKT Tanzania

    Patashika ya ligi kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL kuendelea kupigwa tena leo February 7, 2020 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC, wanawakabili JKT Tanzania. Patashika hii ya aina yake ikiwa ni mzunguko wa pili, inatarajiwa kuwa kali na ya kusisimua kwa muda wote wa mchezo. Simba SC kwenye...
  19. OCC Doctors

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zingatia haya kwa mtoto wako wa kiume wa Miaka mitano

    Mtoto wako wa kiume kuanzia miaka mitano (miezi 60) atahitimu mahudhurio ya kliniki. Hakikisha anafahamu namna ya kutumia zana za hapo nyumbani ikiwemo namna ya kutumia panga, shoka, nyundo, msumeno, jembe, fyekeo, reki, manati, na usafi wa bustani, iwe bustani ya mboga au ya mauwa kutamsaidia...
  20. Superbug

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mtoto wa shehe na paka; Bulembo, Mama Lwakatare na Zitto; Mdomo huumba na mdomo uliponza kichwa

    Wakati tunasoma shule alikuwepo mtoto mmoja baba yake alikuwa Shehe. Mtoto yule Kuna siku aligombana na sisi wanafunzi wenzake wote bwenini. Kwa bahati mbaya Sana alitutishia kwamba baba yake ni Shehe na anafuga majini hivyo usiku atakuja kwa njia ya paka akiwa Kama jini. Basi sisi tulilala...
Back
Top Bottom