mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. DocJayGroup

    Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

    Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu...
  2. Analogia Malenga

    Mtoto wa miaka tisa aanzisha biashara ndogo ya kuajiri walemavu tu

    Camden Myers (9) mmarekani mweusi amaunda kitu cha kahawa ambacho kinaajiri walemavu peke yao. Kijana huyu mwenye moyo wa kipekee amekuwa akitumaini kuacha historia ya wema duniani Wafanyakazi wa kiwanda chake cha kahawa ni wanafunzi wa shule ya walemavu ya Winston-salem Dhima yake inaongozwa...
  3. LIKUD

    Naomba kujuzwa Shule ya sekondari nzuri kwa mtoto wa kike

    Heshima mbele wakuu, Binti yangu yupo darasa la saba kwa sasa. Ninaanza kufanya prior arrangement mapema kutafuta shule nzuri ya sekondari kwa mtoto wa kike Ninachohitaji: 1. Iwe nzuri kitaaluma. 2. Kimazingira. 3. Kimalezi. I prefer shule inayoendeshwa na taasisi ya kikatoliki. Mtoto anasoma...
  4. Sky Eclat

    Mtoto wako akiamua kumpa nyumba baba/mama yake ni sahihi?

    Huyu ni mtoto wa ujanani, kwakuwa bado wote au mmoja wenu alikuwa bado mwanafunzi wazazi wenu waliwasaidia ulezi mpaka mlipopata uwezo wa kumlea mtoto. Mengi yalipita na nyinyi wawili hamkuoana tena. Kabla ya kuingia kwenye ndoa mpya unaamua kumnunulia mtoto wako wa kwanza nyumba. Wakati huo...
  5. Analogia Malenga

    Dar es Salaam: Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka nane

    Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu, Stambuli Yusufu (35) kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa miaka nane. Mshtakiwa huyo anadaiwa kumfanyia kitendo hicho mtoto huyo anayesoma darasa la nne kati ya mwaka 2017 na 2018...
  6. Influenza

    Kigoma: Mganga wa Kienyeji afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8

    Mahakama ya Wilaya Kigoma Mkoa wa Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo...
  7. Analogia Malenga

    Kusikiliza kilio cha mtoto ni sanaa katika malezi

    Utafiti juu ya zana za mawasiliano ya watoto uliofanywa na R.G.Hopkins na J.K.Green pamoja na mwanasaikolojia John Bowlby unaonyesha kuwa mzazi anapaswa kusikiliza kilio cha mtoto wake ili kubaini mahitaji ya mtoto huyo. Kusikiliza kilio cha watoto siyo tu wajibu kwa wazazi bali pia ni sanaa...
  8. F

    Aliyemuiba mtoto na kukaa naye siku nne, aachiwa huru kituo cha polisi Kiomboi, Iramba

    Wadau wa JF poleni na pilika zetu hizi za kila siku, Hivi karibuni limetokea tukio la kuibwa mtoto wa miaka miwili ktk mji mdogo wa Kiomboi wilayani Iramba. Tukio hili lilitokea eneo la Soweto lenye watu wengi mjini hapo. Aliyemuiba mtoto ni jirani ambaye ni mstaafu serikalini. Baada ya...
  9. S

    Mtoto wa Lukuvi aolewa na mtoto wa Mohammed Aboud

    Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomani
  10. J

    Dr Bashiru: Kuna siku Tanzania itachagua " mtoto wa Ibilisi" kuwa Rais au mbunge kama mtaendelea kuwalealea

    Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amewakemea viongozi wa mkoa wa Tanga kwa kushindwa kulidhibiti kundi la watoto watukutu na waalifu wajiitao Watoto wa Ibilisi. Dr Bashiru amesema uzembe wa kulilea kundi hilo ukiendelea kuna siku tutapata diwani, mbunge au Rais aliyeasisiwa ndani ya kundi hilo...
  11. Nyendo

    UGANDA: Mtoto wa miaka 10 amuua mwenzake kwa wivu wa mapenzi

    Polisi wilayani Bududa mashariki mwa Uganda wanamsaka mwanafunzi wa miaka 10 kwa tuhuma za kumchoma kisu mwenzake ambaye alidai kupora mpenzi wake wa miaka 11. Mtuhumiwa huyo, ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Buwali. Polisi walimtambulisha mwathirika huyo kama Sam Watsosi, 16. Watsosi alidaiwa...
  12. Morning_star

    Mtoto kuwashitaki mahakamani wazazi wake kwa kumzaa bila ridhaa yake

    Kijana mmoja Uingereza anakusudia kuwashitaki wazazi wake. Hoja yake ya msingi ni kwanini walimleta kwenye hii dunia yenye shida na mateso kwa starehe zao? Wao kwa starehe zao za mapenzi kwanini wamlete duniani? Nadhani wazazi wana kesi ya kujibu!
  13. Justine Kakoko

    Mambo muhimu ya kufanya unapohitaji msaidizi wa kukulelea mtoto

    Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wazazi/walezi kuna kipindi katika maisha yao hulazimika kutafuta wasaidizi wa kuwalelea watoto wao. Wazazi/walezi wengi katika juhudi za kuyafikia mahitaji yao na ya watoto wao hujikuta wanakosa kabisa muda wa kuwapa uangalizi wa kutosha watoto wao hivyo...
  14. Mstahiki Mea

    Hadithi: Bila Passport Mtoto Hataingia Nchini

    Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi. Tulikuwa tumepanga kwenda nchini Ugiriki katika mji wa Thessaloniki kwaajili ya mapumziko kupisha vuguvugu...
  15. Analogia Malenga

    Anayedaiwa kumuingiza nyeti mtoto mdomoni kuhukumiwa

    Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam nchini Tanzania imepanga Januari 20, 2020 kutoa hukumu kwa mshtakiwa Liziki Kessy anayekabiliwa na shtaka la kumwingiza uume wake mdomoni mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba ili aunyonye. Kesi hiyo ilikuwa imepangwa kwa ajili...
  16. Analogia Malenga

    Kijana anayesadikiwa kusafiri kwa njia haramu afariki, mwili wake wakutwa kwenye tairi ya ndege

    Mwili wa kijana mdogo uligunduliwa katika sehemu ya gurudumu la ndege ya Boeing 777 ya shirika la ndege la Air France iliyokuwa ikitokea Abidjan, Cote d'Ivoire, mapema Jumatano wiki hii, kwenye uwanja wa ndege wa Roissy, nchini Ufaransa. Shirika la ndege la Air Ufaransa...
  17. matunduizi

    Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda. Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako. bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba. Huyo mtoto anahesabiwa...
  18. CalvinKimaro

    Kabla ya kuanza kudai Tume Huru ya uchaguzi au kuvunja tume iliyopo tafadhali tusaidieni kujibu maswali haya

    KABLA HUJAANZA KUDAI TUME HURU AU KUVUNJA TUME ILIYOPO TAFADHALI TUSAIDIENI KUJIBU MASWALI HAYA. UKIKOSA MAJIBU YAKE BASI UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA JAMAA WA TIGRIS AND EUPHRATES WALIORUHUSU MGENI KUJENGA KWENYE KIHAMBA CHA UKOO. Disclaimer: huenda kweli tunahitaji tume "nyingine". Nasema "huenda"...
  19. Justine Kakoko

    Njia 6 za kupata matokeo chanya unayoyataka kutoka kwa mtoto wako

    Wazazi/walezi wengi duniani kote wamekuwa katika mahangaiko ya kutafuta njia sahihi za kuzitumia katika kupata matokeo chanya kwenye nyanja mbalimbali za maisha ya watoto wao: wachache sana wamefanikiwa, lakini wengi wameshindwa kutokana na kutojua njia mbalimbali wanazoweza kuzitumia ili...
  20. Ketoka

    Giggy Money: Lazima nifanye mapenzi na mtoto wa Zari

    Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady. Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake. "Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja...
Back
Top Bottom