mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi katika hili la mtoto kunywa juice ya nanasi na kutoa jasho jingi

    Naamini mmesherehekea salama pumziko la pasaka na poleni kwa ambao haikuwa amani kwa namna moja au nyingine. Aidha poleni kwa misukosuko na taaruki ya ugonjwa wa COVID -19 najua imeleta athari kadhaa zikiwemo vifo na makatazo ya kujumuika katika shughuli mbalimbali za mikusanyiko. Zaidi kwa ili...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: 11 zaidi wagundulika na #covid19 akiwemo mtoto wa mwaka mmoja

    Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza visa vipya 11 vya #Covid19 na kufanya idadi ya visa nchini humo kuwa 208 Mmoja kati ya waliothibitikakuwa na #CoronaVirus ni mtoto wa mwaka mmoja. Sampuli 674 zimechunguzwa kwa masaa 24 yaliyopita Wanne kati ya hao waliokutwa na #Covid_19 wanahistoria ya...
  3. omben

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ukosefu wa haja kubwa kwa watoto wadogo na Vichanga. Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Nina mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 ana tatizo la kutokupata haja kubwa. Tatizo hilo limeanza juzi, leo ni siku ya pili bila kupata haja. Ana joto la kawaida ila leo amebaki analialia tu. Nimekwenda zahanati wananiambia hana tatizo...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa tajiri wa pili duniani 01

    "Mr John jikaze kifo kipo na kila mwanaadam ataonja umauti kwahiyo naomba uvumilie,najua ulimpenda mke wako kipenzi mama manavy,,piga moyo konde boss"yalikua maneno ya kumtia faraja kidog Mr John tajiri mkubwa duniani kwa kuondokew na mke wake àliyefarik kwa ajali ya ndege(private plane) huku...
  5. Mung Chris

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutenguliwa kwa laana iliyotolewa kwa mtoto wa kike

    Leo nimeshuhudia namna laana inavyo tenguliwa kwa mtoto wa Kike, mfano mtoto wa kike kuna maneno yaliyo nenwa kwa ajili yake akiwa msichana mdogo au mkubwa lakini anapoolewa ndoa yake inakuwa na misukosuko matatizo na mengi ambayo yanamfanya akate tamaa au mwenza atamani kumuua au kumfukuza...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dawa ya sanza kwa mtoto

    Nahitaji dawa ya mtoto kutoka mfereji kichwani (nzasa).
  7. Y

    JamiiForums Tanzania utamjibuje mtoto akikuuliza hivi???

    natumai hamjambo. wakuu ikiwa mwanao atakuuliza haya maswali utamjibuje?? #mama ulimpendea nini baba mbona anasura mbaya na wala si type yako? #baba ulimpendea nini mama mbona hana chura wala si type yako?? tiririkeni kama wazazi na wala si kama mateja.
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Daudi Bashite akipokea taarifa za ugonjwa wa mtoto wa Mbowe

  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

    Mtoto wa Mbowe anaeitwa James Mbowe amesema kuwa ugonjwa wa korona ni janga la kitaifa na halipaswi kufanyiwa mchezo wala mzaha. Amesema kitendo cha Mh. Makonda ni kitendo cha kushangaza kwa kuwa amejivika usemaji wa familia ya Mbowe kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa ugonjwa wa korona umepiga...
  10. idawa

    JamiiForums Tanzania RC Paul Makonda: Mbowe ameahirisha mikutano ya CHADEMA baada ya mwanaye kuambukizwa Corona

    Mkuu wa Mkoa Dar Paul Makonda amesema Mbowe ameahirisha mikutano ya kisiasa iliyopangwa kufanywa kuanzia mwezi wa nne baada ya mtoto wake kuumwa Corona. Makonda amesema huenda mtoto wa Mbowe asingeumwa Corona, Mbowe angeliingiza Taifa kwenye Machafuko ya Kisiasa. Juzi Rais Katoa agizo kuwa...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

    Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10. Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona. Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
  12. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wanyakyusa bana kila mtoto anayezaliwa now anaitwa Mwacorona

    Siwaweziii mashemejii zangu, mna ubunifuu hatareee.
  13. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania Mpe mtoto au mbwa jina baya limharibu/ Give a child or a dog a bad name and spoil it

    Hakika Chadema inateseka kutokana na kaulimbiu na tambulisho inazotumia! Makamandaa kunja kunja kunja ngumi! Bado sijaona/sijasikia! piiipoooz, pawa! Sasa ni NO HATE NO FEAR! Ni majina mabaya ambayo baba "mwamba" anayafyatua kadri atakavyo bila kuwaza vyema! Tatizo hili liliwahi kuikumba CUF...
  14. Freightliner

    JamiiForums Tanzania Msaada mtoto wangu anakohoa sana

    Mtoto wangu ana miaka5 ana tatizo la kukohoa hasa usiku lakini cha ajabu mchana hakohoi.nimejaribu kumpa dawa kama mucolyne lakini imedunda nimejaribu kumpa zecuf nayo hazina msaada nikawaza labda ni kile wanaita kimeo nikaenda kumkata lakini bado imeshindikana bado anakohoa sana..sijui shida ni...
  15. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Herode wa Bongofleva anamtafuta mtoto ambae amezaliwa

    Herode anamtafuta mtoto ambae amezaliwa. Herode alifadhaika Sana moyoni, kusikia mfalme Yesu amezaliwa katika Bethlehem nchi ambayo Herode aliitawala. Mtoto mfalme alie tabiriwa kuchukua ufalme wa Bongo Fleva, amezaliwa usiku wa Jana tarehe 14 March 2020 @ Mlimani City
  16. OCC Doctors

    JamiiForums Tanzania Usimpatie maji, mtoto mchanga chini ya umri wa miezi 6

    Mtoto mchanga chini ya miezi sita hapaswi kupewa chochote kile tofauti na maziwa ya mama, mtoto mchanga chini ya miezi sita hatakiwi kupewa maji, kwasababu maziwa ya mama yana maji yakutosha ndio maana mtoto anakojoa, na ukitaka kufahamu kwamba maziwa ya mama yana maji ya kutosha yakamue kisha...
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Madaktari na manesi wamempa heshima mtoto wa miaka 11 kwa ujasiri wake

    Mtoto wa miaka 11 alitibiwa kansa ya ubongo. Alipofahamu kuwa hatapona aliamua kuchangia moyo na figo zake kwa watoto wanaozihitaji. Mauti yalipomfika jopo la madaktari na manesi waliomtibu walimpa heshima kubwa. An 11-year-old boy with brain cancer's wish to donate his organs moved his...
  18. Busara ziro

    JamiiForums Tanzania Jinsi Baba na mtoto wanavyowazianaga

    Life bwana kuna muda unawaza daaah..!! "hivi kwa mfano BABA Angekuaga MO DEWJ sahvi maisha mtelezo tuu!! " Wakati huohuo baba nae unakuta anawaza hivi mfano "MWANANGU angekuaga SAMATTA "loooh..!! Ningekua nakula maisha tu... Yaani we acha Halafu kuna kipindi MTOTO Anawaza "dingi akifa tu nauza...
  19. J boaz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawezaje kumuacha huyu msichana

    Ndugu zangu mim ni mwanafunzi wa chuo ambae nipo kwenye mahusiano na msichana ambae ni mdogo kiumri kwangu pia bado mwanafunzi yupo form6 fedha girls saivi na ni msichana ambae kwao kuna uwezo na mimi nipo kwenye standard level. I mean maisha ya kati but mwanzo nilimfata baada ya kuwa tuna...
  20. hiram

    JamiiForums Tanzania Kitovu cha mtoto kuangukia sehemu mbaya limekaaje kisayansi

    Kumekuwa na imani kuwa kitovu cha mtoto kikiangukia mahala fulani mtoto huyo anakuwa hanithi na hata hivi karibuni Haji Manara amepost video ya Boban akimtuhumu Jerry Muro kuwa huenda wakati anazaliwa kitovu chake kiliangukia sehemu mbaya sasa kisayansi limekaaje
Back
Top Bottom