mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 5: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

    Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja. WASIFU Dkt. Hussein Ali Mwinyi ni Waziri wa...
  2. Naantombe Mushi

    JamiiForums Tanzania Pale familia inapojeuka kuwa kikwazo kwenye ukombozi wa mtoto wa kike

    Ni hivi jamani, kuna binti mmoja mdogo sana amemaliza elimu ya form IV mwaka 2017, niseme tu huyu binti ni mzuri sana, ana shape moja matata sana ambayo mwanaume yoyote rijali lazima uweweseke. Sasa hivi ndo anaenda kufikisha miaka 20 (now yupo kwenye 19). Binti mbichi haswaa. Maendeleo hayana...
  3. Ngareroo

    JamiiForums Tanzania Tuambie Swali/Maswali fikirishi au ya msingi uliyowahi kuulizwa na mtoto mdogo kabisa

    Hey inakuaje mandugu humu ndani!?I hope mko poa.. Bila kupoteza muda kama heading inavosema,je ni swali au maswali gani ya msingi uliyowahi kuulizwa na mtoto mdogo hadi ukashangaa uyu mtoto kawaza nini hadi kuniuliza hili swali??.. Kwa upande wangu Mimi kuna katoto ka Dada angu kana miaka...
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania Namba 30: Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya CCM kuwania Urais wa Zanzibar

    Mussa Aboud Jumbe, Mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe amechukua fomu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Jumbe amekuwa mgombea wa 30 katika mbio hizo za Urais. Vile vile Mussa ni Mkurugenzi katika Idara ya Maendeleo ya Uvuvi...
  5. Mayova

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tatizo la mtoto kukoroma kama ana kamasi puani

    Ndugu zanguni ma dakatari wa jf nina mtoto anamiezi mitano. Tatizo lake nikwamba kama vile ana makamasi mengi yamejaa puani lakin hata haya toki kwaiyo anakoroma tu puani. Nimetumia dawa kadhaa kama vile mucolyn, citrizine na ephedrine nasal drops lakini bado hata hija saidia kitu. Naombeni...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Adaiwa kuiba mtoto, achoma godoro ionekane kateketea

    Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja (jina limehifadhiwa), mkazi wa kijiji cha Msata mkoani Pwani, kwa tuhuma za kumuiba mtoto mwenye umri wa wiki moja na kisha kuchoma godoro alilokuwa amelalia mtoto huyo ili ijulikane ameteketea kwa moto. Tukio hilo lilitokea Juni 11...
  7. safuher

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa wanandoa wenye magroup ya damu yanayofanana ni ngumu kupata mtoto?

    Wakuu ni kweli watu wenye magroup ya damu yanayofanana hawawezi kupata mtoto? Mfano mke group O na mume group O hata wakizivizia siku hatari hawawezi kupata?
  8. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Umewahi pitia maisha magumu kushinda ya Mchungaji Moses Magembe ukiwa mtoto tuelezee

    Kuna watu wanapitia maisha magumu mno wakiwa watoto wadogo kisa hiki cha Mchungaji Moses Magembe wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Majumba sita, Ukonga, Dar es salaam kitakuliza machozi .Je kuna aliyepitia maisha magumu kumshinda huyu? tupe kisa chako Msikilize mwenyewe akijieleza...
  9. Finder boy

    JamiiForums Tanzania Mtoto hupewa jina ndani ya siku ngapi mara baada ya kuzaliwa?

    Salamu! Napenda kufahamu mtoto hupewa jina siku ya ngapi mara baada ya kuzaliwa? Je, ni siku ya kwanza, au siku yoyote? Msaada wenu tafadhali katika hili.
  10. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Mtoto Kipenzi wa Dar es Salaam alipoa kweli ila kwakuwa Baba Kipenzi amesharejea leo Mji Mkuu halisi naye ataanza kujitokeza

    Ili Baba yake amuone kuwa yupo na anafanya Kazi najua kuanzia leo atafufuka huko alikokuwa kajificha ili kutafuta Sifa zaidi kwa Baba Kipenzi.
  11. Hajto

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa Dawa ya usingizi kwa mtoto mwenye utindio wa ubongo

    Habari zenu Waungwana, kuna mtoto mmoja wa kiume anamiaka 9 ni mtoto mwenye Utindio wa Ubongo, Huyo mtoto amekuwa hapati usingizi kabisa,Je mwenye kutoa ushauri juu ya dawa za kumpatia ili kuweza kupata usingizi ni nini. Ushauri wenu ni muhimu sana
  12. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Hiki alichohoji mtoto huyu yupo sahihi au kakosa Adabu?

    Ni Mtoto wa Kike ( Binti ) tu ambaye anaishi katika Chumba Kimoja na Wazazi wake ila Kimetenganishwa tu amemshtaki Mama yake Mzazi kwa Mjumbe kwa Kumcharaza ( Kumchapa ) Viboko kila mara kwa Kosa la Kukojoa Kitandani kila mara huku akisema mbona na Yeye huwa anamsikia Mama yake huyo akimwambia...
  13. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Siku ya mtoto wa Afrika; Je, mtoto yu wapi na anafanya nini?

    Wasalaam. Leo tumeazimisha siku ya mtoto wa Afrika . Bila shaka wapo waliotengeneza kofia na mafulana yao kusherehekea siku hii adhimu kwao, kama kweli wapo waliokimbilia kwenye radio, televison na mitandao kuazimisha siku hii kwao. Lakini swali la kujiuliza ni moja nalo ni huyu mtoto wa...
  14. chawa wa mama

    JamiiForums Tanzania Kwa kutumia hoja CCM ni dhaifu Sana, hata mtoto wa kidato cha pili aliyesoma Civics anawagalagaza

    Kwa ndugu zangu wa damu CCM ukiondoa kutumia nguvu ya dola na ubabe wa kulazimishwa kupendwa kwa vitisho hawana hoja katika mizani ya siasa. Kumshambulia mwenyejiti Mbowe kwa hoja za udikteta, ufisadi na mengine ni daliki ya kumwogopa tu kwa namna alivyoweza kuwa jiwe ktk kipindi ambacho...
  15. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Nyoka yoyote mwenye Sumu Kali akikutana na Mtoto Mchanga au Mdogo hawezi kumdhuru na atakuwa anacheza naye tu?

    Nasikia kuwa kuna Siri Moja kubwa sana ya Kimungu na Kimaajabu katika hili hivyo nataka Kulithibitisha hili kutoka kwenu Wajuzi hapa Jamvini JF.
  16. Sipendi Uchawa

    JamiiForums Tanzania Kilele cha maadhimisho ya siku ya mtoto wa wa Africa, yapi maoni yako?

    Habarini za leo ndugu zanguni. Natumai hamjambo na mapambano ya kila siku yanaendelea, kila mmoja anapambana kuhakikisha anapata riziki yake. Kama tujuavyo kuwa kila ifikapo 16/06 ya kila mwaka huwa kuna maadhimisho ya siku inayofahamika kama siku ya mtoto wa Afrika ili kuenzi mauaji ya watoto...
  17. Y

    JamiiForums Tanzania Je, kuzaa mtoto mwenye mapungufu fulani ni tatizo la kibailojia or mapenzi ya Mungu?

    Natumai hamjambo wakuu, Wakuu naombeni usaidizi wenu katika hili, je kumzaa mtoto akiwa mlemavu wa ngozi, macho, kiziwi, bubu, kilema or hata sura mbaya inatokana na sababu za kibailojia or mipango ya mungu?
  18. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Ajali Mbeya: Mmoja afariki na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Hiace na Lori la mafuta

    Kumetokea ajali asubuhi ya leo Juni 07, 2020 katika eneo la Mbembela jijini Mbeya iliyohusisha gari dogo la abiria aina ya Hiace, lori la mafuta, lori la bidhaa na Bajaji. Katika ajali hiyo Mtu mmoja amefariki na wengine wanne kujeruhiwa baada ya lori hilo lililokuwa limebeba mafuta kufeli...
  19. britanicca

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa mrejesho wa waliowahi kuoa Mwanamke mwenye mtoto

    Hapa uzi huu utasaidia wanaochumbia na wanaposa. Je, waliooa wanawake wenye watoto mnaweza kutupa mrejesho?
  20. B

    JamiiForums Tanzania Wanaobeza maendeleo mtoto wa miaka 8 awashangaa

    Shangazi yangu alienda kutembea Uingereza akakutana na mtoto wa miaka 8 raia wa uko, mtoto akauliza nasikia Africa ni masikini sana? Shangazi akajibu ndiyo, Mtoto akauliza wewe unatoka taifa gani? Shangazi natokea Tanzania. Mtoto akauliza mbona wewe unajua kiingereza? Shangazi akajibu...
Back
Top Bottom