Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.
Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu...
Camden Myers (9) mmarekani mweusi amaunda kitu cha kahawa ambacho kinaajiri walemavu peke yao. Kijana huyu mwenye moyo wa kipekee amekuwa akitumaini kuacha historia ya wema duniani
Wafanyakazi wa kiwanda chake cha kahawa ni wanafunzi wa shule ya walemavu ya Winston-salem
Dhima yake inaongozwa...
Heshima mbele wakuu,
Binti yangu yupo darasa la saba kwa sasa. Ninaanza kufanya prior arrangement mapema kutafuta shule nzuri ya sekondari kwa mtoto wa kike
Ninachohitaji:
1. Iwe nzuri kitaaluma.
2. Kimazingira.
3. Kimalezi.
I prefer shule inayoendeshwa na taasisi ya kikatoliki. Mtoto anasoma...
Huyu ni mtoto wa ujanani, kwakuwa bado wote au mmoja wenu alikuwa bado mwanafunzi wazazi wenu waliwasaidia ulezi mpaka mlipopata uwezo wa kumlea mtoto.
Mengi yalipita na nyinyi wawili hamkuoana tena. Kabla ya kuingia kwenye ndoa mpya unaamua kumnunulia mtoto wako wa kwanza nyumba. Wakati huo...
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu, Stambuli Yusufu (35) kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa miaka nane.
Mshtakiwa huyo anadaiwa kumfanyia kitendo hicho mtoto huyo anayesoma darasa la nne kati ya mwaka 2017 na 2018...
Mahakama ya Wilaya Kigoma Mkoa wa Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo...
Utafiti juu ya zana za mawasiliano ya watoto uliofanywa na R.G.Hopkins na J.K.Green pamoja na mwanasaikolojia John Bowlby unaonyesha kuwa mzazi anapaswa kusikiliza kilio cha mtoto wake ili kubaini mahitaji ya mtoto huyo. Kusikiliza kilio cha watoto siyo tu wajibu kwa wazazi bali pia ni sanaa...
Wadau wa JF poleni na pilika zetu hizi za kila siku,
Hivi karibuni limetokea tukio la kuibwa mtoto wa miaka miwili ktk mji mdogo wa Kiomboi wilayani Iramba. Tukio hili lilitokea eneo la Soweto lenye watu wengi mjini hapo.
Aliyemuiba mtoto ni jirani ambaye ni mstaafu serikalini. Baada ya...
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amewakemea viongozi wa mkoa wa Tanga kwa kushindwa kulidhibiti kundi la watoto watukutu na waalifu wajiitao Watoto wa Ibilisi.
Dr Bashiru amesema uzembe wa kulilea kundi hilo ukiendelea kuna siku tutapata diwani, mbunge au Rais aliyeasisiwa ndani ya kundi hilo...
Polisi wilayani Bududa mashariki mwa Uganda wanamsaka mwanafunzi wa miaka 10 kwa tuhuma za kumchoma kisu mwenzake ambaye alidai kupora mpenzi wake wa miaka 11. Mtuhumiwa huyo, ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Buwali.
Polisi walimtambulisha mwathirika huyo kama Sam Watsosi, 16. Watsosi alidaiwa...
Kijana mmoja Uingereza anakusudia kuwashitaki wazazi wake. Hoja yake ya msingi ni kwanini walimleta kwenye hii dunia yenye shida na mateso kwa starehe zao? Wao kwa starehe zao za mapenzi kwanini wamlete duniani? Nadhani wazazi wana kesi ya kujibu!
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wazazi/walezi kuna kipindi katika maisha yao hulazimika kutafuta wasaidizi wa kuwalelea watoto wao. Wazazi/walezi wengi katika juhudi za kuyafikia mahitaji yao na ya watoto wao hujikuta wanakosa kabisa muda wa kuwapa uangalizi wa kutosha watoto wao hivyo...
Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi.
Tulikuwa tumepanga kwenda nchini Ugiriki katika mji wa Thessaloniki kwaajili ya mapumziko kupisha vuguvugu...
Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam nchini Tanzania imepanga Januari 20, 2020 kutoa hukumu kwa mshtakiwa Liziki Kessy anayekabiliwa na shtaka la kumwingiza uume wake mdomoni mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba ili aunyonye.
Kesi hiyo ilikuwa imepangwa kwa ajili...
Mwili wa kijana mdogo uligunduliwa katika sehemu ya gurudumu la ndege ya Boeing 777 ya shirika la ndege la Air France iliyokuwa ikitokea Abidjan, Cote d'Ivoire, mapema Jumatano wiki hii, kwenye uwanja wa ndege wa Roissy, nchini Ufaransa.
Shirika la ndege la Air Ufaransa...
Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda.
Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako.
bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba.
Huyo mtoto anahesabiwa...
KABLA HUJAANZA KUDAI TUME HURU AU KUVUNJA TUME ILIYOPO TAFADHALI TUSAIDIENI KUJIBU MASWALI HAYA. UKIKOSA MAJIBU YAKE BASI UTAKUWA HUNA TOFAUTI NA JAMAA WA TIGRIS AND EUPHRATES WALIORUHUSU MGENI KUJENGA KWENYE KIHAMBA CHA UKOO.
Disclaimer: huenda kweli tunahitaji tume "nyingine". Nasema "huenda"...
Wazazi/walezi wengi duniani kote wamekuwa katika mahangaiko ya kutafuta njia sahihi za kuzitumia katika kupata matokeo chanya kwenye nyanja mbalimbali za maisha ya watoto wao: wachache sana wamefanikiwa, lakini wengi wameshindwa kutokana na kutojua njia mbalimbali wanazoweza kuzitumia ili...
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady.
Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake.
"Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.