mtandao

  1. sky soldier

    Je, mtandao wa Smile umefunga virago Tanzania?

    Network haipatikani. Website yao haifunguki. Simu hawapokei. Page zao za facebook na insta zipo kimya tangu october. Kuna waliolipia vifurushi vya mwezi, siku zinaenda tu na hua hawafidii vifurushi network ikikata.
  2. Erythrocyte

    Hivi hii kampeni ya Jazwa Ujazwe ya Mtandao wa Tigo ina ukweli wowote?

    Naomba yeyote aliyeongezewa muda wa maongezi au MB kama mpiga debe wao Joti anavyotangaza hadharani aniambie, nafahamu kwamba ukiongeza muda wa maongezi unaletewa sms ya kwamba umepewa MB kadhaa, sasa kiuhalisia ukiacha hiyo SMS kuna kweli wa hizo MB na unazionaje na zinaishaje? Nimeuliza kwa...
  3. Z

    Mtandao wa Smile ni kweli na nyie mmeanza wizi?

    Ukatikaji wa mawasiliano katika mtandao wa smile kwa sasa limeanza kuwa jambo la kawaida sana. Kila wakati mtandao wao unapotea hewani na hawatoagi feedback yoyote unaporudi kwa wateja wao. Ila pia kinachokwaza ni wizi unaoendelea kwa hivi sasa. Kwa mara kadhaa umeshawahi kupotea na bundle za...
  4. josias

    Network marketing (biashara mtandao), sekta muhimu kwa uchumi ambayo inahitaji kutolewa elimu na kutungiwa sera

    WTF
  5. Kwa msisi yetu

    Airtel ni mtandao wa hovyo kabisa sijawahi kuona

    Nimekuwa mteja wa huu mtandao tangu mwaka 2006 ulipokuwa ukijulikana kwa jina la Celtel mpaka leo. Inasikitisha na inaudhi mno kuona kwamba huu mtandao uliotokea kupendwa sana na watu wa vijijini kwa huduma nzuri kipindi cha nyuma ndio mtandao unaoongoza kwa huduma MBOVU KABISA siku hizi...
  6. Miss Zomboko

    Mtandao wa chanjo ya Corona ya Pfizer na BioNTech wadukuliwa

    Kumetokea shambulizi la kimtandao ambalo limezilenga data za makampuni yaliovumbua chanjo ya virusi vya corona, Pfizer na BioNtech, likiwa ni sehemu ya uhalifu wa kimtandao ambao unayoyalenga Makampuni ya Dawa ya Ulaya (EMA) huko mjini Amsterdam, Uholanzi. Taarifa hiyo imetolewa kwa pamoja na...
  7. wanzagitalewa

    Tanzania ifanye nini kuvuna faida za Huduma ya Afya kwa njia ya mtandao?

    Katika miaka ya hivi karibuni, mapinduzi ya teknolojia za kidijitali yamekuwa mengi. Hii imezipa nchi nyingi faida bunifu za kupambana na changamoto mbalimbali.Mfano wa faida hizo ni huduma za afya kwa njia ya mtandao (m-health). Kwa watoa huduma za afya wengi, m-health imeleta njia mpya za...
  8. Analogia Malenga

    Wenye mabasi wapoteza bilioni 196/- kwa kutotumia tiketi kwa njia ya mtandao

    ZAIDI ya Sh bilioni 196 zinapotezwa na wasafirishaji wa mabasi kila mwaka kutokana na kutotumia mfumo wa ukatishaji tiketi kwa njia ya mtandao (POS) uliobuniwa maalumu kwa utoaji wa huduma ya usafiri. Aidha hatua hiyo pia imekuwa ikiipotezea serikali zaidi ya Sh bilioni 38 kila mwaka...
  9. T

    Amkeni, wamefungua mtandao wa internet

    Wakuu amkeniiii, mtandao wameachia. wastue Wana na Wana wawastue Wana. mwendo wa kuchati na kupigaa pesaa au kwa wale wa jagd plaza wanasema kudownload pesa hahahaa. Unashangaa nini uzi tayari.
  10. Idugunde

    Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

    Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini. Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo. Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa...
  11. FRANCIS DA DON

    Mtandao wa Tigo jumbe za sms zinakwama hewani au haziendi kabisa, shida nini?

    Watu wengi wameripoti sms kwa kutumia mtandao wa Tigo zinakwama hewani kwa mud mrefu kabla ya kufika au haziendi kabisa moja kwa moja; Hii ni mbaya sana kwa sababu SMS zingine ni crtical zifike kwa muda muafaka vinginevyo unavuruga kabisa utaratibu wa maisha wa kila siku. Unaweza ukahisi mtu...
  12. Kipenzi Changu

    Nashauriana na wanasheria wangu kufungua kesi ya kuzimwa kwa mtandao na kudai Tsh. Bilioni 8

    Kichwa cha habari kinahusika, Tupo hatua za mwanzo kabisa kuona jinsi tunavyoweza kuwashitaki wahusika waliozima mitandao ambapo ni takribani wiki sasa. Ni jopo la wanasheria wangu. Tunafikiria kudai fidia ya Bilioni 8 kutokana na hasara tuliyopata kwa kuzimwa mtandao tena bila kushirikishwa...
  13. Suley2019

    LHRC yawataka TCRA na Makampuni ya Mawasiliano kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya kukatika kwa mtandao nchini

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito kwa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) na Makampuni ya Mawasiliano ikiwamo TTCL, Vodacom, Tigo, Airtel kutoa taarifa rasmi kwa wateja kufafanua kuhusu changamoto inayowakabili watumiaji wa mitandao.
  14. S

    Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

    Ahead of tomorrow's election in #Tanzania, we're seeing some blocking and throttling of Twitter. #TanzaniaDecides2020 Internet shutdowns are hugely harmful, and violate basic human rights and the principles of the #OpenInternet #KeepItOn
  15. Magazetini

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo. PIA SOMA = > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
  16. Prof Koboko

    Mtandao wa Airtel mnatumiwa Polepole wa CCM, kutoa namba za watu kuwaomba kura

    Kitendo cha mtandao wa Airtel kugawa namba za watu kwa CCM bila ridhaa zao na kuwatumia ujumbe wa kuwaomba kura uungwa kabisa. Huu ujumbe ambao unamuombea Magufuli kura unaonekana kua ni maneno ya msemaji wa CCM Humphrey Polepole kuwaomba watu kura. Ni usumbufu kitendo hiki kutawakosesha wateja.
  17. M

    Kero: Mtandao wa Tigo mnakera

    Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji. Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku? Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi...
  18. 44mg44

    Nimebahatika kuapply chuo kimoja tu,vingne mtandao unagoma

    Kwa wengne hali ikoje jaman?? kwangu mtandao umengomea kabisa
  19. William Mshumbusi

    Nilisikia Malalamiko mengi ya Chadema Juu ya wagombea wa CCM je mliyapeleka kisheria Ila Mwenyekiti hakuiitisha Kamati au NI ya kwenye mtandao.

    Malalamiko NI mengi Sana ya Chadema Juu ya wagombea wa CCM NI pamoja na. 1 Kutumia magali ya serikali. 2.Kumtumia Mawaziri mkuu. 3.Ahadi za Raisi na kupigia cm mawaziri. 4.Mgombea wa CCM kutofata ratiba ya tume. 5. Tuhuma dhidi yenu ya kuuza nchi mkichaguliwa. 6. Kauli zilizowahi kutolewa kwa...
Back
Top Bottom