Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kuna upotoshaji mbaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithili ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; TCRA wafungieni Twitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithili ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; TCRA wafungieni Twitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumike kupotosha na kuzua uongo.