EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,559
- 12,682
Hii ni kifaa cha kampuni fulani.nimekinunua kwa hela nyingi lakini mwisho wa siku kikawa hakina kazi kutokana na mtandao husika kutokuwa na coverage kwenye remote areas.Coverage ipo mijini tu.Ni jambo la kushangaza sana katika kipindi hiki cha Sci & Tech eti mtandao unashika mjini tu.Nimeamua kuipiga chini.Halafu inawezekana ufanyike utundu niweze Tumia line ya mtandao mwingine