Kwenye suala zima la mifumo ya tehama,tuko nyuma sana.Mifumo minhi ya serikali ni duni crude alafu ipo chini muda wote.Nilikuwa nashauri watalaamu wetu waendw google kujifunza
Kwa mfano mtandao wa YouTube ungekua unatumia mifumo kama ya kwetu ungeweza kupakia na kuplay video zote zile? Kweli tunahitaji maboresho makubwa sanaKwenye suala zima la mifumo ya tehama,tuko nyuma sana.Mifumo minhi ya serikali ni duni crude alafu ipo chini muda wote.Nilikuwa nashauri watalaamu wetu waendw google kujifunza