w0rM
Member
- May 3, 2011
- 68
- 163
Siku chache zilizpita Kampuni za Simu za Tanzania; Vodacom, Tigo na Airtel n.k ziliongeza bei za vifurushi na kusabisha taharuki kwa watu wengi kwa bei hizo zilipanda maradufu.
Serikali na Taasisi zake zilisubiriwa sana kuja kuzungumzia suala hilo, badala yake TCRA ikaja na chapisho la kuonesha kuwa makato cha simu kutoka 2018 hadi sasa yamepungua kwa kiasi fulani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Zainab Chaula alisema wizara inafahamu mabadiliko hayo na inaendelea kuyafanyia kazi. “Tunafahamu na tunaendelea kufanyia kazi,” aliongeza Dk Chaula
Leo, Serikali kupitia kwa Waziri mwenye dhamana ya Taknolojia anasema wanaandaa mfumo wa kuzuia watu kupiga simu kwa kutumia WhatsApp kwani wamegundua inahusika katika kupunguza mapato ya simu za kawaida kwa Serikali
Je, Serikali ihusika katika kupandisha bei ya vifurushi vya simu ikiwa ni njia moja wapo ya kupunguza watu wanaotumia mtandao?
Serikali na Taasisi zake zilisubiriwa sana kuja kuzungumzia suala hilo, badala yake TCRA ikaja na chapisho la kuonesha kuwa makato cha simu kutoka 2018 hadi sasa yamepungua kwa kiasi fulani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Zainab Chaula alisema wizara inafahamu mabadiliko hayo na inaendelea kuyafanyia kazi. “Tunafahamu na tunaendelea kufanyia kazi,” aliongeza Dk Chaula
Leo, Serikali kupitia kwa Waziri mwenye dhamana ya Taknolojia anasema wanaandaa mfumo wa kuzuia watu kupiga simu kwa kutumia WhatsApp kwani wamegundua inahusika katika kupunguza mapato ya simu za kawaida kwa Serikali
Je, Serikali ihusika katika kupandisha bei ya vifurushi vya simu ikiwa ni njia moja wapo ya kupunguza watu wanaotumia mtandao?