msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

    Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue...
  2. Z

    Wanasiasa kutoa amri za kukamata watu, Wanasheria tupeni msaada

    Naangalia gazeti la leo likisema Mkurugenzi aagiza polisi kumkamata Meya, Waziri aagiza waliohujumu Miundombinu kukamatwa. Hizo ni amri zingine ni majukwaani. Waziri aagiza mkandarasi akamatwe, nk. Hawa ni wanasiasa na watendaji wa serikali wakitoa amri kwa vyombo vya dola. Je, kisheria nani...
  3. Msaada: Namna ya kuipata movie ya San Andreas ya tetemeko la ardhi

    Wapendwa habarini za jioni/usiku. Naombeni msaad wa namna ya kuipata muvi ya san andreas ya tetemeko la ardhi iliyokuwa inamhusisha dada aliyeanguka kwenye bonde la san fernando california then anaokolewa na helicopter. link ya kipande cha muvi
  4. Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    Wadau, naomba msaada kuhusu Verification Certificate ambayo inapatikana kwenye Ajira Portal. Sehemu hii ni ya ku-add vitu gani?
  5. K

    Msaada: Nyoka wananimalizia mayai ya kuku wangu

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ninafuga kuku wa kienyeji hapa shambani kwangu. Kwa kweli kuku wanastawi vizuri na nilishaanza kufurahia matunda ya jasho langu, lakini ghafla nilianza kuona mayai yakipungua wakati kuku wanataga kila siku. Niliamini pasipo na shaka itakuwa nyoka...
  6. Msaada kwa anayefahamu bei ya Toyota Alphard

    anayejua bei ya hii gari Toyota Alphard naomba anisaidie please! naimani humu JF ni sehemu ya kupata jibu sahihi kuliko huko mtaani
  7. Tanzania yapokea msaada kutoka Sweden ili kuboresha sekta ya elimu

    Serikali ya Tanzania imetiliana saini mikataba miwili ya msaada na serikali ya Sweden kwa kupatiwa fedha kiasi cha dola milioni 90 sawa na shilingi Bilioni 240.95 kutoka mfuko wa ushirikiano wa Elimu Duniani GPE. Akizungumzia msaada huo jijini Dar es salaam Katibu Mkuu wizara ya fedha na...
  8. P

    Msaada kwa anayeyajua haya matunda

    Naomba msaada kwa yoyote anayeyafahamu matunda haya na upatikanaj wake Tanzania
  9. Msaada kwa wanaoifahamu kozi ya Business Administration with Education

    Naombeni ushauri kuhusu hii kozi ya Business Administration with Education, kama nikisomea naweza fanya kazi za aina gani?
  10. Msaada wa orodha ya vituo vyote vilivyofanya mtihani wa CSEE kwa mikoa

    Habari zenu, Nilikuwa naomba orodha ya shule zilizofanya mitihani ya kidato cha 4 mwaka 2019 kwenye mpangilio wa mikoa.
  11. Naomba msaada wa kujua Chuo cha Afya cha private kizuri ngazi ya diploma

    Habar za humu ndan wakuu.Naomba msaada wa kujua chuo cha Afya cha private kizuri ngazi ya diploma (Clinical officer) kinachopatikana Dar es Salaam au Dodoma. Nikipata mawasiliano yao itapendeza zaidi. Shukrani!!
  12. Msaada wa kisheria: Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye Lumande ya Polisi ni nani?

    Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye rumande ya Polisi ni nani? Ni polisi, ndugu au walalamikaji? Ukiweka sheria na kifungu husika itapendeza zaidi. NB: Hapa namaanisha mtu aliye rumande miezi kadhaa na hajapelekwa mahakamani.
  13. Naombeni msaada wa kujua kuhusu kozi za afya

    Habari za wakati huu wanajanvi, Naombeni msaada wenu kwa mwenye uelewa juu ya jambo hili. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka huu ana division four ya 26 CIVICS D, HISTORY F, GEOGRAPHY D, KISWAHILI C, ENGLISH C, BIOLOGY D, MATH F Je anaweza kusoma kozi gani ya afya? Ahsanteni
  14. Msaada wakuu

    Habari wakuu , natumai ni wazima was afya, naombeni msaada ya tatizo hili yapata mwaka na nusu sasa na tatizo la kuwashwa au kuchinyota nyia ya haja kubwa , ngozi ya mwili kuwasha , kusikia njaa kila mara na joint kuuma , nimeenda sana hospital kubwa na ndogo nimesafanya vipimo vingi sana kama ...
  15. Msaada haraka kabla sijakata moto

    Nipo cafe shop hapa nimeagiza Juice natural mixer ya embe passion, Tende,Chungwa na Nanasi, sasa najiuliza sijatengeneza sumu kweli hapa. Tafadhali wataalamu wa afya njoon huku na wale wa chemistry
  16. Msaada wa aliyewahi kufanya written interview ya Relationship Officer

    Habari zenu wana jamvi, jamani naombeni kusaidiwa maswali yanayotoka kwenye mtihani wa written interview katika kada ya Relationship Officer tafadhali. Nawakaribisha wanajamii wenzangu tupeane uzoefu hapa kwenye hii thread karibuni sana.
  17. M

    Utunzaji wa nywele za asili

    Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair, tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo. Kwa wale mnaofikiria kuanza kuwa na nywele asilia, karibuni sana tuendelee kujuzana namna ya kutunza nywele zetu kama tulivyopewa na Mungu Katika mada ya leo,nitakwenda kuzungumzia vitu...
  18. Msaada: Ni wapi ninapoweza kununua engine kamili ya 1HZ na iliyo katika hali nzuri?

    Habari zenu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha. Ni wapi naweza pata engine ya 1HZ iliyo katika ubora mzuri. Pamoja na swala hilo la ununuzi, pia ningependa kufahamu mambo yafuatayo juu ya hiyo engine. 1. Bei yake inaweza range kiasi gani? 2. Ni vitu gani vya kuzingatia katika...
  19. Msaada: Nataka kujua utumikaji wa mafuta kwenye Valve Matic Engine

    Huu ni mfumo mpya mbadala wa VVTi upo kwenye gari aina ya Allion 2009 na premio 2009. Mwenye gari aina hizo naomba ufafanuzi wa matumizi ya mafuta
  20. Msaada: Kati ya boda boda mpya 1 na used mbili ipi ninunue

    Wakuu za mwaka mpya, Mwenzangu anataka kufanya biashara ya boda boda sasa ameniomba ushauri anunue used 2 au mpya moja na ana 1.8 M. Mimi nimemwambia anipe muda ili nimshauri vizuri, kwa kuwa mimi sijui chochote kuhusiana na biashara hii nikaona nije huku wakuu. Naomba pia kujuzwa utaratibu wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…