senzoside
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 183
- 31
Habari za wakati huu wanajanvi,
Naombeni msaada wenu kwa mwenye uelewa juu ya jambo hili. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka huu ana division four ya 26 CIVICS D, HISTORY F, GEOGRAPHY D, KISWAHILI C, ENGLISH C, BIOLOGY D, MATH F
Je anaweza kusoma kozi gani ya afya?
Ahsanteni
Naombeni msaada wenu kwa mwenye uelewa juu ya jambo hili. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka huu ana division four ya 26 CIVICS D, HISTORY F, GEOGRAPHY D, KISWAHILI C, ENGLISH C, BIOLOGY D, MATH F
Je anaweza kusoma kozi gani ya afya?
Ahsanteni