Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
Habari zenu wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha. Ni wapi naweza pata engine ya 1HZ iliyo katika ubora mzuri. Pamoja na swala hilo la ununuzi, pia ningependa kufahamu mambo yafuatayo juu ya hiyo engine.
1. Bei yake inaweza range kiasi gani?
2. Ni vitu gani vya kuzingatia katika ununuzi wa engine ili nisiuziwe engine ambayo ni janjajanja iliyotokana na magari yaliyokufa hapa Tanzaniayakachinjwa?
3. Ikipatikana engine iliyo katika hali nzuri, inaweza fanya kazi kwa muda gani bila kuanza usumbufu?
Kama kuna yeyote mwenye idea na wazo la wapi naweza kifanikisha hili nitamshukuru sana.
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha. Ni wapi naweza pata engine ya 1HZ iliyo katika ubora mzuri. Pamoja na swala hilo la ununuzi, pia ningependa kufahamu mambo yafuatayo juu ya hiyo engine.
1. Bei yake inaweza range kiasi gani?
2. Ni vitu gani vya kuzingatia katika ununuzi wa engine ili nisiuziwe engine ambayo ni janjajanja iliyotokana na magari yaliyokufa hapa Tanzaniayakachinjwa?
3. Ikipatikana engine iliyo katika hali nzuri, inaweza fanya kazi kwa muda gani bila kuanza usumbufu?
Kama kuna yeyote mwenye idea na wazo la wapi naweza kifanikisha hili nitamshukuru sana.