msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sanctus Mtsimbe

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Wazalendo; Moja ya sehemu ya maisha yangu ambayo kamwe sitasahu ni kupitia JKT. Nilijiunga na JKT Ruvu na baadaye nikaenda Service Buhemba Lwamkoma. Sitosahau kamwe mafunzo ya ukakamavu, kwata, mchaka mchaka, disko na vitimbi mbalimbali kati ya Makuruta na Maafande. Nilikuwa Combania E...
  2. L

    China inatoa msaada kwa nchi za Afrika, ili nchi za Afrika zisiombe msaada tena katika siku za baadaye

    Fadhili Mpunji Moja ya mada zinazojadiliwa katika uhusiano kati ya China na Afrika ni msaada. Hivi karibuni, ofisa mwandamizi wa shirika la misaada ya kimataifa la China (CIDCA) Bw. Liu Junfeng kwenye mkutano uliofanyika Beijing alieleza kwa kina utaratibu wa China katika kutoa misaada kwa nchi...
  3. L

    Msaada wa China kwa nchi za Afrika: Je ni mzigo wa madeni?

    Caroline Nassoro Vyombo vingi vya habari vya nchi za Magharibi pamoja na baadhi ya wanasiasa katika nchi hizo wanadai kuwa, China inaibebesha Afrika mzigo wa madeni, na kwamba inaendeleza ukoloni mamboleo kwa nchi hizo. Tukiangalia kwa undani, uhusiano wa China na nchi za Afrika ni wa...
  4. jerryperry2020

    Naomba msaada wa kutatua tatizo la rejeta kwenye Subaru Impreza

    Wakuu nawasalimu pamoja na mko bize kufuatilia kesi mbali mbali zinazoendelea kwenye mahakama mbali mbali naomba ushauri wenu kwa wazoefu ninatumia subaru impreza kwenye mizunguko yangu ila hivi karibuni imekuwa na tatizo kwenye rejeta maana kila nikienda kwenye mizunguko lazima nikute imekausha...
  5. C

    Msaada wa kiafya: Maumivu ya kifua yananisumbua (1)

    Wakuu habarini. Ninaomba msaada kwa anayeweza kunishauri. Nimekuwa nikipata maumivu ya kifua eneo la katikakati ya kifua kurudi chini zinakoishia mbavu. Mara nyingi maumivu haya husikika upande wa kulia wa kifua pia. Nimesha attend hospital mbalimbali nikafanya vipimo vya X-Ray mara mbili, CT...
  6. MILES27

    Msaada wa chuo na course

    Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri Pia huwa Nina interest katika IT napo pia...
  7. Nyuki Mdogo

    Msaada Itel A56 haina Play Store

    Naombeni msaada namna ya kupata play store kwenye hii simu... Play store haipo kwenye app list
  8. Jackal

    Israel yatoa msaada wa gesi kwa Lebanon kwa siri kupitia Jordan

    Israel said to secretly ink unprecedented deal to supply gas to Lebanon, via Jordan Israel has signed an agreement to indirectly pump natural gas to Lebanon to aid the crisis-hit nation, an unsourced television report claimed on Saturday. Channel 12 news reported that the...
  9. P

    Msaada wakuu nimekwama, wiki sasa balo la mtumba halitoki

    Habari zenu, Dada yenu nimekwama tafadhali naomba mnisaidie, Nimekodi meza ya biashara soko la Tandika, nimeanza kwa kuuza nusu balo la skin jeans na nusu balo la blouse. Wiki sasa inakata mzigo hautoki mpaka nahofia kula pesa ya mtaji. Naomba kama kuna yeyote anaweza nisaidia balo la nguo za...
  10. Website design

    Msaada wa kiufundi kwenye iPhone 7

    Habari Kwenye iphone kuna kitu kinaitwa switch control sasa kimetokea na sasa simu imeshaji lock nahitaji kuingia kwa passcode ila nashindwa ukitaka kuanza kuandika passcode tu inatokea mistari ya blue kama inavyoonekana hapo chini imezunguka passcode na nikubonyeza namba ina pop up kitu kama...
  11. pombe kali

    Msaada: Zawadi kwa atakayeweza kuwatambua watu hawa pichani

    Pamoja na kwamba Picha za CCTV hazionyeshi vizuri na kwamba wamejifunika na kofta ila kama unawafahamu utawafahamu tu zawadi Nono itatolewa asanteni
  12. Mbomozo

    MSAADA: KWA WAHAYA WANAWAJUA HAWA WANYAMA NDILILA

    Habari za jioni wadau...... Anastahiki sifa njema muumba wa ardhi na mbingu. Pia kwa kuniwezesha kumalizia na kuhamia kwenye kibanda changu kipya namshukuru mungu kwa hilo , namuomba mungu ampe ambaye hajapata sehemu yake ya kujiegesha.. Amiin Baada ya maamkizi nitaenda kwenye mada tangia...
  13. M

    Wanasheria na watafsiri sheria msaada wenu

    Nawiwa kuombwa msaada wa kutafsiriwa kifungu hiki Cha 84 (2) Cha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu namna ya kumpata spika wa bunge. Ni sahihi kusema kuwa nafasi ya naibu spika haijatajwa kwenye ibara hiyo Kama alivyosema Tulia? Ni sahihi Kwa naibu spika kugombea nafasi ya spika...
  14. VictoniX

    Naomba msaada kwa wenye kufahamu zaidi nahitaji kuagiza mzigo AliExpress

    Naomba masaada kwa wenye kufahamu zaidi nahitaji kuagiza mzigo AliExpress nishaweka order zangu kwenye cart lakini sina uzoefu wowote wa kununua bidhaa online kwa njia hii, nimewahi kununua kupitia kikuu pekee... Nahisi namna ya kuagiza sio shida sana maana naweza kusoma kwenye tovuti yao na...
  15. okiwira

    Nahitaji msaada toka kwenu wataalamu na mafreelancer

    Kuna DOGO kamaliza form4 hivyo nataka nimwezeshe biashara ya kuuza vifurushi vya dk,mb,sms vya mitandao yoote na kuuza LUKUU ya umeme visiwe vya kukwangua vocha Bali kutumia mashine (SIJUI NI MASHINE GANI INAFAA) Pia awe analipia ving'amuzi. Pia awe anasajili laini (SIJUI NI MASHINE GANI...
  16. At Calvary

    Msaada je naweza kupata PC desktop kwa bajeti isiozidi 250k. Iwe core i

    Wakuu kwema. Kama mada inavyoeleza hapo juu. Ikiwa kuanzia generation ya 4 itakuwa better. Naombeni mwongozo.
  17. Manjagata

    Msaada: Kwa Anayejua Kuhusu Hizi Paid Social Media Jobs

    Wadau salama? Naomba kwa mtu anayejua hizi Paid Social Media ajaribu kutoa ufafanuzi hapa maana nimefuatwa na raia ananihamasisha kwamba kuna hizo jobs ambazo unazifanya remotely! Na wewe unaendelea na mambo yako mengine huku unapiga mpunga! Lakini kuna kiingilio kwanza cha kama U$ 30 hivi...
  18. Y

    Msaada kuhusu ulipaji kodi TRA

    Wasalaam ndugu zangu. Hali iliyonikuta ni kuwa nlikua na biashara ndogo nliachiwa uendeshwaji wake kwangu na shule ikawa changamoto ikafa nikahangaika na vitu vingine sasa nataka kufungua biashara mpya napata taarifa kwa watu kuwa itabidi nilipie kodi miaka 4 nlokua nimefunga ile biashara. Je...
  19. Kingo

    Shida ya PC display: Msaada

    PC Acer Aspire E5-573 inadisplay nusu ya monitor. Sababu na namna ya kutafuta tatizo hilo?
  20. Wilhelm Johnny

    MREJESHO KUHUSU YULE BINTI NILIOMBA MSAADA

    Wakuu nilikuja kuomba msaada hapa kuhusu yule binti mwenye jini mahaba eee bwana nilifanikiwa kumtafuna kweli na wala hakupandisha hayo majini yake kitu kilichofanya nihisi alikua ananiigizia japo aliniambia kuna dawa anatumiaga. Utata unakuja anapokomaa mimi ni mwanaume wake wa kwanza kukutana...
Back
Top Bottom