China yaipa Ukraine msaada wa yuan milioni 10

China yaipa Ukraine msaada wa yuan milioni 10

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,262
China yaipa msaada Ukraine wa yuan million 10

========
China to provide additional $1.6m of humanitarian aid to Ukraine

369355af0cc941a6b7d75c23c95c8811.jpg

China will provide an additional 10 million yuan (roughly $1.6 million) of humanitarian assistance to Ukraine, Chinese Foreign Ministry spokesperson Wang Wenbin announced on Monday.

Wang said at a daily press briefing that the new aid package was based on the development of the situation and the needs of Ukraine.

"China pays close attention to the civilian casualties in the Russia-Ukraine conflict," Wang said, noting that the top priority for the international community now is to deal with a possible large-scale humanitarian crisis.

He added China has put forward a six-point initiative on alleviating the humanitarian situation in Ukraine and has taken concrete actions, including providing humanitarian aid supplies.

"China will continue to play a constructive role in easing the situation in Ukraine and stands ready to make its own efforts to overcome the humanitarian crisis," said Wang.

The Red Cross Society of China earlier provided humanitarian aid supplies worth 5 million yuan to Ukraine.

Chanzo: CGTN
 
Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,
 
Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,
Na hio habari ni media ya kichina kwa hiyo hawana la kusema ooh Mara imetoka kwenye western media
 
Kwani kutoa msaada ni dhambi ?

Pili vita ya Russia ni Raia wa Ukraine ?

Hata Putin mwenyewe anaweza kutoa msaada kwa raia wa Ukraine hio ndio inaitwa goodwill na Public Relations

Mwisho wa siku kila mtu anaangalia their long term benefit..., And its for the benefit of China to have a weaker America
 
Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,
Mchina anabembeleza mahusiano yake na western yasiharibike maana anajua mrusi si size yake kiuchumi alishatoka huko kwenye uchumi wa kidola ambao urusi ndiyo wanaukumbatia. China anawaza namna gani atampita US so lazima akae nae vizuri naye bado hajasahau dafrau la huawei
 
China yaipa msaada Ukraine wa yuan million 10

========
China to provide additional $1.6m of humanitarian aid to Ukraine

View attachment 2160137

China will provide an additional 10 million yuan (roughly $1.6 million) of humanitarian assistance to Ukraine, Chinese Foreign Ministry spokesperson Wang Wenbin announced on Monday.

Wang said at a daily press briefing that the new aid package was based on the development of the situation and the needs of Ukraine.

"China pays close attention to the civilian casualties in the Russia-Ukraine conflict," Wang said, noting that the top priority for the international community now is to deal with a possible large-scale humanitarian crisis.

He added China has put forward a six-point initiative on alleviating the humanitarian situation in Ukraine and has taken concrete actions, including providing humanitarian aid supplies.

"China will continue to play a constructive role in easing the situation in Ukraine and stands ready to make its own efforts to overcome the humanitarian crisis," said Wang.

The Red Cross Society of China earlier provided humanitarian aid supplies worth 5 million yuan to Ukraine.

Chanzo: CGTN
Yuan milioni 10 ni sawa na sh ngap ya kitz?
 
Mchina anabembeleza mahusiano yake na western yasiharibike maana anajua mrusi si size yake kiuchumi alishatoka huko kwenye uchumi wa kidola ambao urusi ndiyo wanaukumbatia. China anawaza namna gani atampita US so lazima akae nae vizuri naye bado hajasahau dafrau la huawei
Umeongea point sana sio kama wale wapiga debe, china hayuko tayari kuharibu mahusiano na nchi ambazo ukichanganya zina GDP almost 30 trillion, kwa sababu nchi moja tu yenye GDP ya 1.6 trillion dollar
 
Wako wapi wale wanaosema China na Mrusi lao moja mbele ya vikwazo vya magharibi? on top that jana balozi wa China nchini US ameithibitisha Marekani mapaka sasa bado china hawajatoa msaada wowote wa silaha za kivita kuisaidia Russia vita ya Ukraine.,
Kwani kuna mahali serikali ya Russia imeomba msaada wa kijeshi ? hizi propaganda za magharibi tuuu
 
Mchina anabembeleza mahusiano yake na western yasiharibike maana anajua mrusi si size yake kiuchumi alishatoka huko kwenye uchumi wa kidola ambao urusi ndiyo wanaukumbatia. China anawaza namna gani atampita US so lazima akae nae vizuri naye bado hajasahau dafrau la huawei
Mchina amesema wazi kukemea Urusi sio solution kwahiyo kwake hakuna sababu ya kukemea Urusi, shida ni kwamba nchi za magharibi zina lazimisha kila nchi ikemee Urusi wakati kila nchi ina sera zake za mambo ya nje , ndio maana hata Israel wala hajakemea Urusi kanyamaza kimya mpaka yule Comedian jana alikuwa anahutubia bunge la Israel mpaka anataka kulia maana waisrael wamekula kimya wapo neutral
 
Mchina amesema wazi kukemea Urusi sio solution kwahiyo kwake hakuna sababu ya kukemea Urusi, shida ni kwamba nchi za magharibi zina lazimisha kila nchi ikemee Urusi wakati kila nchi ina sera zake za mambo ya nje , ndio maana hata Israel wala hajakemea Urusi kanyamaza kimya mpaka yule Comedian jana alikuwa anahutubia bunge la Israel mpaka anataka kulia maana waisrael wamekula kimya wapo neutral
Comedian ni mwanasheria na pia rais we ninani
 
Mimi mkulima, ila sio comedian, sasa wewe unataka kujiunga NATO baada ya kichapo unataka kubadili mawazo, toka mwanzo ungekataa NATO nchi ingekuwa salama
Lini nilikuambia Mimi nata kujiunga NATO umechanganyikiwa sio bure
 
Back
Top Bottom