Kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwenye beach plots

Mahorii

Member
Jan 26, 2014
71
69
Habarini wakuu,

Tafadhali naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwa beach plots ambazo zipo kama 400m toka beach.

Asante.
 
Inawezekana ukipata wataalum wazuri utapata maji baridi kabisa. Unajua wengi wanakosea kuchimba urefu mkubwa, kumbe maji baridi wala hayako mbali. Ukizidisha kuchimba ndio unapata chumvi.
 
Back
Top Bottom