Habarini wakuu,
Tafadhali naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuchimba kisima kwa beach plots ambazo zipo kama 400m toka beach.
Asante.
Ndio mkuuHabari za huko Kigamboni?
Ukipima hakuna kubahatisha, ni uhakika.Huwa Kuna kubahatiaha na si %90 update maji baridi.