Umoja wa Ulaya waipatia Tanzania msaada wa shilingi bil.469.4

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,138
Kazi iendelee.

Umoja wa Ulaya umeridhishwa na mwenendo wa mahusiano Kati ya Serikali ya Tanzania chini ya Rais SSH na Umoja huo na hivyo Ili kuunga mkono juhudi hizo wamesaini mkataba wa msaada wa sh.bil.469.4 ..

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya fedha,fedha hizi zitatolewa ndani ya miaka 7 ijayo .

My take: Kitu misukule ya Mwendazake hawapendi kukubari ni kwamba waliharibu mahusiano na Jumuiya ya Kimataifa na Sasa baada ya mama kuweka sawa na kuunga mkono kwa namna mbalimbali ikiwemo mikopo nafuu,misaada na fursa za biashara na uwekezaji wametunga chorus ya kutembeza bakuli ambayo inazidi kubuma.

======

Serikali ya Tanzania na Umoja wa Uaya zimesaini mikataba mitatu ya Msaada wenye thamani jumla ya Shilingi bilioni 469.4 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa ushirikiano wa miaka saba baina ya EU na Tanzania wa kuanzia mwaka 2021 – mpaka 2027.

Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dar es salaam, kwa Serikali ya Tanzania kuwakilishwa na Katibu mkuu wa wizara ya fedha na mipango Emanuel Tutuba ambaye amebainisha kuwa mikataba hiyo mitatu inalenga katika utekelezaji wa mradi wa kuboresha masuala ya jinsia,ambapo takribani Euro Milioni 70 ziatumika.

Screenshot-2022-03-22-at-15.32.42-1024x745.png

Katika fedha hizo pia kiasi cha Euro milion 75 zitaelekezwa kwenye ufadhili wa mradi ya kuifanya miji ya kuwa ya Kijani (Green and Smart cities, ) huku euro milioni 35 nazo zitaelekezwa katika ufadhili wa mradi wa Tanzania ya kidijitali (Digital for Tanzania ).

Screenshot-2022-03-22-at-14.56.06-1024x673.png

Aidha Tutuba ameuahakikisha ujumbe wa umoja wa Ulaya kuwa fedha hizo zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa katika mikataba huo
 
Kwa hiyo kelele za Chadema na Lissu&Lema wake hazisaidii chochote huko Ubelgiji na Canada?

Ukimsikiliza Lissu na Lema huko "the Space room"

Wanajipiga kifua mbele kwa kufanya kampeni inayofanikiwa sana.

Lissu anaenda mbali kwa kumtishia Samia kwamba asipotekeleza takwa lao la katiba mpya.

Watalianzisha upya kumchafua kimataifa.

Je hii ya msaada mkubwa kama huu inatoa ujumbe gani kwa Chadema na ile slogan yao....Dunia itusikie!
 
Kazi iendelee.

Umoja wa Ulaya umeridhishwa na mwenendo wa mahusiano Kati ya Serikali ya Tanzania chini ya Rais SSH na Umoja huo na hivyo Ili kuunga mkono juhudi hizo wamesaini mkataba wa msaada wa sh.bil.469.4 ..

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya fedha,fedha hizi zitatolewa ndani ya miaka 7 ijayo .

My take: Kitu misukule ya Mwendazake hawapendi kukubari ni kwamba waliharibu mahusiano na Jumuiya ya Kimataifa na Sasa baada ya mama kuweka sawa na kuunga mkono kwa namna mbalimbali ikiwemo mikopo nafuu,misaada na fursa za biashara na uwekezaji wametunga chorus ya kutembeza bakuli ambayo inazidi kubuma.

======

Serikali ya Tanzania na Umoja wa Uaya zimesaini mikataba mitatu ya Msaada wenye thamani jumla ya Shilingi bilioni 469.4 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa ushirikiano wa miaka saba baina ya EU na Tanzania wa kuanzia mwaka 2021 – mpaka 2027.

Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini Dar es salaam, kwa Serikali ya Tanzania kuwakilishwa na Katibu mkuu wa wizara ya fedha na mipango Emanuel Tutuba ambaye amebainisha kuwa mikataba hiyo mitatu inalenga katika utekelezaji wa mradi wa kuboresha masuala ya jinsia,ambapo takribani Euro Milioni 70 ziatumika.

Screenshot-2022-03-22-at-15.32.42-1024x745.png

Katika fedha hizo pia kiasi cha Euro milion 75 zitaelekezwa kwenye ufadhili wa mradi ya kuifanya miji ya kuwa ya Kijani (Green and Smart cities, ) huku euro milioni 35 nazo zitaelekezwa katika ufadhili wa mradi wa Tanzania ya kidijitali (Digital for Tanzania ).

Screenshot-2022-03-22-at-14.56.06-1024x673.png

Aidha Tutuba ameuahakikisha ujumbe wa umoja wa Ulaya kuwa fedha hizo zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa katika mikataba huo
No free lunch!
 
Msaada ni lazima ku-sign?
Wewe unaonaje? Acha ujinga Mzee.

Ukiangalia bajeti ya serikali utakutana na misaada ya kibajeti,misaada ya kimiradi na misaada ya kawaida kwa hiyo lazima commitments kwa sababu vinainhizwa kwenye mipango ya serikali.
 
Kwa hiyo kelele za Chadema na Lissu&Lema wake hazisaidii chochote huko Ubelgiji na Canada?

Ukimsikiliza Lissu na Lema huko "the Space room"

Wanajipiga kifua mbele kwa kufanya kampeni inayofanikiwa sana.

Lissu anaenda mbali kwa kumtishia Samia kwamba asipotekeleza takwa lao la katiba mpya.

Watalianzisha upya kumchafua kimataifa.

Je hii ya msaada mkubwa kama huu inatoa ujumbe gani kwa Chadema na ile slogan yao....Dunia itusikie!
Achana na hao wachumia tumbo.
 
Msaada ni lazima ku-sign?
Nakupa msaada wa chakula cha mchana lakini naambatanisha na paperwork kwamba utie signature kuonyesha umekula kwangu.

Nipatieni elimu hii mnifumbue macho zaidi, elimu haina mwisho.
Ndio maana tunasema, tusubiri tu wanachokuja kuchukua, Dubai tuliambiwa tumetangazwa bure kwenye jengo refu, leo wamasai wanatimuliwa kwenye ardhi watu waje kubeba wanyama. Eti msaada halafu unaambiwa uweke saini, hi??!!’
 
Back
Top Bottom