mpango

  1. Tz boy 4tino

    JamiiForums Tanzania Namna mpango mzima wa kukamatwa Hush Puppy (Bilionea wa Kinigeria) ulivyo chezwa

    Kwa wale ambao ni wafutiliaje wazuri wa mtandao wa Instagram, Jina la Hush Puppy lazma litakuwa sio jina geni kwako. Hush Puppy kijana wa ki Nigeria mwenye mbwembwe nyingi, Hush kijana ambae amejijengea umaarufu mkubwa sana kutokana na maisha yake ya kifahari na uhusiano wake wa karibu na watu...
  2. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwanini Mpango na Tulia Ackson wasigombee wajimbo huru ya Dar es Salaam?

    Kwa kweli huwa sielewi kwa nini kila mtu afikirie kwenda kugombea kwao tena kwa watu maarufu na ambao wanajidai kua wamefanya mambo makubwa. Naibu Spika wa Bunge la Tanzania anarudi kwenda kugombea Mbeya nyumbani kwao, yeye ni mtu maarufu ni wa nini asigombee majimbo huru kama yaliyoko hapa...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Rwanda yapitisha mpango kujenga Kinu cha Nyuklia!

    Haya maendeleo ya Ubungo fly over na SGR wapinzani kama Chadema wanalalamika eti wao wanataka maendeleo ya watu siyo vitu. Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake...
  4. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba aichambua bajeti ya 2020-2021 kitaalam | Malengo ya mpango wa pili wa miaka mitano yamefikiwa?

    TAARIFA KWA UMMA UCHAMBUZI WA BAJETI YA 2020/2021: MALENGO YA MPANGO WA PILI WA MIAKA MITANO YAMEFIKIWA?
  5. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Membe: Sijaandika barua ya kujiunga CHADEMA, naheshimu upinzani kwa kuikosoa upinzani ndio maendeleo

    Watanzania wenzangu. Mimi sijaandika barua ya kuomba kujiunga na Chadema au chama kingine chochote lakini nitaendelea kuviheshimu vyama vya upinzani kwa sababu vinafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali. Kukosoa ni kitendo cha maendeleo mpinduka na kamwe siyo kitendo cha uadui!
  6. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

    Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari. Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti. Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa...
  7. Naantombe Mushi

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya mwaka huu itashindwa kutekelezwa kwa sababu ya Political risk inayoikumba Tanzania kwa sasa, Prof. Mpango anajua ila kaogopa kuliongehili

    Kwanza niisifu bajeti ya Jana kwa sababu Tu inaenda kuniongezea Ka mshahara kangu angalau kwa sh. 100,000. Msishangae eti nasifia bajeti "Binadamu asili yake ni ubinafsi, siku zote husifia pale kwenye maslahi yake Tu" Ndo tulivo binadamu. Nikienda kwenye mada ya bajeti ya Jana, kuna Jambo...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

    Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani. Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake. Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake. Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza...
  9. Influenza

    JamiiForums Tanzania Bungeni Dodoma: Hotuba Ya Waziri Mpango, Akiwasilisha Bajeti kuu Ya Mwaka 2020/2021 kiasi cha Tsh.Trilioni 34.88

    ======= Hotuba Ya Waziri Mpango Akiwasilisha Bungeni Bajeti Ya Mwaka 2020/21 Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kukubali kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2020/21. Bajeti hii ni ya tano ya Serikali inayoongozwa na...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kikao cha MaRais wote, kujimwambafai, Mpango sio matumizi na uungwana wa Kinana!

    Juzi juzi wote tuliona Marais wote (yaani na wale wataafu) wakiwa Dodoma, wakapewa ndege tausi na wakashuhudia uzinduzi wa Jumba Jeupe la Dodoma. Katika kikao hicho uwezekano mkubwa kuna mambo muhimu sana yalijadiliwa. La kwanza kabisa hata kabla ya kujua yale ya undani zaidi tuliona jinsi...
  11. Webabu

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Tanzania na Oman Air wana mpango gani?

    Nina ndugu yangu ambaye ameathirika na kukatikiwa safari nchini Oman kutokana na janga la Corona. Yeye ni mmoja tu wa watanzania wengi waliokwama nchini Oman kutokana na adha hii. Alikata tiketi ya kwenda na kurudi katika kuwatembelea familia. Baada ya muda wa viza kuisha na ndege ya shirika la...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania British Airways yapanga kuishtaki Uingereza kwa mpango wake wa karantini

    Mmiliki wa shirika la ndege la Uingereza la British Airways anatafakari kuifungulia mashtaka serikali ya Uingereza kuhusiana na mpango wake wa karantini. Afisa mkuu mtendaji wa shirika hilo, Willie Walsh amesema sheria hiyo mpya itahujumu hatua ya shirika hilo kuanza tena safari zake mwezi...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Wanaosusia vikao vya Bunge wana mpango wa kushusha uchumi wa nchi

    WAZIRI wa Katiba na sheria, Mwigulu Nchemba amesema kitendo cha baadhi ya Wabunge wa Upinzani kususia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni ishara ya kutengeneza madaraja na mpango wa kushusha uchumi wa nchi. Waziri Nchemba amesema hayo jana Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya...
  14. Johnny Sins

    JamiiForums Tanzania Adui akishindwa mpango wake mbaya ukilipa kisasi hutafanikiwa

    Mwaka 1968, Jeshi la Korea Kaskazini (KPA), liliunda kikosi maalum cha makomando 31. Kikosi hicho kilipewa jina Kikosi 124 (Unit 124). Makomando hao walipewa mafunzo maalum ya kutekeleza oparesheni ya kumuua aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Park Chung-hee. Oparesheni hiyo ilipangwa kutekelezwa...
  15. Ramark

    JamiiForums Tanzania Hakuna lockdown, Basi tuonyesheni mipango

    Wana jamvi Nilitamani niandike haya maoni yangu mapema wiki hii ya kwanza ya paska lakini nashukuru Leo nimeandika. Maambukizi yanaendelea kupaa kwa kasi tofauti na mtazamo WA awali licha ya waziri Ummy kueleza maambukizi ya ndani yameanza lkn hakutuonyesha mipango madhubuti. Pia waziri Mkuu...
  16. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA mna mpango wa kumsimamisha nani kama mgombea urais?

    Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais. Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini tumeifunika kampeni ya uzazi wa mpango?

    Ni wazi kwamba sasa kampeni ya uzazi wa mpango imefunikwa huku tukihimizwa kuzaliana kwa wingi ili kuepuka hapo mbeleni kuja kuwa na taifa la watu wachache na wazee wasio weza kuzalisha tena mali.Kwa upande mmoja ni sawa lakini pamoja na kampeni hiyo embu tujiulize maswali yafuatayo:-...
  18. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    JamiiForums Tanzania Je, kikao cha Rais na Wenyeviti wa Vyama vya siasa isipokuwa CHADEMA ni mpango wa kuzigawa kura za Urais za Tundu Lissu?

    Nimesoma mitazamo mbali mbali ya kikao hiki lakini bado sikupata mwanga wa moja kwa moja kuhusu dhumuni kuu la kikao hiki. Lissu ndio mwanasiasa pekee ambae anauzika kwa sasa kuliko wakati wote ule! Kama mbobezi wa sheria,kama mwanasiasa mwenye utashi na uwezo mkubwa wa kujieleza,mwenye...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

    Kwanza naomba Mods, uzi huu usiunganishwe na nyengine. Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kauli mbali mbali kuhusu Madai ya tume huru ya uchaguzi Tanzania. Si vyama vya upinzani tu lakini hata wadau wa maendeleo na demokrasia wamesikika wakihimiza kwa serikali kuleta tume huru ya uchaguzi...
  20. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu wa USD 400,000 za Sekta ya Afya: Philip Mpango alikuwa wapi mpaka aambiwe na Global Fund wenyewe?

    Kwenye vyombo vya habari jana kuna taarifa inaonyesha Waziri wa Fedha Philip Mpango akitiliana sahihi kupokea msaada wa USD 600 Million kutoka Taasisi ya The Global Fund ambayo ndiye mfadhili mkubwa wa dawa za Malaria, Kifua Kikuu na Ukoma. Katika makabidhiano ilionekana kuna USD 400,000...
Back
Top Bottom