Kama ilivyokuwa kwa wana wa Israel ambapo Mungu alimtumia Mussa kuwakomboa kutoka utumwani nchini Misri,ndivyo vivyo hivyo Mungu amepanga kuwatumia CHADEMA na CUF kwa kiasi fulani, ili kupitia vyama hivi,watanzania wakombolewe.
Hii ni moja ya sababu ya hawa wenzetu kukosa maarifa(mungu...
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na tovuti ya kidiplomaisa ya Ureno imesema, mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 11 za Ulaya wamekubali masharti ya kufungua tena mipaka na kurejesha uhuru wa mawasiliano kati ya wakazi wa Ulaya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wawakilishi kutoka Ujerumani, Austria...
Mimi niseme tu kweli sijawahi tumia condom. Nilijaribu tu kuvaa nikaona inabana mashine mpaka mashine inakosa kupumua. Nikavua nikapiga show bila condom
Condom ni mpango wa wazungu kutaka wabongo tusijisikie raha wakati wa kupukuchua. Na waafrika wengi hawajagundua hilo, sisi ambao tunafahamu...
Kwa wale ambao ni wafutiliaje wazuri wa mtandao wa Instagram, Jina la Hush Puppy lazma litakuwa sio jina geni kwako. Hush Puppy kijana wa ki Nigeria mwenye mbwembwe nyingi, Hush kijana ambae amejijengea umaarufu mkubwa sana kutokana na maisha yake ya kifahari na uhusiano wake wa karibu na watu...
Kwa kweli huwa sielewi kwa nini kila mtu afikirie kwenda kugombea kwao tena kwa watu maarufu na ambao wanajidai kua wamefanya mambo makubwa.
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania anarudi kwenda kugombea Mbeya nyumbani kwao, yeye ni mtu maarufu ni wa nini asigombee majimbo huru kama yaliyoko hapa...
Haya maendeleo ya Ubungo fly over na SGR wapinzani kama Chadema wanalalamika eti wao wanataka maendeleo ya watu siyo vitu.
Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake...
Watanzania wenzangu. Mimi sijaandika barua ya kuomba kujiunga na Chadema au chama kingine chochote lakini nitaendelea kuviheshimu vyama vya upinzani kwa sababu vinafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali. Kukosoa ni kitendo cha maendeleo mpinduka na kamwe siyo kitendo cha uadui!
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.
Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.
Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa...
Kwanza niisifu bajeti ya Jana kwa sababu Tu inaenda kuniongezea Ka mshahara kangu angalau kwa sh. 100,000.
Msishangae eti nasifia bajeti "Binadamu asili yake ni ubinafsi, siku zote husifia pale kwenye maslahi yake Tu" Ndo tulivo binadamu.
Nikienda kwenye mada ya bajeti ya Jana, kuna Jambo...
Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani.
Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake.
Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake.
Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza...
=======
Hotuba Ya Waziri Mpango Akiwasilisha Bungeni Bajeti Ya Mwaka 2020/21
Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee, lijadili na kukubali kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2020/21. Bajeti hii ni ya tano ya Serikali inayoongozwa na...
Juzi juzi wote tuliona Marais wote (yaani na wale wataafu) wakiwa Dodoma, wakapewa ndege tausi na wakashuhudia uzinduzi wa Jumba Jeupe la Dodoma.
Katika kikao hicho uwezekano mkubwa kuna mambo muhimu sana yalijadiliwa. La kwanza kabisa hata kabla ya kujua yale ya undani zaidi tuliona jinsi...
Nina ndugu yangu ambaye ameathirika na kukatikiwa safari nchini Oman kutokana na janga la Corona. Yeye ni mmoja tu wa watanzania wengi waliokwama nchini Oman kutokana na adha hii. Alikata tiketi ya kwenda na kurudi katika kuwatembelea familia. Baada ya muda wa viza kuisha na ndege ya shirika la...
Mmiliki wa shirika la ndege la Uingereza la British Airways anatafakari kuifungulia mashtaka serikali ya Uingereza kuhusiana na mpango wake wa karantini.
Afisa mkuu mtendaji wa shirika hilo, Willie Walsh amesema sheria hiyo mpya itahujumu hatua ya shirika hilo kuanza tena safari zake mwezi...
WAZIRI wa Katiba na sheria, Mwigulu Nchemba amesema kitendo cha baadhi ya Wabunge wa Upinzani kususia vikao vya Bunge kwa kuogopa Corona ni ishara ya kutengeneza madaraja na mpango wa kushusha uchumi wa nchi.
Waziri Nchemba amesema hayo jana Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya...
Mwaka 1968, Jeshi la Korea Kaskazini (KPA), liliunda kikosi maalum cha makomando 31. Kikosi hicho kilipewa jina Kikosi 124 (Unit 124).
Makomando hao walipewa mafunzo maalum ya kutekeleza oparesheni ya kumuua aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Park Chung-hee.
Oparesheni hiyo ilipangwa kutekelezwa...
Wana jamvi
Nilitamani niandike haya maoni yangu mapema wiki hii ya kwanza ya paska lakini nashukuru Leo nimeandika.
Maambukizi yanaendelea kupaa kwa kasi tofauti na mtazamo WA awali licha ya waziri Ummy kueleza maambukizi ya ndani yameanza lkn hakutuonyesha mipango madhubuti.
Pia waziri Mkuu...
Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.
Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM
Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM...
Ni wazi kwamba sasa kampeni ya uzazi wa mpango imefunikwa huku tukihimizwa kuzaliana kwa wingi ili kuepuka hapo mbeleni kuja kuwa na taifa la watu wachache na wazee wasio weza kuzalisha tena mali.Kwa upande mmoja ni sawa lakini pamoja na kampeni hiyo embu tujiulize maswali yafuatayo:-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.