Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,901
Niko nazunguka zunguka hapa JNIA, Kwenye shughuli zangu lakini pia niko naangalia mikusanyiko ya watu kama wapo sioni dalili ya mkusanyiko.
Maana yake mambo ya wahamasishaji wa mitandaoni kutokutii mamlaka za nchi zimepuuzwa wananchi wako kwenye msiba mzito na maombolezo ya Kitaifa.
Wananchi wameielewa Serikali na wanaitii serikali yao ningeiomba serikali isimsumbue Tundu Lissu ili CHADEMA wamuweke kuwa mgombea wao ili tuone kama atapata hata diwani mmoja.
Na nina uhakika akikosa diwani hata mmoja ili baada ya uchaguzi akiwa na aibu ya kushindwa kesi zake zianzie hapo hapo.
Ahsanteni sana watanzania kwa kuendeleza jadi yetu.
Maana yake mambo ya wahamasishaji wa mitandaoni kutokutii mamlaka za nchi zimepuuzwa wananchi wako kwenye msiba mzito na maombolezo ya Kitaifa.
Wananchi wameielewa Serikali na wanaitii serikali yao ningeiomba serikali isimsumbue Tundu Lissu ili CHADEMA wamuweke kuwa mgombea wao ili tuone kama atapata hata diwani mmoja.
Na nina uhakika akikosa diwani hata mmoja ili baada ya uchaguzi akiwa na aibu ya kushindwa kesi zake zianzie hapo hapo.
Ahsanteni sana watanzania kwa kuendeleza jadi yetu.