Natamani Dr. Mpango atuambie taifa limeokoa kiasi gani kwa Rais Magufuli na mawaziri kutosafiri nje ya bara la Afrika

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,873
Unaweza ukadhani ni jambo dogo lakini kiukweli fedha nyingi ya kigeni imeokolewa kutokana na Rais Magufuli na Mawaziri wake kutosafiri nje ya Afrika ndani ya miaka mitano.

Tunakumbuka huko nyuma namna viongozi wetu walivyokuwa wakipishana angani kwenda Ulaya na America.

Tunakumbuka mikutano ya bodi ya mashirika ya umma iliyokuwa ikifanyikia Dubai ilivyoligharimu taifa.

Tunakumbuka namna wajumbe wa kamati za bunge walivyokuwa wanazurura hovyo huko duniani tena wengine wakiwaalika na wachumba zao kufaidi kodi ya walalahoi.

Awamu hii Rais Magufuli aliukataa kabisa huo unyonyaji wenye ufisadi wa kutisha ndani yake. Na badala yake viongozi wamekuwa wakisafiri kwa ruhusa maalumu bila kuongozana na misafara kama timu za mpira.

Dr. Mpango, najua umo humu. Nikuombe tu ikikupendeza lifahamishe taifa namna fedha ilivyookolewa kwa maamuzi haya.

Binafsi naamini fedha iliyookolewa inazidi gharama ya ujenzi wa ubungo flyover.

Maendeleo hayana vyama.
 
Unaweza ukadhani ni jambo dogo lakini kiukweli fedha nyingi ya kigeni imeokolewa kutokana na Rais Magufuli na Mawaziri wake kutosafiri nje ya Afrika ndani ya miaka mitano.

Tunakumbuka huko nyuma namna viongozi wetu walivyokuwa wakipishana angani kwenda Ulaya na America.

Tunakumbuka mikutano ya bodi ya mashirika ya umma iliyokuwa ikifanyikia Dubai ilivyoligharimu taifa.

Tunakumbuka namna wajumbe wa kamati za bunge walivyokuwa wanazurura hovyo huko duniani tena wengine wakiwaalika na wachumba zao kufaidi kodi ya walalahoi.

Awamu hii Rais Magufuli aliukataa kabisa huo unyonyaji wenye ufisadi wa kutisha ndani yake. Na badala yake viongozi wamekuwa wakisafiri kwa ruhusa maalumu bila kuongozana na misafara kama timu za mpira.

Dr. Mpango, najua umo humu. Nikuombe tu ikikupendeza lifahamishe taifa namna fedha ilivyookolewa kwa maamuzi haya.

Binafsi naamini fedha iliyookolewa inazidi gharama ya ujenzi wa ubungo flyover.

Maendeleo hayana vyama.
Amezuia kwasababu ya ubovu wa lugha miangoni mwa mawaziri wake n kubwa zaidi yeye kinamgonga kwenye ugoko
 
Unaweza ukadhani ni jambo dogo lakini kiukweli fedha nyingi ya kigeni imeokolewa kutokana na Rais Magufuli na Mawaziri wake kutosafiri nje ya Afrika ndani ya miaka mitano.

Tunakumbuka huko nyuma namna viongozi wetu walivyokuwa wakipishana angani kwenda Ulaya na America.

Tunakumbuka mikutano ya bodi ya mashirika ya umma iliyokuwa ikifanyikia Dubai ilivyoligharimu taifa.

Tunakumbuka namna wajumbe wa kamati za bunge walivyokuwa wanazurura hovyo huko duniani tena wengine wakiwaalika na wachumba zao kufaidi kodi ya walalahoi.

Awamu hii Rais Magufuli aliukataa kabisa huo unyonyaji wenye ufisadi wa kutisha ndani yake. Na badala yake viongozi wamekuwa wakisafiri kwa ruhusa maalumu bila kuongozana na misafara kama timu za mpira.

Dr. Mpango, najua umo humu. Nikuombe tu ikikupendeza lifahamishe taifa namna fedha ilivyookolewa kwa maamuzi haya.

Binafsi naamini fedha iliyookolewa inazidi gharama ya ujenzi wa ubungo flyover.

Maendeleo hayana vyama.
Ukiambiwa kaokoa shilingi tano katika dili zuri la kupata shilingi bilioni tano utamsifia kwa kuokoa hizo shilingi tano?
 
Unaweza ukadhani ni jambo dogo lakini kiukweli fedha nyingi ya kigeni imeokolewa kutokana na Rais Magufuli na Mawaziri wake kutosafiri nje ya Afrika ndani ya miaka mitano.

Tunakumbuka huko nyuma namna viongozi wetu walivyokuwa wakipishana angani kwenda Ulaya na America.

Tunakumbuka mikutano ya bodi ya mashirika ya umma iliyokuwa ikifanyikia Dubai ilivyoligharimu taifa.

Tunakumbuka namna wajumbe wa kamati za bunge walivyokuwa wanazurura hovyo huko duniani tena wengine wakiwaalika na wachumba zao kufaidi kodi ya walalahoi.

Awamu hii Rais Magufuli aliukataa kabisa huo unyonyaji wenye ufisadi wa kutisha ndani yake. Na badala yake viongozi wamekuwa wakisafiri kwa ruhusa maalumu bila kuongozana na misafara kama timu za mpira.

Dr. Mpango, najua umo humu. Nikuombe tu ikikupendeza lifahamishe taifa namna fedha ilivyookolewa kwa maamuzi haya.

Binafsi naamini fedha iliyookolewa inazidi gharama ya ujenzi wa ubungo flyover.

Maendeleo hayana vyama.
Bwashee kuna vitu vina faida ambazo sio tangible ingawa kwa ordinary citizen ataona kwa jicho moja kama kuku, ni vema ungemtaka pia aeleze ni fursa/faida zipi tumepishana nazo kwa kutotoka nje ya nchi.

Siungi mkono hatua yoyote ya kibadhirifu iliyo ambatana na trip hizi lakini ni ukweli usiopingika kuwa kuna kila haja ya kuwa na diplomasia makini na imara linapokuja suala la anga za kimataifa.

Kitendo cha rais kutohudhuria mikutano ya kimataifa ama kutofanya ziara nje au kutuma tu wawakilishi wasio na full mandate ni jambo la kusikitisha mno.
 
Bwashee kuna vitu vina faida ambazo sio tangible ingawa kwa ordinary citizen ataona kwa jicho moja kama kuku, ni vema ungemtaka pia aeleze ni fursa/faida zipi tumepishana nazo kwa kutotoka nje ya nchi.

Siungi mkono hatua yoyote ya kibadhirifu iliyo ambatana na trip hizi lakini ni ukweli usiopingika kuwa kuna kila haja ya kuwa na diplomasia makini na imara linapokuja suala la anga za kimataifa.

Kitendo cha rais kutohudhuria mikutano ya kimataifa ama kutofanya ziara nje au kutuma tu wawakilishi wasio na full mandate ni jambo la kusikitisha mno.
Mikutano yote muhimu Rais Magufuli aliwakilishwa ama na mama Samia au Prof Kabudi so kidiplomasia tuko vizuri!
 
Mikutano yote muhimu Rais Magufuli aliwakilishwa ama na mama Samia au Prof Kabudi so kidiplomasia tuko vizuri!
Wana full mandate au ndio akiulizwa swali hadi amchek meko wasapu? Vikao wanajadiliana marais vinahitaji rais awepo ili anapo negotiate jambo analibeba kama muhusika mwenye dhamana.

Niliona siku ile huyo kabundi anaulizwa what do you offer to chinese investors? Majibu yake sasa kama dogo wa la pili.
 
Back
Top Bottom