johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,851
Haya maendeleo ya Ubungo fly over na SGR wapinzani kama Chadema wanalalamika eti wao wanataka maendeleo ya watu siyo vitu.
Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake huo.
Niko hapa Falcon najaribu kujiuliza tu mpango huo ungetangazwa na serikali ya CCM pale Ufipa pangekalika kweli?
Daudi Mchambuzi kama uko mitaa ya jirani karibu upate supu ya mbuzi.
Maendeleo hayana vyama!
Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake huo.
Niko hapa Falcon najaribu kujiuliza tu mpango huo ungetangazwa na serikali ya CCM pale Ufipa pangekalika kweli?
Daudi Mchambuzi kama uko mitaa ya jirani karibu upate supu ya mbuzi.
Maendeleo hayana vyama!