demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Tumepata kusikia ndugu Andrew Kisaka (Mkuu wa Kitengo cha Leseni za Mawasiliano TCRA) akibainisha kuwa kuna haja ya watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania waanze kutozwa kiwango fulani cha pesa ili Mamlaka ya TCRA iweze kugharamia huduma ya kudhibiti Maudhui yanayojadiliwa mitandaoni.
Yaani (kwa mfano) kufika hatua ya watumiaji wa:-
Twitter (walipe 15,000Tsh kwa mwezi)
Instagram (walipe 10,000Tsh kwa mwezi)
Facebook (walipe 5,000Tsh kwa mwezi)
Ili tu waweze kuwa na pesa ya kutosha kusimamia maudhui mitandaoni. Kwani pesa za kodi hazikidhi kufanikisha shughuli yao ya kusimamia maudhui mpaka wananchi wa tanzania watozwe upya? Na itakuwaje kwa wale wasio na uwezo wa kulipa kiasi hiko cha pesa?
Yaani (kwa mfano) kufika hatua ya watumiaji wa:-
Twitter (walipe 15,000Tsh kwa mwezi)
Instagram (walipe 10,000Tsh kwa mwezi)
Facebook (walipe 5,000Tsh kwa mwezi)
Ili tu waweze kuwa na pesa ya kutosha kusimamia maudhui mitandaoni. Kwani pesa za kodi hazikidhi kufanikisha shughuli yao ya kusimamia maudhui mpaka wananchi wa tanzania watozwe upya? Na itakuwaje kwa wale wasio na uwezo wa kulipa kiasi hiko cha pesa?