Italy inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,459
17,268
Nchi ya Italia inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G sawa na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya

Mwaka jana Italia ilitoa green light kwa kampuni ya Huawei kushiriki kwenye uanzishwaji wa 5G nchini humo.

Sasa kutokana na shinikizo kubwa la Marekani kwa nchi washirika kuachana na Huawei sasa nchi nyingi zimeamua kuachana na Huawei. Brazil imepewa ahadi na Marekani iachane na Huawei halafu Marekani atafadhili kampuni mbadala nyingine yoyote nje ya Huawei.

Italy reportedly considering whether to exclude Huawei from building its 5G network

Huawei says U.S. pressure on Brazil threatens long delays in 5G rollout
 
China kutaka kupambana na Mmarekani moja kwa moja ndio kummemponza.. Sasa ametoka kwenye kundi la washirika na kuingia kwenye kundi la mahasimu wa Marekani.. Soon China atavunjwa vunjwa kama Urusi.
Mbambe ni Mbambe tu!! China mwenyewe anasanda na ukubwa wake, ajabu utasikia MATAGA, yanasema USA, hawezi tutisha yeye nani!! Akiamua hizo dhahabu, almasi, Tanzanite, zetu zinaweza geuzwe kete za kuchezea draft na bao!!!!
 
Kwa maana hio unapokuja juu kimaendeleo na kiuchumi na kitechnologia ni kupambana na Mmarekani, yaani mna akili zilezile kuwa hakuna taifa litakaloipita Marekani kama mnavyodanganywa, sasa kama marekani sasaivi ina nguvu kwa nini anateseka na technology ya mchina, anahofia nini hasaa wakati watu wanafanya business zao halali kimataifa , zama zimebadilika now, anatumia nguvu kubwa sana kushawishi mataifa ya Europe kutodeal na mchina, ooooo maskini taifa kuu linaangamia itabaki historia
China kutaka kupambana na Mmarekani moja kwa moja ndio kummemponza.. Sasa ametoka kwenye kundi la washirika na kuingia kwenye kundi la mahasimu wa Marekani.. Soon China atavunjwa vunjwa kama Urusi.

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
US anatakiwa aelewe kuwa wakati haumsubiri.Hii ni kama race huwezi kujihakikishia ushindi wakati mbio zinaendelea.Wewe ukiridhika ni namba moja ukapunguza spidi na kupasha jua kuna watu washagain momentum wapo nyuma yako hatua kadhaa wanaitamani hiyo nafasi yako.Hata ukifanya fitina kuna wakati nature itaamua tu na anayestahili atashika nafasi.
Sio rahisi nchi yoyote kumwangusha USA.Sio rahisi hata kidogo.Anga zote anaongoza,Economy, Military,Intelligence etc.Na hadi sasa naona yuko na nguvu na pia yupo stable.Ila hii wanafaa waichukue kama alert ya tahadhari. Wakati hauwasubiri.
 
We tulia uone, ili Ulaya ifanye mchina anachofanya zinaungana nchi mfano: Space programs wanaungana lakini mchina anafanya yake na space station anatengeneza yake peke yae, ulaya waliungana kutengeneza mfumo wa positioning kama wa marekan (GPS), Mchina one man army katengeneza wa kwake. Sasa hivi wanazifanyia test ndenge za abiria japo itachukua muda mpaka zikubariwe.
Sasa fikiria nchi iliyokuwa chini sana imetawaliwa na Japan imesumbuliwa na Muingereza, ilikuwa chini huku imefika hapo ina reserve kubwa ya dollar unategemea nini kitafuata.
Tegemea innovation zaidi na kuwa na ushawishi mkubwa zaidi.
 
Kwa maana hio unapokuja juu kimaendeleo na kiuchumi na kitechnologia ni kupambana na Mmarekani, yaani mna akili zilezile kuwa hakuna taifa litakaloipita Marekani kama mnavyodanganywa, sasa kama marekani sasaivi ina nguvu kwa nini anateseka na technology ya mchina, anahofia nini hasaa wakati watu wanafanya business zao halali kimataifa , zama zimebadilika now, anatumia nguvu kubwa sana kushawishi mataifa ya Europe kutodeal na mchina, ooooo maskini taifa kuu linaangamia itabaki historia

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app

Hivi hapa kwetu huwa wanaposema tuko vitani, huwa wanamaanisha nini? Tena wanasema vita ya kiuchumi!

Mimi na wewe tunendelee kuimba mapambio tu inatosha.

La sivyo mtafute Yericko Nyerere au jisomee kitabu chake cha ujasusi wa kidola ndio utajua kwa nini mataifa yanaamua kuingia hasara ya kuvunja mkataba na Mchina.

Kuna mdau kasema vema sana hapo juu, hao tuliozoea kuwaita mabeberu wakiamua tutumie Tanzanite ama almasi zetu kuchezea kete...tutachezea. Sio kwamba ninawagwaya ila ndio mifumo ya dunia inavyofanya kazi.

Kwa urahisi chukulia madalali sokoni na mkulima wa kawaida...madalali wakiamua utarudi na mzigo kijijini
 
IMG_7189.jpg

Kali
 
Back
Top Bottom