money

  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Unaelewa nini ukiangalia picha hii ya Gigy money?

  2. Mr George Francis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Money is no more an issue, know how to handle your woman

    MONEY IS NO MORE AN ISSUE, KNOW HOW TO HANDLE YOUR WOMAN. Leo sikwenda kazini, nikaona nipitepite mtaani kwetu nipige story na marafiki. Nilifika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta ubishani mkubwa sana. Mjadala wao mkubwa ulikuwa ni kwanini vijana wengi hawataki kuoa. Sasa kwenye story za...
  3. Moseskyey

    JamiiForums Tanzania How To Build A Successful Blog And Make Money Online memo

    Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨 Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche unayoweza kuandika. Unda blogu kwa kutumia jukwaa kama WordPress au Blogger. Chagua jina la kikoa...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Making money online - Maswali na Majibu.

    Je, ni kweli unaweza kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao? Ndiyo, inawezekana kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao. Je, ni kazi gani mtu anazoweza kufanya kupitia mtandao? Ni kazi nyingi karibu kila kazi inayoweza kufanywa ukiwa mbali (remotely) inaweza kufanyika mtandaoni na...
  5. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Je pesa ndio Mungu wa dunia hii ( is Money the true God of this planet?)

    Je pesa ndio Mungu halisi wa sayari ya dunia? 1. The holy scriptures say YES. MHUBIRI 10:19 " Pesa huleta hajawabu ya kila kitu" ( From a spiritual perspective mwenye MAJAWABU ya kila kitu ni Mungu. Isije kuwa Nabii Suleiman alikuwa anatoa subliminal message kwa dunia kuhusu Mungu halisi wa...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Sagini azindua mfumo wa Kidigitali wa URA Mobile Money

    Jeshi la Polisi nchini limezindua Mfumo wa kidijitali wa huduma za kifedha uitwao (URA MOBILE MONEY) utakaotumika na Viongozi pia Wanachama wa URA SACCOS katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Jijini Dar es Salaam Leo Septemba 30, 2023. Akizungumza katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Mfumo huo Mgeni...
  7. Nrangoo

    JamiiForums Tanzania Gharama za makato kutoka Skrill kwenda Airtel money

    Habari wakuu Kwa wale watumiaji wa E-wallets haswa Skrill , ninaona wameongeza huduma ya kutoa pesa kwenda Mobile money! Nimejaribu kuangalia makato (Fee) yake kwa kupitia Airtel money naona kama charges zipo juu sana. Vipi ni njia gani nafuu mnazotumia ndugu zangu?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Msaada Perfect Money deposit

    Habari wakuu Naomba kama kuna wakala wa Perfect Money au yeyote anayejua namna ya kufanya deoosit perfecct money kwa kutumia mitandao ya simu ( M-Pesa, Airtel Money n.k) anipe mwanga nataka kuweka pesa kwenye akaunti
  9. Mamujay

    JamiiForums Tanzania Nimetumiwa pesa toka CRDB kuja Airtel money tangu jana Alhamis hadi leo Ijumaa haijaingia

    Naombeni msaada Nifanyaje jana mafundi walikuwa site nusu wanipige makofi. Pesa imetumwa kutoka CRDB kuja Airtel money tangu jana alhamis saa 12 jion hadi saiz naandika ni saa 12 asubuh pesa haijafika CRDB Wanasema pesa imeshatumwa Airtell Money wanasema hakuna muamala wowote.
  10. Money Penny

    JamiiForums Tanzania Giggy Money sasa Ameokoka

    Sio maneno yangu Mwenyewe amesema kuwa ameokoka Kama NI kweli nimefurahi sana Ila kucha haachi JE mabwana?!
  11. U

    JamiiForums Tanzania Why Tanzanian youth opt to buy cars instead of saving money

    Did you had any idea that investment accounts and a culture of saving impact mental, conceptive and sexual strength of the young?<br><br> I surmise not. As per Youngsters and Youth Money Worldwide, concentrates on directed in Ghana, India, Uganda and Kenya propose that there is a positive...
  12. National Anthem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

    Hallo Wakuu, Baridaaa! Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa (money) yako.. nafsi yako (roho yako) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake? Binafsi; 1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani. 2. Kujaza wese na kukimbia (napenda sana...
  13. JITU BANDIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ✅When a Lady Loves U, She Act Like A Lovely Sister. She Want The Best 4 U, She is Not Desperate for Your Money, Many Times She is Even Afraid 2 Bill U

    Ni kastori ya kabinti kamooja..... Leo nimeamini..,. Ni ngumu saana kwa baadhi ya mabinti kuonesha hisia zao wazi kwa mwanaume wa Ndoto zake.... Nilikutana na huyu binti humu humu Jf.... Tulijuana kidogo...kuna bidhaa alikuwa anauza (men's clothes)... Mawasiliano yakatoka DM....to physical...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Jiji la Dodoma linaongoza kwa Rushwa. No money no service!

    Hili Jiji la Dodoma na halmashauri yake ni moja ya sehemu iliyojaa Rushwa iliyokithiri viwango vya kawaida vya kupeana maji ya kunywa kishkaji, ni Jiji la hovyo likiongozwa na Mkurugenzi wake asiyejali kitu chochote, haya ni baadhi 1. Hupati hati bila kutoa rushwa, waje hao wachache Viongozi...
  15. Dr Lizzy

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Airtel Money

    Habari wakuu! Kwa wale wanaotumia Airtel, hili tatizo la Airtel Money na kwenu lipo??? Sio kwenye app tu...hata kwa menu ya kawaida kuna error 😬😬
  16. M

    JamiiForums Tanzania Forex_ICT strategy/Smart Money concept

    Habarini wadau, kwa wale ambao bado tunajifunza, kuna hii kitu strategy ya ICT-Inner Circle Traders na wengine wanaita smart money concepts ambayo nimekuwa najifunza jifunza katika kutaka kuelewa vizuri forex trade.Nadhani kwa wale kama mimi sio mbaya mkaiangalia hii kitu ni nzuri sana...
  17. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Je kuna miracle money? Je ni nani ameshawahi kupata miracle money?

    Miracle money ni hela unayoipata kwa njia ya ajabu kabisa ambayo hukuitarajia. Siku za hivi karibuni kuna wakuu wa dini wamejitokeza wakosema eti wana uwezo wa kukuombea ukapata miracle money. Nijuavyo mimi, miracle money huombewi na mtu yeyote, ila unaomba wewe mwenyewe, na huipati hadi uwe...
  18. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Money is the King of Love. My money is my ego

    Wasalaam JF, Money is the king of love. Money is the only magnet that women have since failed to resist. Nawakumbusha wanaume tafuta pesa wanawake watakutafuta wewe. Chase money and women will Chase you. Thank me later. Wadiz
  19. ChatGPT

    JamiiForums Tanzania Kutuma/Kupokea Hela kwa Nala Money, Xoom, World Remit, Sendwave au Remitly

    Habarini wadau wangu wa nguvu. Napenda kuuliza kuhusu Nala Money; Kuna yeyote humu ambae ameshawahi itumia. Nadhani wengi watakuwa bado sababu kwa Tanzania bado haijazinduliwa. Jambo langu kubwa ambalo nilitamani kulifanya ni kuweza kupokea hela kutoka nje (German). Naomba kama Kuna mwenye...
  20. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Learn to work, don't work for money! Najuta kuupoteza muda kwenye elimu

    Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndiye ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini...
Back
Top Bottom