Je pesa ndio Mungu halisi wa sayari ya dunia?
1. The holy scriptures say YES.
MHUBIRI 10:19 " Pesa huleta hajawabu ya kila kitu"
( From a spiritual perspective mwenye MAJAWABU ya kila kitu ni Mungu. Isije kuwa Nabii Suleiman alikuwa anatoa subliminal message kwa dunia kuhusu Mungu halisi wa...
Jeshi la Polisi nchini limezindua Mfumo wa kidijitali wa huduma za kifedha uitwao (URA MOBILE MONEY) utakaotumika na Viongozi pia Wanachama wa URA SACCOS katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Jijini Dar es Salaam Leo Septemba 30, 2023.
Akizungumza katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Mfumo huo Mgeni...
Habari wakuu
Kwa wale watumiaji wa E-wallets haswa Skrill , ninaona wameongeza huduma ya kutoa pesa kwenda Mobile money!
Nimejaribu kuangalia makato (Fee) yake kwa kupitia Airtel money naona kama charges zipo juu sana. Vipi ni njia gani nafuu mnazotumia ndugu zangu?
Habari wakuu
Naomba kama kuna wakala wa Perfect Money au yeyote anayejua namna ya kufanya deoosit perfecct money kwa kutumia mitandao ya simu ( M-Pesa, Airtel Money n.k) anipe mwanga nataka kuweka pesa kwenye akaunti
Naombeni msaada Nifanyaje jana mafundi walikuwa site nusu wanipige makofi.
Pesa imetumwa kutoka CRDB kuja Airtel money tangu jana alhamis saa 12 jion hadi saiz naandika ni saa 12 asubuh pesa haijafika CRDB Wanasema pesa imeshatumwa Airtell Money wanasema hakuna muamala wowote.
Did you had any idea that investment accounts and a culture of saving impact mental, conceptive and sexual strength of the young?<br><br>
I surmise not. As per Youngsters and Youth Money Worldwide, concentrates on directed in Ghana, India, Uganda and Kenya propose that there is a positive...
Hallo Wakuu, Baridaaa!
Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa (money) yako.. nafsi yako (roho yako) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake?
Binafsi;
1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani.
2. Kujaza wese na kukimbia (napenda sana...
Ni kastori ya kabinti kamooja.....
Leo nimeamini..,. Ni ngumu saana kwa baadhi ya mabinti kuonesha hisia zao wazi kwa mwanaume wa Ndoto zake....
Nilikutana na huyu binti humu humu Jf....
Tulijuana kidogo...kuna bidhaa alikuwa anauza (men's clothes)...
Mawasiliano yakatoka DM....to physical...
Hili Jiji la Dodoma na halmashauri yake ni moja ya sehemu iliyojaa Rushwa iliyokithiri viwango vya kawaida vya kupeana maji ya kunywa kishkaji, ni Jiji la hovyo likiongozwa na Mkurugenzi wake asiyejali kitu chochote, haya ni baadhi
1. Hupati hati bila kutoa rushwa, waje hao wachache Viongozi...
Habarini wadau,
kwa wale ambao bado tunajifunza,
kuna hii kitu strategy ya ICT-Inner Circle Traders na wengine wanaita smart money concepts ambayo nimekuwa najifunza jifunza katika kutaka kuelewa vizuri forex trade.Nadhani kwa wale kama mimi sio mbaya mkaiangalia hii kitu ni nzuri sana...
Miracle money ni hela unayoipata kwa njia ya ajabu kabisa ambayo hukuitarajia.
Siku za hivi karibuni kuna wakuu wa dini wamejitokeza wakosema eti wana uwezo wa kukuombea ukapata miracle money.
Nijuavyo mimi, miracle money huombewi na mtu yeyote, ila unaomba wewe mwenyewe, na huipati hadi uwe...
Wasalaam JF,
Money is the king of love.
Money is the only magnet that women have since failed to resist.
Nawakumbusha wanaume tafuta pesa wanawake watakutafuta wewe. Chase money and women will Chase you.
Thank me later.
Wadiz
Habarini wadau wangu wa nguvu.
Napenda kuuliza kuhusu Nala Money; Kuna yeyote humu ambae ameshawahi itumia. Nadhani wengi watakuwa bado sababu kwa Tanzania bado haijazinduliwa.
Jambo langu kubwa ambalo nilitamani kulifanya ni kuweza kupokea hela kutoka nje (German). Naomba kama Kuna mwenye...
Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndiye ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini...
Habari wapendwa kama nitakuwa sipo sawa naomba mnioe maelekezo ambayo yatanisaidia.
Pesa inatengenezwa kama bidhaa nyingine, lakini sijajua ugumu unatoka wapi wa kutengeneza pesa nyng ili watanzania tukafurahia maisha kiwepesi zaid na kuanza mambo mengne ya kimaisha kutokana na serikali yeti...
Habari za leo,
Mimi ni mfanyabiashara na ni mtumiaji wa huduma za Airtel Money.
Juzi tarehe 3 Machi 2023 nilifanya muamala wa kuhamisha pesa kutoka Airtel money kwenda Benki, akaunti yangu binafsi pesa ilitoka ila kwenye akaunti haikuingia.
Nilipiga simu huduma kwa mteja wakasema kuwa wao...
Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni...
Imagine for a moment that you have unlimited resources at your disposal - unlimited time, unlimited money, unlimited knowledge, and unlimited abilities. What would you do with this abundance?
Would you travel the world? Start a business? Pursue a passion project? Help those in need? Or would...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.