money

  1. B

    JamiiForums Tanzania Dentist wa Giggy Money

    Ndugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money. Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana. Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli. Kama kuna...
  2. MR BINGO

    JamiiForums Tanzania GE2025 Money VS Power: Siri ya Matajiri na Watu maarufu kuutaka Ubunge Tanzania

    HELLO JF Wiki hii kumekuwa na wimbi kubwa la watu maarufu na matajiri kukimbilia kuchukua fomu za kugombea ubunge, jambo lililoibua mijadala mitandaoni huku wengi wakiuliza: "Kuna siri gani kwenye Ubunge?" Inawezekana sababu mojawapo ni uchu wa kuwatumikia wananchi, lakini ukweli ni kwamba...
  3. X factor

    JamiiForums Tanzania Gigy Money anaumwa kalazwa Muhimbili ICU

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram Gigy Money, uongozi wa msanii Gigy Money umeeleza kuwa msanii huyo anaumwa na anahitaji maombi kutoka kwa mashabiki wake. Taarifa hiyo imekanusha uvumi kuwa amepigwa au amehusika katika ugomvi wowote, ikisisitiza kuwa habari hizo ni za kupuuzwa. Gigy Money...
  4. Heritage123

    JamiiForums Tanzania 💸 How People Will Make Money 5 Years From Now: The Future of Income in 2030

    As we race toward 2030, one thing is clear: how people make money is going to change dramatically. The rules of work, business, and value creation are being rewritten — and those who don’t adapt will be left behind. In this article, let’s break down how smart people will earn their income in the...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Zero fees, full freedom to transact money

    Zero fees. Total freedom. Send and receive money instantly using just a phone number—no hidden charges, no complex setups. Whether you're paying a friend, a small business, or moving money between wallets, it's fast, secure, and built for everyday life in Tanzania.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini makato ya transactions za Mobile Money hayapo kwenye mfumo wa asilimia (in terms of percentage)??

    Kwanini mtu akitoa au kutuma pesa, kwa mfano, kiasi cha 100,000/= hakatwi gharama "in terms of percentage" bali anakatwa gharama kwa mfumo wa "range" from this amount to that?? What's the rationale behind this??
  7. barakachaplin

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi: Airtel Money Business Support Officer

    Je, wewe ni mtaalamu wa ukuaji wa biashara, usimamizi wa akaunti muhimu, au huduma za fintech? Jiunge na mteja wetu, kampuni ya simu maarufu, kama Airtel Money Business Support Officer na usaidie kuendeleza matumizi ya pesa za mkononi, ushirikiano wa biashara, na mifumo ya malipo ya dijiti! 🔹...
  8. Fateema

    JamiiForums Tanzania Airtel Money hii maana yake nini kuidhinisha malipo bila idhini ya mteja. ( Kuna mchezo gani unaendela hapo Airtel Money)

    Nipo nimekaa zangu nashangaa kupokea ujumbe " Ndugu mteja umelipa. Sh 2999 kwenda Google Play. " Kweli Mimi Nina akili zangu timamu nilipe sh elfu 2 na 999 kwenda Google Play? Ili iweje? Toka lini Google Play ikalipiwa? Nimepiga simu kuongea na huduma kwa wateja aliposikia tu shida yangu...
  9. PathwayzZote

    JamiiForums Tanzania Make money online using AI

    HEY THERE Want to make money online with minimal effort? AI-powered content creation is the game-changer you need! From writing blogs and social media posts to creating eBooks, AI tools are helping creators boost productivity and income like never before. 💸 In this post, we go dive into: How...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Airtel Money Changamoto Sana

    Jana jumamosi saa 6 mchana Nilifanya muamala airtel money pesa ya kununua ticket ya kusafiria jana usiku kwenda kusheherekea Eid Mkoa fulani. Airtel walikata hela ya nauli na ada yao ya huduma Tsh 900 kwa huduma hiyo. Hadi nafika kituoni kupanda basi jana saa 4 usiku muamala haujakamilika na...
  11. Empty container for sale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real women don’t ask men for money. Your behaviors put you in a man's budget

    Real women don’t ask men for money. Your behaviors put you in a man's budget Be Authentic
  12. Mende mdudu

    JamiiForums Tanzania Secret of money.( Siri ya pesa)

    Kwa nn tajiri anaendelea kua tajiri na maskini anaendelea kua maskini. 1- Saving (Kuhifadhi) Tajiri ataweka ili kizidi kuongezeka, na afanye jambo lingne zaid ya anacho fanya kama biashra afungue nyingne. Maskini akipata anatumiq tu anajua kesho akiingia town atapata tena. 2-Fear of being...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Airtel inabidi mjitafakari. Kwanini mnawabebesha mawakala uzembe wa wateja?

    Kuna mdada anayeishi Tabata, ambaye aliwasajiliwa laini na mawakala wa Airtel waliokuwa wakipita mitaani. Bila yeye kujua, mawakala hao walifanya SIM swap kwenye laini yake. Baadaye, wale waliosajili laini hiyo waliitumia kwenda kwa wakala wa Airtel Money na kutoa pesa kwa njia halali—simu...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Babe I don’t have money

    Hii kauli nikisikia tu na badilika.
  15. Money Penny

    JamiiForums Tanzania Money Penny ana bonge la wowowo, ivi mume wake nani huyu mama?

    Kuna mahali nimekuta mtu ameniandika hivi Like why? Mmeniona wapi? Wowowo gani tena? Nyiee me mke wa mtu msiniandike andike plz, Wowowo kwiyoo?
  16. Mookiesbad98

    JamiiForums Tanzania Nini sababu.ya.wakala mdogo kugawana pesa na wakala mkuu kwenye mobile money business

    Nini manitiki ya wakala mdogo wa pesa anayeanza biadhara kuwa attached.ana.wakala mkuu na.pesa akipata anapunjwa anagawana.na.wakaala.mkuu. Kazi ya.msingi.ya.wakala.mkuu.ni.nini.kwenye mobile.money.business
  17. Mallerina

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I'll marry for money and my kids will marry for love

    Asante sana Hamissa Mobeto
  18. Gudasta

    JamiiForums Tanzania Je Kuna uwezekano wa kubadilisha airtime kwenye airtel kuwa airtel money...

    Naomba kuuliza kama inawezekana kubadili airtime kwenye airtel iende kwenye airtel money na kutoa Kwa wakala cash?
  19. Amba Samedi

    JamiiForums Tanzania Parkinson's Law of Money (Sheria ya Parkinson Kuhusu Fedha)

    Habari wanaJF, Ni mimi tena, na nimeamka salama. Nimechelewa kuingia kazini leo, ila Mungu ni mwema nimeanza. Kuna habari njema naitegemea kutoka sehemu (ntawajuza mambo yakiiva). Ngoja tuendelee kuongea kupoteza pressure... Umewahi kushangaa kwa nini kuna watu wanapiga hatua, hata endapo wana...
  20. barakachaplin

    JamiiForums Tanzania Airtel Money Merchant Business Support Officer - Job position

    Company Overview Tanzania Empowerment Forum Limited (TEF Consult) is a management consulting firm specializing in organizational change, talent search, acquisition, and executive selection. We are currently recruiting on behalf of our client, a well-established Telecommunication Company, for a...
Back
Top Bottom