mapenzi

  1. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni sanaa, ukiyatumia vizuri yanaweka kumbukumbu kwa aliyetendewa

    Jitahidi unapokuwa kwenye mahusiano, utumie sanaa zaidi ili kuuteka moyo wa mpenzi wako. Mfano umemtongoza X leo, usikimbilie kwenye tendo moja kwa moja, bali muwekee mazingira ya yeye kuendelea kuwa karibu na wewe. Mfano kutembea tembea maeneo mbalimbali, kukumbatiana, kutumiana meseji tamu...
  2. OLS

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi na Uchumi: Nitumie na ya kutolea

    Moja kati ya kitu ambacho wanaume wengi wamekuwa wakikizungumzia sana mtandaoni na kuonyesha wanakichukia ni hii kauli ya nitumie na ya kutolea Inaonekana kuwa ni kauli inayotolewa na mtu anayeomba hela! Kauli hii inafanya wanaume wengi kuona mtu asiyetoa kauli hii kuwa ni mwanamke anayepaswa...
  3. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kuwaona wazazi maboya kwaajili ya mapenzi?

    Natumai hamjambo wakuu Tukiwa tunaendelea na mapambano dhidi ya corona nimependa kushare kisa kilichofaninya niwaone wazazi maboya ajili ya mapendo Kuna mrembo tuliwahi pendana sana huko nyuma na dream yetu ilikua ni kufunga ndoa day1.. Siku1 nikamualika home anitembelee, sasa kwa kua yeye...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni matamu unapompata anayekupenda

    Nina ongelea nafsi ya kike kwakua mimi ni wa kike. Kuna wanaume wanapenda wanawake weupe, weusi, warefu, wasomi, wanaojua ku challenge, wanaojua biashara, wenye msambwanda. Sasa itokee umekutana na mkaka aliyekuona wewe ndiye a dream woman in his life. Akifungua mlango tu anatoka kazini roho...
  5. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeingia kwenye 18 ya Mapenzi ya Mlokole lakini nimetoka kapa

    Leo natoka Kanisani nakutana na mdogo wangu mmoja kachooooka maskini, nikahisi labda ana Corona. Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole alafu akaona hapati anachokitaka akasepa mwenyewe😂😂🏃🏃 Kijana: Sister Penny bwana, me nilimpenda Sana...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mapenzi ya Mungu hayakwepeki mtoto wa mfalme alikufa licha ya baba yake kujenga ghorofa la vioo ili kumlinda

    Kuna mfalme alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Yule mtoto alikuwa na afya njema, sura ya kuvutia alivutia hata wageni waliofika kwa mfalme. Mfalme alimpenda yule mtoto kama roho yake. Mtoto yule alipofikisha miaka minne, Mungu Mwenyezi alimtaarifu mfalme kuwa mtoto yule atakufa siku si nyingi...
  7. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi na roho...

    Je, wapendwa mnajua kuwa wanaume zenu au wapendwa zenu wanapenda nyie kwa moyo? Au mpompo tu mwa shangaa? Je, unaaminije kuwa huyu niliyenaye alinioa kwa mapenzi au kwa maana na kitu fulani au huyu yupo kwenye mahusiano kisa nina kitu fulani? Najaribu kuandika kiswahili wajameni.
  8. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada wa kitanga wanajiamini kwenye mapenzi

    Kuna siku moja nilienda kutembelea mkoa wa Tanga, sasa ile mida ya jioni by saa moja hivi usiku nikasema ngoja nitembee tembee kwa miguu ili niweze kuufahamu mji vizuri. Katika mizunguko yangu nikavutiwa na duka moja linauza vitu mbalimbali, nguo, viatu, mapambo ya wanawake, marashi ya...
  9. safuher

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  10. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ndio njia ya uhakika ya kuondoa Stress za wivu wa mapenzi dhidi ya mkeo...

    Umesikia mkeo anatembea na Juma. Vuta picha mkeo akiwa anapigwa mashine na Juma then piga puchu. Fanya hivyo kila mara unapokumbuka kuhusu mkeo kutoka na Juma na kila unapo letewa taarifa za mkeo kutoka na mwanaume mwingine yoyote yule Kwa kufanya hivyo utaondokana na stress za Wivu wa mapenzi...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya wanaume akishajua una pesa na kwake hali ni ngumu

    Kwanza mwanaume akishakuzoea romance zinapungua anaanza ubinafsi wa kujiridhisha mwenyewe. Hapo ameshatoka kunywa bia zake utasikia mimi ninalala kesho nina mkutano wa muhimu sana. Sasa hii corona si unajua michongo mingi imekata. Ile hela ya bia hana sikuhizi anashinda nyumbani na bukta...
  12. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, uliwahi kufail/kufanya vibaya mitihani ajili ya mapenzi? karibu utupe mkasa

    Natumai hamjambo wakuu na weekend inaendelea uzuri. Tukiwa tunaendelea kuliombea taifa dhidi ya corona, karibuni hapa tubadilishane mikasa ya mapenzi ilosababisha kufail/kufanya vibaya wakati tukiwa shule. Nikiwa form two wakati mapenzi ya balehe yameshika kasi nilijikuta nafanya vibaya sana...
  13. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kipindi cha Karantini 😂😂😂

    Heeeeeeepiiii Neeeeew Yaaaaaaa 🔥🔥 Poleni na Corona (Covid19) I think I miss this place Ila sio kiviiile but hey am here 😷 Mapenzi kipindi hichi cha karantini yananifanya niwe boya zaidi, naona kama nafeli Sana kwenye game Zamani angalau utatoka nje utakutana na watu mtaongea, sahivi NI ndani...
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

    Habari wana JFs MMU. Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina). Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya...
  15. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wote wakikataa kufanya mapenzi ni mwisho wa dunia

    Imagine dunia nzima wanawake wagome kufanya mapenzi itakuwaje? Kuanzia walio ndoani mpaka makahaba. Hakutakuwa na uzao Tena na ndio itakuwa mwisho wa dunia.
  16. matunduizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya mapenzi na tendo la ndoa tulioyatoa kwa wanyama

    Kula denda - tumetoa kwa njiwa. Kulambana sehemu za siri - Tumetoa kwa Mbuzi na mbwa. Kuwa na mke mmoja hadi kifo - tumetoa kwa njiwa. Mwanaume na mwanake kusaidiana katika kulea mimba - njiwa wanavyoasidiana kulalia mayai Style ya mwanamke chini mwanaume juu (missionary position) - tumeitoa...
  17. Eagle J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni vitabu gani vya utundu wa mapenzi umesoma vimekusaidia mpaka leo?

    Katika kupitia uzi pendwa mzee Jason Bourne na Mkuu Kiga wametuonesha kuwa kusoma vitabu vilisaidia wao kujua jinsi ya kupata nywila za wenzi/wapenzi wao. Wanadau naombeni vitabu mlivyosoma ili tusaidiane kwenye libeneke, maana sio wote wameenda jando
  18. 44mg44

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya kutupia sms nzuri za mapenzi

    kama una sms nzur ya mapenz pleas naomba utupie hapa
  19. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitu gani Cha kipuuzi uliowahi kufanya kwenye mapenzi

    Me nakumbuka rafiki yangu alimnunulia Prado demu wake ikiwa ni mwezi mmoja tu wa relationship yao wakati yeye anatembea na gari aina ya Vits alafu wazazi hawajawanunulia wala nini. Baada ya miezi mitatu kupita wakaachana. Je, kwa upande wako Jambo gani la kipuuzi umewahi kufanya kwenye mahusiano?
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

    kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile? Naomba mawazo yenu wana JF ------------------------------ Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile: KWA UFUPI Wakati idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia...
Back
Top Bottom