mapenzi

  1. Eagle J

    Je, ni vitabu gani vya utundu wa mapenzi umesoma vimekusaidia mpaka leo?

    Katika kupitia uzi pendwa mzee Jason Bourne na Mkuu Kiga wametuonesha kuwa kusoma vitabu vilisaidia wao kujua jinsi ya kupata nywila za wenzi/wapenzi wao. Wanadau naombeni vitabu mlivyosoma ili tusaidiane kwenye libeneke, maana sio wote wameenda jando
  2. 44mg44

    Uzi maalum kwa ajili ya kutupia sms nzuri za mapenzi

    kama una sms nzur ya mapenz pleas naomba utupie hapa
  3. H

    Kitu gani Cha kipuuzi uliowahi kufanya kwenye mapenzi

    Me nakumbuka rafiki yangu alimnunulia Prado demu wake ikiwa ni mwezi mmoja tu wa relationship yao wakati yeye anatembea na gari aina ya Vits alafu wazazi hawajawanunulia wala nini. Baada ya miezi mitatu kupita wakaachana. Je, kwa upande wako Jambo gani la kipuuzi umewahi kufanya kwenye mahusiano?
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

    kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile? Naomba mawazo yenu wana JF ------------------------------ Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile: KWA UFUPI Wakati idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia...
  5. Superbug

    Nilianza mapenzi na mke wangu kwenye concert ya wimbo wa Ashawo wa Mr. Flavor, Nigeria

    Nimeamini mapenzi yanayoanzia kwenye muziki yananoga Sana na hasa ukiukumbuka wimbo maalumu wa enzi ya mapenzi yenu. Mimi mapenzi na mke wangu yalianzia kwenye wimbo wa ASHAWO CONSERT Abuja Nigeria Mr flavor. Sawasawa sawaleeee x 2 Ausha x 4 popopoooo Acha kabisaaaaa hapo nikiwa boya tu...
  6. Gily Gru

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Kitanda changu ni nne kwa sita, mke wangu aisee ana staha sana. Kinachofurahisha Zaidi ukimshika mgongo nywele zinasisimka, ukimshika paja linatelezaa tu, ukimnong’oneza mpaka nywele za kichwani zinasimama, ukimbinya hata sauti inabadilika “mm m-mm-e wangu” Ukimaliza anashukuru na siku...
  7. Miss Zomboko

    Wivu wa mapenzi: Mwanaume achoma nyumba na kuua familia ya watu 6

    Watu sita wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wamelala kuchomwa moto usiku wa manane kata ya Mjawa wilaya ya Kibiti mkoani Pwani. Kati ya watu hao sita wawili wakiwa ni mama na watoto wao walikuwa wamelala nyumba ilichomwa moto usiku wa manane na kuteketea. Akizungumzia tukio hilo kwa...
  8. Yudatade Edesi Shayo

    Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

    Kwa umri wangu sikuwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimahaba na mwanamke aliyenizidi umri mpaka mwaka huu nilipopata mama mwenye miaka 40 alimaarufu namba A. Mimi nina 27yrs, hakika naenjoy maana wana ladha tofauti kabisa 1. Wanajua mapenzi na ni wasafi wa kiwango cha SGR. Unakula tunda la grade...
  9. BASIASI

    Njia saba kujua mapenzi ya mungu kwenye ndoa

    7 WAYS TO DISCOVER THE WILL OF GOD IN MARRIAGE A lot of things have been said and written about the will of God in marriage. Many people, especially Christians, are concerned about marrying the will of God for their lives and not making a marital mistake. This man writing is not an exception...
  10. gstar

    Maisha na mapenzi

    Katika mchakato wa Maisha kuna mengi tunapitia, kuna kupanda na kushuka pia kuteleza na kuanguka. Kila kitu tunacho pitia ni Mungu ndiye amepanga kutupitisha huko hivyo hata kama ni magumu kiasi gani unayo ya pitia usimkufuru Mungu. Kila mtu unaye kutana naye ama kuishi naye ni wa thamani kwako...
  11. E

    Je, ni kweli kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi?

    Hivi jamani kuna ukweli wowote kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi maana marafiki zangu wanabisha sana kuhusu hilo na je ni kwanini mwanamke mweupe anaangaliwa sana barabarani kuliko mweusi wakiwa wameongozana.
  12. Nyendo

    UGANDA: Mtoto wa miaka 10 amuua mwenzake kwa wivu wa mapenzi

    Polisi wilayani Bududa mashariki mwa Uganda wanamsaka mwanafunzi wa miaka 10 kwa tuhuma za kumchoma kisu mwenzake ambaye alidai kupora mpenzi wake wa miaka 11. Mtuhumiwa huyo, ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Buwali. Polisi walimtambulisha mwathirika huyo kama Sam Watsosi, 16. Watsosi alidaiwa...
  13. trouble maker

    Chungu lakini dawa {kwanini BIKRA ithaminiwe kabla ya ndoa}

    CHUNGU LAKINI DAWA Kama hana bikra usimuoe, achana naye. Tafuta mwenye bikra ujichukulie mwali. Kama hana bikra usitoe mahari kama umeamua kuoa. Toa mahari kwa mwanamke uliyeikuta bikra kwake. Mtu hana bikra unatoaje mahari. Kama hana bikra usifanye harusi. Harusi ni kwa mwanamke mwenye bikra...
  14. blogger

    Weka hapa ngoma yako moja kali ya mapenzi na tueleze kwanini hiyo

    The secret behind this song is that it's Big.. Biiig! Wimbo huu nilimsikilizisha my girl back in 2006. Hakuwa shabiki wa muziki kihivyyo, kama mnavyokumbuka miaka hiyo. Niliandika hizo lyrics nikamtumia kwa karatasi. Nitaendelea kuwapa what happened. Story hii ni ndefu ila nashukuru wimbo...
  15. Equation x

    Hapo ulipo kuna mapenzi ya kweli au unachunwa?

    Hapo ulipo kuna mapenzi ya kweli au unachunwa? Wanaume wengi tumekuwa katika mahusiano tukiamini tunapendwa kwa dhati, kumbe kwa upande mwingine tunapendwa kwa sababu tunatoa huduma fulani; inapokuja kutokea changamoto za kiuchumi hasa kuyumba kwa kipato, hapo ndipo mtu anapokuja kugundua...
  16. C

    Mapenzi yapo, umepata? Utapata? Au hutopata kabisa??😌😌

    Mapenzi halisi yapo, wachache wamegusa kuonja na kuona mapenzi halisi, lakini it’s fate kama ilivyo kwa mambo mengine kwenye maisha kama elimu, afya njema, ustawi katika uchumi, kukubalika katika jamii( kibali machoni pa watu) si kila mtu anabahatika kupata.
  17. Lizzy116

    Siri 6 za wanawake ambazo kamwe hawawezi kukuambia

    1. Idadi ya wapenzi wake wa zamani Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli. 2. Anakulinganisha na mpenzi wa...
  18. Miss Zomboko

    Marekani yamuondoa Balozi wake Zambia baada ya Zambia kumtaka aondoke kwa kutetea mapenzi ya jinsia moja

    Daniel Foote alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya Zambia Marekani imemuita balozi wake wa Zambia nyumbani huku mzozo wa kidiplomasia ukiendelea kati ya nchi hizo mbili baada ya Balozi huyo kukosoa vikali hatua ya Zambia ya kuwafunga jela wapenzi wa jinsia moja, vyanzo vya ubalozini vimesema...
  19. Miss Zomboko

    VITUKO: Mambo 20 yanayoonyesha una ukichaa wa mapenzi

    1. Kushika mimba ukadhani ni mtego ili uolewe. 2. Kutafuta mkamilifu wakati tabia zako tunakuvumilia tu. 3. Kutafuta msichana mrembo wakati huna pesa. 4. Kutafuta mke mwema kanisani wakati we unaenda kanisani wakati wa maombi ya Christmas tu. 5. Kusema wanawake wote sawa. 6. Kuendelea...
  20. Sky Eclat

    Hivi yale mapenzi ya u boyfriend na u girl friend ya secondary kuna waliofanikiwa kuoana?

    Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood. Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa...
Back
Top Bottom