2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Wanajamvi habarini? Wanandoa kwema?.
Muhtasari: nikiwa tineja nilijiwekea mipaka ya makabila ambayo sitao,kila kabila na sababu zake.
Wakurya: ukatili
Wachaga:kutojua mapenzi sana
Wazaramo: wavivu
Tanga(makabila yote): sababu ya ushirikina.
Jambo la kushangaza hao ndio nikawa nawapata sana hasa toka Tanga, asilimia 70% ya madem walitoka Tanga,niliwapeda sana hawa wanawake,ndani walikua vizuri lakini kimawazo hawakuwa vizuri kabisa. Wengi wakishakula na kutimiziwa mahitaji yao basi hawajuagi cha kesho.
KISA KAMILI.
Ilikua ni 2016 niliamua kumchukua mtoto wa kitanga ili niishi nae,kabla ya kuchukua nilimpangia chumba kabisa mana alikua anakaa kwa ndugu yake wa damu ambaye shemeji yake ni rafiki yangu sana,kwa hio nilimpa kupitia ukaribu wa mimi na shemeji yake.
Nilimpangia chumba baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusu ndugu yake anaekaa naye. Ili awe huru na mm niwe huru nae nikampangia.
Kwa sababu nilikua na malengo nae na kwenye fikra zangu najua wanatanga walivyo nikaweka sheria mapema kabla hatujaanza kuishi.
1.Sitaki kuona akienda kwa waganga wa kienyeji
2.Siku niligundua ananicheat sitavumilia wala hakutakuwa na msamaha. Kuvunja sheria mojawapo hapo ni kuvunja uhusiano kati yetu.
Kumbuka hii 2015 mwishoni hatujaanza kuishi pamoja nikaanza kugundua mapicha picha katika simu yake,ili kuepusha mgogoro akabadili no ya simu,mm sikubadili ila niwamute baazi ya mazilipendwa wangu ili kuepusha migogoro. Ikafika desemba nikagundua tukishaacha ile usiku ana mawasiliano na mtu mwingine,nikawa kimya ila kichukua simu yake nikaweka call records afu nikaihide na pin za kutosha...yeye hakujua maisha yakasonga januari tupo kwenye mchakato wa kukaa chumba kimoja kama mume na mke.
Nilipokuja kukagua ile simu ni niligundua uchafu wake, nikachukua hatu ya kuvunja uhusiano, alilia sana kiasi kwamba alishindwa kwenda kwake, akaomba sana lakini sikutaka kukubali mama mwenyewe nyumba akaingilia na kumuombea msamaha akakubali kujitwika lawama zote kama makosa yanajirudia.
Nakumbuka tulianza kuishi pamoja chumba kimoja mwezi wa pili 2016...ebana mikosi iliyonipata sijawahi ona,kwanza nikawa sipati pesa kama mwanzo nikajipa moyo labda ni kwa sababu Magu kabana
...Itaendelea jioni
My take: muwe wavumilivu kidogo mana naadika haya silipwi najitolea ili kuwafunza wengine. Kama hujaipenda unaweza kupita kimya kimya tu..
Muhtasari: nikiwa tineja nilijiwekea mipaka ya makabila ambayo sitao,kila kabila na sababu zake.
Wakurya: ukatili
Wachaga:kutojua mapenzi sana
Wazaramo: wavivu
Tanga(makabila yote): sababu ya ushirikina.
Jambo la kushangaza hao ndio nikawa nawapata sana hasa toka Tanga, asilimia 70% ya madem walitoka Tanga,niliwapeda sana hawa wanawake,ndani walikua vizuri lakini kimawazo hawakuwa vizuri kabisa. Wengi wakishakula na kutimiziwa mahitaji yao basi hawajuagi cha kesho.
KISA KAMILI.
Ilikua ni 2016 niliamua kumchukua mtoto wa kitanga ili niishi nae,kabla ya kuchukua nilimpangia chumba kabisa mana alikua anakaa kwa ndugu yake wa damu ambaye shemeji yake ni rafiki yangu sana,kwa hio nilimpa kupitia ukaribu wa mimi na shemeji yake.
Nilimpangia chumba baada ya kusikia malalamiko mengi kuhusu ndugu yake anaekaa naye. Ili awe huru na mm niwe huru nae nikampangia.
Kwa sababu nilikua na malengo nae na kwenye fikra zangu najua wanatanga walivyo nikaweka sheria mapema kabla hatujaanza kuishi.
1.Sitaki kuona akienda kwa waganga wa kienyeji
2.Siku niligundua ananicheat sitavumilia wala hakutakuwa na msamaha. Kuvunja sheria mojawapo hapo ni kuvunja uhusiano kati yetu.
Kumbuka hii 2015 mwishoni hatujaanza kuishi pamoja nikaanza kugundua mapicha picha katika simu yake,ili kuepusha mgogoro akabadili no ya simu,mm sikubadili ila niwamute baazi ya mazilipendwa wangu ili kuepusha migogoro. Ikafika desemba nikagundua tukishaacha ile usiku ana mawasiliano na mtu mwingine,nikawa kimya ila kichukua simu yake nikaweka call records afu nikaihide na pin za kutosha...yeye hakujua maisha yakasonga januari tupo kwenye mchakato wa kukaa chumba kimoja kama mume na mke.
Nilipokuja kukagua ile simu ni niligundua uchafu wake, nikachukua hatu ya kuvunja uhusiano, alilia sana kiasi kwamba alishindwa kwenda kwake, akaomba sana lakini sikutaka kukubali mama mwenyewe nyumba akaingilia na kumuombea msamaha akakubali kujitwika lawama zote kama makosa yanajirudia.
Nakumbuka tulianza kuishi pamoja chumba kimoja mwezi wa pili 2016...ebana mikosi iliyonipata sijawahi ona,kwanza nikawa sipati pesa kama mwanzo nikajipa moyo labda ni kwa sababu Magu kabana
...Itaendelea jioni
My take: muwe wavumilivu kidogo mana naadika haya silipwi najitolea ili kuwafunza wengine. Kama hujaipenda unaweza kupita kimya kimya tu..