Kuhesabu na kuandika hufundishwa. Je,kufanya mapenzi nani alikufundisha?

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Nilisikiliza BBC London wakatangaza wanataka Waingereza kuingiza mtaala wa mapenzi kuanzia shule za msingi.

Na chuo kikuu cha Dar es Salaam ktk kozi ya DS (Developing Study). Niliyosoma first year 2007, Professor wa kozi hiyo alitufundisha kuwa Umoja wa Mataifa unatambua kuwa kufanya mapenzi ni haki ya msingi mojawapo ya binadamu ikiwamo mavazi,malazi na chakula.

Pia tulifundishwa kuwa mapenzi ni sehemu ya mazoezi.

Swali langu kwako unayesoma hapa, je, nani alikukochi juu ya ufanyaji mapenzi? Ilihali Siku hizi hatuendi jando na unyago?
 
Kumbe na wewe hujaenda jando!!! wakubwa wote tunajua vizuri, bado mdogo huwezi ukaelewa mambo ya wakubwa.
 
Kuna Dr mmoja alisema vitu vingine unavijua by "Intuition". Yani unavijua tu, automatically bila kufundishwa wala kuelekezwa na mtu
 
Kuna "nature" na "nurture"

Narture hivi ni vitu ambavyo havitokani na hasiri ya uubwaji wetu, yani hivi ni vitu vyakujifunza ama kufundishwa ili kukuwezesha kuendana na mazingira. Kusoma,kuandika, kuhesabu hivi vyote ni nurture.

Nature hivi ni vitu vya asiri ambavyo mtu uzaliwa navyo na ufanyika pasipo kufundishwa wala kuelekezwa na mtu, mfano kucheka, kulia, kuchukia, kula, na kisex pia. Hivi vinakuja vyenyewe automatic kwenye akiri
 
Wewe hata ukishushwa Leo Duniani na kufungiwa Chumbani au kutengwa sehemu na jinsia tofauti utafanya.
 
Back
Top Bottom